The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,731
- 1,642
Vilevile ujue ndo kanda yenye idadi kubwa ya watuKweli mkuu.
Ila kanda ya ziwa kutakuwa na utitili wa mikoa, au chato itakua kanda ya magharibi ikijumuishwa kigoma na Tabora?
Vilevile ujue ndo kanda yenye idadi kubwa ya watuKweli mkuu.
Ila kanda ya ziwa kutakuwa na utitili wa mikoa, au chato itakua kanda ya magharibi ikijumuishwa kigoma na Tabora?
Mkuu unajua umbali uliopo kutoka ngara kwenda Bukoba??? Kwa nini reason ya kusogeza huduma haiku-convice?? Hata serikali kuhamia Dodoma moja ya factor ni hyo kwa sababu ni katikatiSina shida na jina, na nadhani kila mwenye akili timamu alivyo. Tatizo kubwa ni kuwa hakuna sababu ya msingi.
Marehemu hasemwi mkuuWewe ulimpenda, endelea kumenda? I hate him and will hate him forever. Kila mtu ashinde mechi zake. This Mwendazake shot Ben Saanane by his own pistol while under torture. Kisa Ben Saanane anataka Mwendazake athibitise PhD yake kama siyo ya kunakili kwa Dr Y Philip
He was a DEVIL!! Alimtuma Paul Makonda na kundi la WASIOJULIKANA wakammuue Tundu Lissu na akapanga akazikwe Ikungi chap chap bila kuletwa kuagwa DSM.
Yeye kafoji PhD halafu anawatoa kazini waliofoji Certificate za Form IV tu. Akapotezea Forgery ya kwake, ya Makonda, Palamagamba, Kigwangalla na Mwigulu. Mungu hapendi double standards, kama vipi angewapotezea wote.
Alidhani kuwa Rais wa Tz ni sawa na kuwa Mungu. Takataka mkubwa yule Mungu akamuonyesha kuwa wewe si lolote si chochote pamoja na ulinzi wa ma helicopter, mabunduki na mitambo ya internet akafa kwa COVID19.
Kwa maneno yako mwenyewe umedai watu wa Kakonko walilalamikia umbali kufikia mkoani, na hii mmeifanya kuwa sababu ya kumega mkoa wa Kigoma, kama nia haina hila, basi Nyakanazi inafaa kukidhi vigezo vya kuwa mkoa kuliko Chato. Nyakanazi inakua haraka sana na tayari imeimeza Biharamlo na Ngara pia, Mila na desturi za watu wa Nyakanazi ni zile zile utakazozikuta Kibondo, Biharamlo, Ngara na Nyakanazi yenyewe lakini pia miundombinu imeanza kukaa sawa.Kwani Nyakanazi iko Mkoa wa Kigoma ? Nyakanazi iko wilaya ya Biharamulo Mkoa wa Kagera, kwanini uwaze kuunganisha na Kakonko na Kibobdo ?
Sasa kama Mkoa unakizi vugezo kwa nini mchukue Kakonko toka Kigoma na Busanda toka Geita. Ni UJINGA tu mnaendekezaMuundo wa mikoa na wilya hutegemea idadi ya watu; haitegemei historia au ukubwa wa eneo! Halafu maamuzi haya yanafanyika wakati Magufuli hayupo tena, je yangefanyika akiwa hai ingekuwaje?
Nafahamu sana. Hakuna mkoa ambao sijawahi kufika. Huwezi kusema umewapunguzia madhira ya umbali kufika makao makuu ya mkoa watu wa Ngara kwa kuweka makao makuu ya mkoa Chato. Chato ipo karibu sana na Geita.Mkuu unajua umbali uliopo kutoka ngara kwenda Bukoba??? Kwa nini reason ya kusogeza huduma haiku-convice?? Hata serikali kuhamia Dodoma moja ya factor ni hyo kwa sababu ni katikati
Amri ya ngapi hiyo na kwenye kitabu gani?Marehemu hasemwi mkuu
😭😭😭
Sahihi kabisa!!, lakini kuna agenda ya Siri hapa katika kuanzisha mkoa wa Chato nayo ni uchu wa madaraka, kupeana vyeo na ulaji, hakuna kingine hapo...suluhisho ni kupeleka huduma Kakonko, Kibondo, na kwingine ambako wananchi wako mbali na makao makuu ya mkoa.
Huo ndio uharibifu uliofanywa makusudi na watu walioaminiwa na kupewa Mamlaka, Je tukae kimya wakati hila zile zile zikifanyika kuunda mkoa wa Chato hata kama haukidhi vigezo?Sengerema kiuhalisia ilitakiwa kuwa Geita maana ilikuwa ndani ya wilaya ya Geita hadi 1975.
