katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,756
Hazieleweki wajipangee ila wewe unajuaje kama hatuziangalii kama 160 ya kiswahili startimes wanaonyesha etv ukiwa unawataka unawaona
Kina Plato na Aristotle waliweka sifa/vigezo vya kila fani kama mwanamuziki awe na sifa zipi, umri gani nk.Doh ni sheedah
Sasa unawasaidiaje watunzi na watengenezaji wa bongo movie?!
sab Ngosha jr Ngosha Mashine Barn drugtest
Jini akitaka kuvuka barabara anaangalia kushoto na kulia then anavuka,jambazi lazima avae miwani myeusi halafu awe anavuta sigara nilichoka kabisa baada ya kuona embe linadondoka chini ya mnaziAhahahaha we jamaa Acha uongo basi doh
Ahahaha
Ni nzuri kwa sababu ndo umeanza kuangalia itafika kipindi zitaanza kukuboa maana maudhui yake yanafanana kiasi kwamba unajua mwisho wa movie kabla hujamaliza kuangalia movie nzimaNdio nimeanza kuangalia mwezi uliopita my friend
Mbona nzuri tu jaman
Izo za zamani best wangu kuna mpya za akina Gabo na wema nomaaaHazieleweki wajipangee ila wewe unajuaje kama hatuziangalii kama 160 ya kiswahili startimes wanaonyesha etv ukiwa unawataka unawaona
Ahahahahaha uuuwi ngoja na me nitoe novel jamaa mnavilaani sana vyenu bila sababuKina Plato na Aristotle waliweka sifa/vigezo vya kila fani kama mwanamuziki awe na sifa zipi, umri gani nk.
Hapa Bongo mtu akinywa supu ya kongoro na chapati mbili basi anaketi anaanza kutunga, nae ni mtunzi tayari.
Ndio maana hata novel za wazungu zinafungua akili kuliko za kibongo.
Ahahahahaha nimecheka mpaka naulizwa mama una nyege auJini akitaka kuvuka barabara anaangalia kushoto na kulia then anavuka,jambazi lazima avae miwani myeusi halafu awe anavuta sigara nilichoka kabisa baada ya kuona embe linadondoka chini ya mnazi
Ahahahahaha uuuwiWanatudanganya mpaka wanapitiliza bhn
Eti jambazi kuvamia ndani hadi avue viatu...
Mala jini anavuka barabara huku anaogopa kugongwa na gari..
Ahahahahaha uuwiTangu nione jini linamfukuza mtu lilipoona linaachwa likakodi bodaboda... nilikoma kabisa kuangalia hayo makitu ya bongo movie
Ahahahahaha Mungu jaman atusaidieTitle na content completely different! Title English lugha iliyotumika ni swahili hao ndo bongo movie bana
Kizuri kisifie tu ndg yangu, Unajua ZZK alivyoenda kumsabahi Lissu kamwachia kitabu gani asome?Ahahahahaha uuuwi ngoja na me nitoe novel jamaa mnavilaani sana vyenu bila sababu
Doh alimpelekea kipi sasa?!Kizuri kisifie tu ndg yangu, Unajua ZZK alivyoenda kumsabahi Lissu kamwachia kitabu gani asome?
Jiulize kwann hakumpelekea cha Shigongo na wenzake.
Ahahahahaha wema ukowap njoo uskize challengeSasa wema anavaa tu dira nakuongea basi ila zamani baadhi ya movie alijitahidi sikuhizi ni kuhema tu anajua