Kwanini hamuangalii Bongo Movie?!

Kwanini hamuangalii Bongo Movie?!

Ahahahahah mnawashauri lkn akina wema Na ray Na jb?!
Tatizo kila mtu anaigiza mapenzi.......tunajifunza nn kwenye kila movie mapenzi mapenzi.....ona kaa kanumba alikuwa anachanganya.....katoa ya mapenzi itakayo fata kitu kingine na mazingira tofauti na watu tofauti ili kuketa hamasa........... sasa wew mtu anatoa movie kwenye mazingira Yale Yale. ........na story zinazo fanana............kazi kukenua majukwaan kina nyerere na group lake.....badiliken.....na wew kaa unataka kutoa movie ukibezi kwenye mapenzi....ndo mwisho wako.....utakuja kufanya promo hapa na huto pewa sapoti......................afu nasikia waigizaji watz ni wazuri kuangalia movie za NAIJA..............eti wanatafuta uzoefuu
 
Mbona producer wao kapewa kule rwabda yule nani sijui jina lanitoka

Haya kuna Hamisa nae kachukua

Wema kachukua Kenya acheni dharau jaman
Nje meaning south africa , hollywood,naigeria rwanda ,kenya sio nje ya nchi bado wapo east africa unamuona diamond muziki wake upo juu ameimba mpaka na rick ross huyo ndio sasa kavuma na kaonekana hiyo ndio bidii ya kitu
 
Nje meaning south africa , hollywood,naigeria rwanda ,kenya sio nje ya nchi bado wapo east africa unamuona diamond muziki wake upo juu ameimba mpaka na rick ross huyo ndio sasa kavuma na kaonekana hiyo ndio bidii ya kitu
Nigeria ni West Africa nawe doh!
 
Tatizo kila mtu anaigiza mapenzi.......tunajifunza nn kwenye kila movie mapenzi mapenzi.....ona kaa kanumba alikuwa anachanganya.....katoa ya mapenzi itakayo fata kitu kingine na mazingira tofauti na watu tofauti ili kuketa hamasa........... sasa wew mtu anatoa movie kwenye mazingira Yale Yale. ........na story zinazo fanana............kazi kukenua majukwaan kina nyerere na group lake.....badiliken.....na wew kaa unataka kutoa movie ukibezi kwenye mapenzi....ndo mwisho wako.....utakuja kufanya promo hapa na huto pewa sapoti......................afu nasikia waigizaji watz ni wazuri kuangalia movie za NAIJA..............eti wanatafuta uzoefuu
Ahahahahahha ni balaaa
 
Hahahahaha nimekaa nacheka tu ofisini mpaka boss kaniita

Haki jaman

Money Box Money Talk
Mambo, Bongo movie tunaangalia, japo nyingine zinaboa, kazi zao zinahitaji kuboreka sana, sio kila mtu anaweza kuwa Director. Wako vijana wazuri wenye vipaji vikiendelezwa kazi zao zitakuwa juu. Waache kurefusharefusha stori bila sababu, scene ziwe informative lakini in descriptive way. Tukio dogo lisipewe coverage ndeeeefu. Mengine nikipata muda nitasema sema.
 
Nimefichwa zenji kisiwani na mume narudi j5 kwa ajili ya kwaresma na kupaka majibu
Kwa hiyo unaposti ukiwa umefichwa Zenji na Mume? kweli anatuangusha saana Wanaume wa Kisukuma. Ningekuwa mimi usinge hata comment achilia mbali kuanzisha uzi hapa
 
Wabadilike bwana maana dunia ya sasa ni kijiji kwa hivyo wanawaona wenzao wa mataifa mengine vitu wanavyofanya ni tofauti sana na wasanii wetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom