Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,853
- 99,818
Pole sana.Mimi nimeamshwa muda so mrefu.Baada ya hapo ndiyo naperuzi JF kimtindo.Mwepeeesiiii!Yaani mpaka tuamke sisi mmekuwa mnalala wengine wabinafsi yaani mkilala tusipowaamsha ndio basi tena.
Hii inaudhi sana mbona kama hamtaki tukiwaamsha mnapiga kazi kama mlikuwa macho vile kumbe mnakuwa mnatuchora tuu.
Tuamsheni bwana acheni dharau kwani raha si yetu sote.