Labda waombe Chato iwe Manispaa ya mji mdogo, vinginevyo hata ukipitishwa kuwa mkoa tutakosoa tu.Geita ulistahili ila kwa chato bado sana hapo utaanza kujiuliza kwa nini mzee alipendelea chato zaidi ya Geita yenyewe?
Hapo utajua haya yapo kisiasa sana nasi vigezo husika
Kauli kama hizi ndizo hutolewa na watu waliolewa madaraka, kumbuka Mamlaka yote waliyonayo viongozi na watendaji huko maofisini yanatoka kwa wananchi.Wizara ndio yenye mamlaka. Siyo hao waha wa Kakonko
Uko sahihi kabisa ndo maana nasema pingamizi liwe kwa makao ya mkoa kuwa chato na si kupinga kuundwa mkoaNafahamu sana. Hakuna mkoa ambao sijawahi kufika. Huwezi kusema umewapunguzia madhira ya umbali kufika makao makuu ya mkoa watu wa Ngara kwa kuweka makao makuu ya mkoa Chato. Chato ipo karibu sana na Geita.
sasa hapo chtto kuna nini mpaka useme hivyo au hizo barabara mlizojengewa kwa hila au huo uwanja usiotumika?Mkoa hautengwi kwa kutazama ukubwa ma ardhi. Ingekua ukubwa wa ardhi Dar Es Salaam ingejua wilaya tu.
Tofautisha Chato wilaya na Chato mkoa. Je wilaya za Kakonko, Bihalamulo, Ngara, Chato na Bukombe haziwezi kuunda mkoa.sasa hapo chtto kuna nini mpaka useme hivyo au hizo barabara mlizojengewa kwa hila au huo uwanja usiotumika?
Hapa ndipo mtu unajiuliza "hivi sisi watanzania ukomo wetu wa kufikiri unakomea wapi!!???" Tunafuata maslahi ya nchi au ni maslahi ya siasa zisizo na faida ya muda mrefu kwa taifa???Chato kuwa mkoa haijakaa vyema. Hii ilipaswa kuachwa kama wilaya ndani ya mkoa wa Geita.
Kwanini chato iwe mkoa kutoka kwenye mkoa mchanga wa Geita?
Ikumbukwe Geita ilitengwa kua Mkoa mwaka 2010 kipindi cha Jakaya tena iweje mkoa mchanga utoe mkoa mwingine wa Chato? Soma Kikwete atangaza mikoa, wilaya mpya
Serikali ingepaswa kuangalia mikoa mingine mikubwa ndio iweze kuikata kuzaa mikoa mingine, mfano mikoa inayostahili inaweza kua Tabora, Morogoro, Tanga, Singida, Ruvuma, n.k
Kuna haja gani ya kuunda mkoa Mpya wa Chato? Serikali iliangalie hili lasivyo kutakua na utitiRi wa mikoa kwa kila Rais ajae.
View attachment 1800958
_______________________________
Rejea Taarifa hizi
Geita yaridhia kuanzishwa Mkoa wa Chato. RCC yatoa mapendekezo. Baadhi ya maeneo kutoka mikoa jirani. RC Geita Mhe Rosemary Sitaki awashukuru Wananchi kukubaliana kwa hekima bila ushabiki.
Kikao cha Kamati ya Ushauri ya mkoa - REGIONAL CONSULTATIVE COMMITTEE (RCC), Kilichokaa kama kikao Maalum leo kwaajili ya Mapendekezo ya kuunda Mkoa Mpya wa Chato, Kimependekeza yafuatayo:
1. Mkoa Mama wa Geita ubakiwe na Wilaya tatu ambazo ni Wilaya ya Geita, Mbogwe na Wilaya ya Nyang'hwale.
2. Imependeleza iombwe Wilaya ya Sengerema ambayo ipo Mkoa wa Mwanza, ili iweze kukamilisha Wilaya nne za Geita pamoja na Wilaya Pendekezwa ya Busanda.
3. Mkoa wa Chato imependekezwa kwa iundwe na Wilaya za Geita ambazo ni Chato yenyewe, na Wilaya ya Bukombe.
4. Pia imependekezwa kutoka Kigoma, iombwe eneo kutoka Wilaya ya Kakonko, pia kutoka Kagera imependekezwa ziombwe Wilaya mbili ambazo ni Biharamulo na Wilaya ya Ngara.
Mapendekezo haya yamekamilika na yamekubaliwa na wajumbe wote wa RCC.
Sasa yatapelekwa kwenye Wizara husika ili yaweze kufanyiwa kazi.
Nini maoni yako kwenye hili?
Kwanini uitoe Kakonko Kigoma? Kwa nini uitoe Biharamulo na Ngara Kagera?Tofautisha Chato wilaya na Chato mkoa. Je wilaya za Kakonko, Bihalamulo, Ngara, Chato na Bukombe haziwezi kuunda mkoa.