Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,894
- 2,228
bongo muv hamjui kuigiza
Uuuwibongo muv hamjui kuigiza
"CAPITAL in 21Century" by Thomas Picketty.Doh alimpelekea kipi sasa?!
Pole sana ila wanatudanganya sana eti jini akishindwa mbio anakodi bodabodaAhahahahaha nimecheka mpaka naulizwa mama una nyege au
hahahhaah hawavai uhalisia af hata ongea yao wanaonekana kama wanasoma sehem.Uuuwi
Sawa wamekuskia Sasa unawasaidiaje
Doh Mungu anakuona penda za kwenu jamaamimi nilikuwa mpenzi wa movie za bongo ila kinachoboa hadithi nyingi ukiona robo ushajua itaishia vipi
hadhithi zinafanana
ukiona hutotamani kurudia
ukianza tajiri wa kunyanayasa watu utakuwa masikini na utalia juu ya kaburi
kwa kifupi hazina uhalisia ndio maana naendelea kuifuatilia the promiss mwezi wa 3 sasa haina mpango hata wa kufika katikati
Kiru hakutaka kumpa za mapenzi kampelekea vya uchumi yeleuuuwi"CAPITAL in 21Century" by Thomas Picketty.
Na vingine.
Ahahahahaha nimecheka sana iyo movie inaitwaje jaman niitafute?!Pole sana ila wanatudanganya sana eti jini akishindwa mbio anakodi bodaboda
Uuuwi ni sheedahhahahhaah hawavai uhalisia af hata ongea yao wanaonekana kama wanasoma sehem.
Ahahahahah mnawashauri lkn akina wema Na ray Na jb?!Mambo gani ya jini kuuliza njia,kuomba maji ya kunywa na kuvua viatu.....bora komedi tuuu....ntacheka sana..
Hilo nalo nenoTatizo ni quality mbovu, movie zinatengenezwa kama maigizo....movie inahitaji investment na muda wa kutosha kuiandaa sio fasta fasta bila ubunifu ukiwaza kupata pesa tu, NO NO
Ukiikutana na bongo movie mtu anaeigiza jini ndio utaona utamu wake, anavuka barabara huku anaangalia kulia na kushoto asigongwe na gari, appetite kwamba huyo ni jini inakata gafla; wanachokiweza ni kukaa uchi, kujipaka marangi usoni na kuvaa wigi basi.....ngoja waongee kiingereza duh.
Kila kitu kina maandalizi yake ili kiwe bora, hao hao wanaoigiza wakiisomea hiyo saana vizuri na wakijifua vyema then wakafanya maandalizi ya kutosha watatoa vitu vya ukweli, sio kwa vile ni handsome boy au una sura ya kirembo basi ndio uwe muigizaji.
Zipo nyingi tu ni heri uangalie hata comedy za king majutoAhahahahaha nimecheka sana iyo movie inaitwaje jaman niitafute?!
Vya mapenzi wasome wapiga kura tu kwakweli....Kiru hakutaka kumpa za mapenzi kampelekea vya uchumi yeleuuuwi
Hahahahaha yule ndio simwelewi kabisaaZipo nyingi tu ni heri uangalie hata comedy za king majuto
Mbona producer wao kapewa kule rwabda yule nani sijui jina lanitokaAcheni tu raha wanajipa wenyewe umewahi sikia nani kapewa tuzo nje ya nchi kwa kuigiza au kutengeneza filamu bora wanajichanganya tu. Tuwasamehe inaitwa wamejaribu ila bado havumi ila wamo