Kwanini hamtuamshi usiku kutaka dyudyu?

Ni wanaume wachache sana wanaokubali kuamshwa na ke wale vitu!
Mara nyingi hudai wamechoka sana waachwe wapumzike!

Yaani unakuta umewaka kinoma umejiandaaa
Jamaa hataki kuguswa amechoka!
Hata ukimwambie niachie mie ntajipakulia mwenyewe wewe lala, hakubali anakwambia wewe msumbufu sana,hebu lala!

Muwe manakubali basi ke tukitaka,sio kila siku mechi zenu tuuu khaaa


hahha mie hata niwake vipi jaman simsumbui mtu !argh kero tu
 
Yaani mpaka tuamke sisi mmekuwa mnalala wengine wabinafsi yaani mkilala tusipowaamsha ndio basi tena.

Hii inaudhi sana mbona kama hamtaki tukiwaamsha mnapiga kazi kama mlikuwa macho vile kumbe mnakuwa mnatuchora tuu.

Tuamsheni bwana acheni dharau kwani raha si yetu sote.
Jinsia gani sasa???
 
Umenielewa vibaya. Nimesema tufanye kabla hatujalala na asubuhi ule muda tunajiandaa kuamka. Usiku sana ni kero hata stimu hakuna.
Ni kweli hata mashine haisimami vzur sababu ya usingizi
 
Yaani mpaka tuamke sisi mmekuwa mnalala wengine wabinafsi yaani mkilala tusipowaamsha ndio basi tena.

Hii inaudhi sana mbona kama hamtaki tukiwaamsha mnapiga kazi kama mlikuwa macho vile kumbe mnakuwa mnatuchora tuu.

Tuamsheni bwana acheni dharau kwani raha si yetu sote.
Duh ...kuna vichwa humu aisee!! Nimeckecha sana
 
Usingizi hauna dudu au dude.
Cha muhimu kama usingizi umekata mwamshe mwenzako
Watu wanachelewa airport reporting time kwa ajili ya usingizi sembuse dyudyu
By the way raha na starehe ya usingizi huwezi linganisha na pyupyu so zote statehe na ukiona mtu haamki kachagua starehe anayoipenda zaidi
Kama starehe zako ziko AGAINST matakwa ya ndoa... WE BADO HUJAMALIZA MAMBO YAKO, HENCE USIOLEWE WAKATI HUO... SUBIRI
 
haya masaccoss yao noma wanarudi wamechoka na wakali afadhali michepuko tu
Yaani mpaka tuamke sisi mmekuwa mnalala wengine wabinafsi yaani mkilala tusipowaamsha ndio basi tena.

Hii inaudhi sana mbona kama hamtaki tukiwaamsha mnapiga kazi kama mlikuwa macho vile kumbe mnakuwa mnatuchora tuu.

Tuamsheni bwana acheni dharau kwani raha si yetu sote.
 
kukatisha usingizi mara kwa mara inaathiri ubongo na afya ya akili...
 
Yaani mpaka tuamke sisi mmekuwa mnalala wengine wabinafsi yaani mkilala tusipowaamsha ndio basi tena.

Hii inaudhi sana mbona kama hamtaki tukiwaamsha mnapiga kazi kama mlikuwa macho vile kumbe mnakuwa mnatuchora tuu.

Tuamsheni bwana acheni dharau kwani raha si yetu sote.
Nature
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom