Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,553
Mchina hata usipomlipa anajilipa kupitia kuuza bidhaa zake Afrika mfano check pikipiki,malori na mabus ya kichina yanavyouzika afrika unaijua ngapi wanaingiza.Mikopo ya China haina ufuatiliaji kwani wao wanajua pa kuja kuwashikia (mrejesho na riba) hata mkigawana haiwahusu.
Mikopo ya wazungu hupenda pia kujua inatumikaje (kitu ambacho hakipendwi sana na 'wakopaji')
Pia machinga wote, bodaboda wote afrika nzima Hawa ni madalali wa viwanda vya china kwa maana utumika kuuza bidhaa zote utoka china sababu mchina katengeneza bidhaa kulingana na kipato cha mwafrika,KILA nyumba afrika Ina kifaa cha mchina si tv, sabwoofer,simu,torch,radio,solar,vikombe,sahani,nk