Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Naona umekimbia lile dili letu kule PMKweli kabisa mkuu ilitakiwa kufanya hivyo nasi kuipa chato mkoa.
R.I.P prez😭😭😭
Naona umekimbia lile dili letu kule PMKweli kabisa mkuu ilitakiwa kufanya hivyo nasi kuipa chato mkoa.
R.I.P prez😭😭😭
Hivi inakuwaje mkoa wa Geita unapendekeza kumega baadhi ya wilaya za mikoa mingine kama Mwanza, Kigoma na Kagera? Kuna makubaliano yo yote yamefanyika?🙏🙏🙏 Pamoja sana mkuu
Chato ni ndogo sana mkuuChato ni kubwa kuliko Butiama?, morogoro,na TANGA?
USINITUKANE JIBU SWALI.
Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
Kiukweli Chato ni ndogo.Chato ni kubwa kuliko Butiama?, morogoro,na TANGA?
USINITUKANE JIBU SWALI.
Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
Hata mkoa wa Mara ukigawanywa ina make sense tena sana tu. Kwa mfano wilaya ya Serengeti ndiyo liwe jina la mkoa. Wilaya ya Bunda iwe makao makuu ya mkoa wa Serengeti. Ukerewe itolewe Mwanza iletwe mkoa wa Serengeti. Mugumu iwe wilaya ndani ya mkoa wa Serengeti. Kuugawa hivi mkoa wa Mara kutachochoea ukuwaji wa uchumi kwa kiasi kikubwa sana hasa ukizingatia ukubwa wa mkoa wenyewe lakini pia jina la Serengeti litazidi kuwa hewani zaidi hasa ukizingatia kwamba jina la mbuga ya Serengeti lataendelea kubaki kama lilivyo.Ni kwasababu Rais aliepita alitaka hivyo. Kwanini alitaka hivyo? ni kwasababu Chato ni kwao. Kwa hiyo jibu ni ubinafsi.
Bora wangegawa Moro watu wangewaelewa.
Mkuu, mkoa wa Geita bado ni mchanga sana kuweza kuuvunja tena. Labda wasubiri 20 years to come. Morogoro ni kuuuubwa mno ndio inayopaswa kuvunjwa.Kiukweli Chato ni ndogo.
Tanga kubwa, mfano Morogoro ikigawanywa kuwa mikoa miwili, haitochukua ardhi kutoka wilaya ya mkoa wowote, labda yenyewe ndiyo igawe maeneo kwa mikoa jirani..
Kwanini serikali ianzishe mjadala wa Mkoa wa Chato, utakaoleta migogoro ya ardhi baina ya mikoa?? Kwani mikoa ya Kigoma na Kagera wameridhia kumegwa??
Everyday is Saturday...............................
Mkuu, mkoa wa Geita bado ni mchanga sana kuweza kuuvunja tena. Labda wasubiri 20 years to come. Morogoro ni kuuuubwa mno ndio inayopaswa kuvunjwa.
Ni jambo jema pia mkuu. Mimi ningependekeza uitwe mkoa wa "Magufuli" ila makao makuu yawe Chato baada ya miaka 10 kutoka sasa..kuna mtu amependekeza mkoa wa Geita ubadilishwe jina kuitwa mkoa wa Chato.
..nadhani uamuzi huo ni mrahisi zaidi kuliko kuunda mkoa mpya toka mikoa ya Geita na Kigoma.
Bado tu haijakaa vizuri kwa nini chato?..kuna mtu amependekeza mkoa wa Geita ubadilishwe jina kuitwa mkoa wa Chato.
..nadhani uamuzi huo ni mrahisi zaidi kuliko kuunda mkoa mpya toka mikoa ya Geita na Kigoma.
..kuna watu wanahitaji FARAJA kutokana na msiba wa Magufuli.Bado tu haijakaa vizuri kwa nini chato?
Hivi ikiachwa kama ilivyo nini kitatokea? Tanzania yetu hii bhana
Inatakiwa waendelee kua mkoani Geita sababu Magufuli amezaliwa mkoa humo wilaya ya Geita na ndipo walihamia chato...kuna watu wanahitaji FARAJA kutokana na msiba wa Magufuli.
..na wanalilia mkoa wa Chato kama faraja na namna ya kumuenzi Magufuli.
Inatakiwa waendelee kua mkoani Geita sababu Magufuli amezaliwa mkoa humo wilaya ya Geita na ndipo walihamia chato.
Kwahiyo inatakiwa wabaki ili kuwe na muunganiko
Chato ni ndogo sana mkuu
Kiukweli Chato ni ndogo.
Tanga kubwa, mfano Morogoro ikigawanywa kuwa mikoa miwili, haitochukua ardhi kutoka wilaya ya mkoa wowote, labda yenyewe ndiyo igawe maeneo kwa mikoa jirani..
Kwanini serikali ianzishe mjadala wa Mkoa wa Chato, utakaoleta migogoro ya ardhi baina ya mikoa?? Kwani mikoa ya Kigoma na Kagera wameridhia kumegwa??
Everyday is Saturday...............................