Kwanini Demokrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?

Bila shaka majibu yatapatikana hapa,

Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia

Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?

Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?

Natamani sana nchi zetu za Afrika na hasa Tanzania, tufunge ndoa na china katika kuendesha nchi yetu.

Ninauhakika, itakuwa ni miaka michache sana kufikia uchumi mkubwa na tutaondokana na umasikini.

Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.

Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?

Ole, siku moja niwe Rais wa nchi hii, mabeberu wataninyonga mapema asubuhi nakwambia.

Ni mara tano ya JPM kwa mwendo wake

Mungu bariki Viongozi wote Jasiri
Tukopi katiba ya china basi kama ndio ilieta mafanikio! Kuzi akizingua ni kitanzi tu
 
Umeona rais wa china anaenda kujenga uwanja wa ndege kijijini kwao?
Isitoshe tumeishi kama china kwa muda mrefu mbona hatuna maendeleo?
China haijawai kuwa na demokrasia acha uongo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo maendeleo yanayoletwa na demokrasia huwa yanachagua nchi na nchi?

kwamba china haikuhitajika Demokrasia ili kuweko maendeleo na mapinduzi makubwa ya kiuchumi ilionao?
 
Bila shaka majibu yatapatikana hapa,

Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia

Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?

Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?

Natamani sana nchi zetu za Afrika na hasa Tanzania, tufunge ndoa na china katika kuendesha nchi yetu.

Ninauhakika, itakuwa ni miaka michache sana kufikia uchumi mkubwa na tutaondokana na umasikini.

Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.

Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?

Ole, siku moja niwe Rais wa nchi hii, mabeberu wataninyonga mapema asubuhi nakwambia.

Ni mara tano ya JPM kwa mwendo wake

Mungu bariki Viongozi wote Jasiri
Nahisi hii post nimeandika mimi
 
Nataka Mh Rais aongeze ukali zaidi ili taifa liende, Demokrasia kumbe inaweza kuzalisha magaidi

nchi ambazo hazizingatii sana Demokrasia, ugaidi ni 0, mf, China, Korea kz n.k
 
Bila shaka majibu yatapatikana hapa,

Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia

Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?

Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?

Natamani sana nchi zetu za Afrika na hasa Tanzania, tufunge ndoa na china katika kuendesha nchi yetu.

Ninauhakika, itakuwa ni miaka michache sana kufikia uchumi mkubwa na tutaondokana na umasikini.

Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.

Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?

Ole, siku moja niwe Rais wa nchi hii, mabeberu wataninyonga mapema asubuhi nakwambia.

Ni mara tano ya JPM kwa mwendo wake

Mungu bariki Viongozi wote Jasiri
China nani kakwambia hakuna demokrasia? Kuna demokrasia kwa mfumo wao waliyoona unawafaa. Tatizo nchi za magharibi zimefanya watu wengi kuamini demokrasia ni ile yao tu ya kiliberali. Demokrasia ambayo kwa maoni yangu inatoa mwanya kwa wenye nacho kuweza kununua haki. Pia inatoa mwanya kwa wanasheria kucheza na taaluma yao kuuza haki kwa wenye nacho. Kwa nchi masikini kujidai kufuata mfumo wa demokrasia ya kiliberali kichwakichwa ni kutoa mwanya ubeberu wa kimataifa kuidhibiti nchi hiyo.
 
Ujui chochote kuhusu demokrasia
Bila shaka majibu yatapatikana hapa,

Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia

Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?

Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?

Natamani sana nchi zetu za Afrika na hasa Tanzania, tufunge ndoa na china katika kuendesha nchi yetu.

Ninauhakika, itakuwa ni miaka michache sana kufikia uchumi mkubwa na tutaondokana na umasikini.

Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.

Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?

Ole, siku moja niwe Rais wa nchi hii, mabeberu wataninyonga mapema asubuhi nakwambia.

Ni mara tano ya JPM kwa mwendo wake

Mungu bariki Viongozi wote Jasiri
Ujui chochote kuhusu demokrasia.
Jifunze kwanza kuhusu maana ya demokrasia kisha rudi andika tena.
Walipofanya China ni mageuzi ya kiuchumi kwa kuacha sera za Mao za kujitenga na Dunia,mfano North Korea.
Wakaamua kufungua milango ya kiuchumi kuruhusu sekta binafsi ikue.
Jpm kufeli kwenye uchumi maana aliuwa sekta binafsi,ukiua sekta binafsi huwezi pata mapato ya kuendesha nchi.
Unapozungumza demokrasia toa mfano wa nchi za Ulaya,USA,Canada,India.nk.
 
China nani kakwambia hakuna demokrasia? Kuna demokrasia kwa mfumo wao waliyoona unawafaa. Tatizo nchi za magharibi zimefanya watu wengi kuamini demokrasia ni ile yao tu ya kiliberali. Demokrasia ambayo kwa maoni yangu inatoa mwanya kwa wenye nacho kuweza kununua haki. Pia inatoa mwanya kwa wanasheria kucheza na taaluma yao kuuza haki kwa wenye nacho. Kwa nchi masikini kujidai kufuata mfumo wa demokrasia ya kiliberali kichwakichwa ni kutoa mwanya ubeberu wa kimataifa kuidhibiti nchi hiyo.
Demokrasia ni nn kwanza
 
Ujui chochote kuhusu demokrasia

Ujui chochote kuhusu demokrasia.
Jifunze kwanza kuhusu maana ya demokrasia kisha rudi andika tena.
Walipofanya China ni mageuzi ya kiuchumi kwa kuacha sera za Mao za kujitenga na Dunia,mfano North Korea.
Wakaamua kufungua milango ya kiuchumi kuruhusu sekta binafsi ikue.
Jpm kufeli kwenye uchumi maana aliuwa sekta binafsi,ukiua sekta binafsi huwezi pata mapato ya kuendesha nchi.
Unapozungumza demokrasia toa mfano wa nchi za Ulaya,USA,Canada,India.nk.
Demokrasia si ni pamoja na ukosoaji?

China mtu anaweza kumkosoa Raisi kama tufanyavyo sisi huku?
 
Kwani nini maana yake mkuu
Demokrasia ni UHURU wa kufanya,kuamua mambo kulingana na utashi wa wengi.
Kifupi means wengi wape.
Tunaamini wengi wakiwa na mawazo SAwa au madai SAwa wapo sahihi.
UHURU kwenye uchumi, uongozi,nk pasipo kuvunja Sheria zilizowekwa na wengi.
 
Magufuli amejiidai kuua demokrasia na uchumi umeanguka toka 7% Hadi 4%

Kwao mujibu wa hotuba ya mama samia
maneno yako ni ghafi sana, shabaha yake ni kupotosha.

economic plunge from 7-4 of growth ni kutokana na kuripuka kwa covid 19

Hii pote duniani..
 
Back
Top Bottom