Kwanini Demokrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?

Demokrasia inakubalika kwa miktadha ifuatayo:

chaguzi huru, uhuru wa maisha ya mtu binafsi baasi hiyo imetosha.

mkishamaliza kuchaguana na haki ikatolewa.
washindwa wawe waungwana na kuacha w
ashindi watawale maana hao ndiyo wameshinda zabuni ya kuongoza nchi.

kuendelea na siasa za majukwaani ni kuwaletea vurugu.
na hiyo siyo demokrasia, bali ni fujo.

Kuhusu utashi wa watu kuhusu namna ipi nchi iendeshwe wapo wawakilishi wao kwny vikao vya maamuzi.
representative democracy hapo imetumika.
 
Demokrasia inakubalika kwa miktadha ifuatayo:

chaguzi huru, uhuru wa maisha ya mtu binafsi baasi hiyo imetosha.

mkishamaliza kuchaguana na haki ikatolewa.
washindwa wawe waungwana na kuacha w
ashindi watawale maana hao ndiyo wameshinda zabuni ya kuongoza nchi.

kuendelea na siasa za majukwaani ni kuwaletea vurugu.
na hiyo siyo demokrasia, bali ni fujo.

Kuhusu utashi wa watu kuhusu namna ipi nchi iendeshwe wapo wawakilishi wao kwny vikao vya maamuzi.
representative democracy hapo imetumika.
unamaanisha Demokrasia inaliliwa na chadema siyo Demokrasia mkuu

Kuandamana Raisi akiongea na BBC, Kuandamana kwenda viwanja vya kampeni, Kumtukana Raisi tena kwa matusi makali, unayaomgeleaje haya mkuu
 
Demokrasia ndo mdudu anaetutafuna kwenye nchi masikini za kiafrika vijana hawafanyi kazi wanaacha maeneo, mabonde ya kulima mpunga wanakimbilia mijini (machinga) wanachochangia kwenye Pato la Nchi ni kidogo Sana .viongozi ni wezi wanalindana.
Nchi zipi Africa ni za kidemokrasia?
 
Bila shaka majibu yatapatikana hapa,

Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia

Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?

Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?

Natamani sana nchi zetu za Afrika na hasa Tanzania, tufunge ndoa na china katika kuendesha nchi yetu.

Ninauhakika, itakuwa ni miaka michache sana kufikia uchumi mkubwa na tutaondokana na umasikini.

Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.

Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?

Ole, siku moja niwe Rais wa nchi hii, mabeberu wataninyonga mapema asubuhi nakwambia.

Ni mara tano ya JPM kwa mwendo wake

Mungu bariki Viongozi wote Jasiri

Mijitu inayofaidi keki ya taifa kupitia u dikteta, hizi ndiyo hoja zao sasa.

Hivi mnadhani tunafurahia mno mnavyo jineemesha wenyewe?

Hiiiiii bagosha!
 
Bila shaka majibu yatapatikana hapa,

Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia

Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?

Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?
Nitajie nchi 3 zenye maendeleo makubwa duniani lakini hazifuati demokrasia nami nitakutajia nchi 25 zinazofuata demokrasia na zina maendeleo makubwa kuliko hizo nchi zako 3!!!

Halafu tusiende mbali...

Tuzungumzie nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara...

Nitajie nchi 10 zenye "maendeleo" makubwa ukanda huu halafu tuangalie ni zipi miongoni mwa hizo angalau angalau zinafuata demokrasia, na zipi zinakiuka misingi ya kidemokrasia!

KARIBU!!
 
Nitajie nchi 3 zenye maendeleo makubwa duniani lakini hazifuati demokrasia nami nitakutajia nchi 25 zinazofuata demokrasia na zina maendeleo makubwa kuliko hizo nchi zako 3!!!

Halafu tusiende mbali...

Tuzungumzie nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara...

Nitajie nchi 10 zenye "maendeleo" makubwa ukanda huu halafu tuangalie ni zipi miongoni mwa hizo angalau angalau zinafuata demokrasia, na zipi zinakiuka misingi ya kidemokrasia!

KARIBU!!
Demokrasia kuna wakati nchi inaweza kujikwaa?

Marekani chini chini ya Trampolining


China, Irani, Urusi, korea, n.k hizi zote zinaishi kwa ubabe na maendeleo ni makubwa
 
Umeshaishi China au Kufika China? unaweza kutupa mfano wa wachina 2, walihujumu uchumi,wala rushwa,wauza ngada,wandamanishaji nk, ambao walihukumiwa nje ya mahakama
Jamaa analeta stori za kwenye Kahawa.
 
Zipo za walevi, wazinzi na wagomvi, ila siyo wezi, wahujumu uchumi, wala rushwa, wauza ngada, wavunja sheria, wandamanishaji n. k, ukibisha waulize msoga watakupa utamu wa China
Msoga tena, nasikia hapo kuna mhalifu
anatakiwa china.
 
Demokrasia kuna wakati nchi inaweza kujikwaa?

Marekani chini chini ya Trampolining

China, Irani, Urusi, korea, n.k hizi zote zinaishi kwa ubabe na maendeleo ni makubwa
Korea ipi?! Kama ni North Korea, nani alikudanganya kuwa na uwezo wa kutengeneza makombora, na kuivimbia US ndo maendeleo?!

Seems like hata hiyo Iran ndo vigezo ulivyotumia!!

All in all, naona unachanganya kati ya nchi zenye maendeleo makubwa (developed countries), na nchi zenye uchumi mkubwa (as measured by GDP)!

Economic Development vs Economic Growth...

Hizo nchi ulizotaja ZOTE hakuna developed country HATA MOJA!!!

Btw, mbona hujataja basi kuhusu nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara?! Au kwavile unafahamu ZOTE zenye unafuu pia ndo zenye unafuu kwenye masuala ya demokrasia?
 
Shida ya hio mfumo wa china ya afrika, watawala ni mungu watu hata wapige dili vipi,wajenge vijijini kwao awashughulikiwi, uhamishwa tu alikuwa mbunge kesho anapewa uwaziri.

Ni rahisi kwa mtumishi wa kawaida kufukuzwa Kazi kwa sababu kapewa asante ya sh 2000 na Yale majizi makubwa sugu uhamishwa tu vitengo.

China hakuna aliyejuu ya Sheria
China upige dili?
 
Demokrasia inakubalika kwa miktadha ifuatayo:

chaguzi huru, uhuru wa maisha ya mtu binafsi baasi hiyo imetosha.

mkishamaliza kuchaguana na haki ikatolewa.
washindwa wawe waungwana na kuacha w
ashindi watawale maana hao ndiyo wameshinda zabuni ya kuongoza nchi.

kuendelea na siasa za majukwaani ni kuwaletea vurugu.
na hiyo siyo demokrasia, bali ni fujo.

Kuhusu utashi wa watu kuhusu namna ipi nchi iendeshwe wapo wawakilishi wao kwny vikao vya maamuzi.
representative democracy hapo imetumika.
Basi huku kinachotumaliza na kutuingiza kwenye vita vya maneno na kutunishiana pia kuingia mogogoro ya kutwangana sisi kwa Sisi ni tafsri potofu ya demokrasia aisee
 
Back
Top Bottom