Kwanini hamuangalii Bongo Movie?!

Kwanini hamuangalii Bongo Movie?!

we endelea kuangalia kwakua ndo umezianza halafu ulete yatokanayo
 
Nikwambie kitu,Bongo movie watu bado kuwekeza pesa vizuri,kwa mfano muandishi wa script hawezi kuwa mtu mmoja lazima awe ni mtu mwenye firm na timu ya wataalam ambo wanweza kutengeneza multiple versions za scene moja.Subtitles lazima kuwa na wataalam wa lugha waliosomea lugha za watu sio makanjanja wa mtaani.Watu wa kutengeneza story lazima iwe ni timu ya watu sio mmoja ambao wanaangalia flow ya story mpaka ikamilike na kuwa na version kadhaa.Bongo movie wao ni kamera basas wanatoa movie kumbi movie kwanza lazima uistage kwenye jukwaa kwanza ikiweza kumvutia mtazamaji kwenye jukwa basi ndio mnaenda kutafuta locations zitazovaa ila image anayopata msikilizaji.

Bongo movie inahitaji uwekezaji mkubwa nagharama wanzatumia kutengeneza hivi vimuvi vya mwendo kasi wangewekeza kutengeneza Movie zenye stori nzito na kuweka hesabu zao sawa wangefika mbali sana.Sasa unatengeneza movie yenye bajeti ya milioni chache halafu unataka ikuingizie milioni nyingi.
Ni kweli shemela
 
sasa jini au mchawi anataka kuvuka barabara anaogopa magari.. anapisha yapite ndipo anavuka

unaona kabisa mtu anapigwa kibao mlangoni anatafuta kochi lilipo ndio anadondokea na kujifanya kazirai

yaabi mlimbwende anaamka asubuhi akiwa na make up usoni, kajipaka lipustiki usingizini??

sasa hizo bunduki/risasi zinavyotoa mlio paaa kama fundi akiwa anagonga msumari kwenye ubao yaani...

R.I.P BONGO MUVI
 
Kama uliangalia wewe ni wewe kwani kuna sheria inatulazimisha tuangaloe bongo muvi au ndo umezijua leo kwa shemeji yako!?
 
eti ana tafsiri kichina kweli??, then wakiitwa wakalima wa kichina nchini haendi afadhali tuangalie hivi hivi tusidanganyane kabisa
 
Tv ,deki, sofa ,meza ninunue kwashidaaaa alaf napo movie initese kuangalia nakusoma substitutes MAF DJ lainisha mkuu nikumeza tuu ata ukisinzia unaelewa bongo makelele tuu mekap zenyewe zamaji
 
Tv ,deki, sofa ,meza ninunue kwashidaaaa alaf napo movie initese kuangalia nakusoma substitutes MAF DJ lainisha mkuu nikumeza tuu ata ukisinzia unaelewa bongo makelele tuu mekap zenyewe zamaji
hahahaha pole best
tunasapoti vya kwetu jamaa
 
sasa jini au mchawi anataka kuvuka barabara anaogopa magari.. anapisha yapite ndipo anavuka

unaona kabisa mtu anapigwa kibao mlangoni anatafuta kochi lilipo ndio anadondokea na kujifanya kazirai

yaabi mlimbwende anaamka asubuhi akiwa na make up usoni, kajipaka lipustiki usingizini??

sasa hizo bunduki/risasi zinavyotoa mlio paaa kama fundi akiwa anagonga msumari kwenye ubao yaani...

R.I.P BONGO MUVI
ahahahahhahaha nimecheeekaaa kweli kweli

ila hizo za zamani sio za sa hivi za akina GABO nzuri jaman
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom