Kwa mda mrefu sasa wabunge wa Chadema wamekuwa wakiendesha harakati za kupinga mwenge wa uhuru.
Najiuliza chadema wanachukia mwenge wa uhuru au wanachukia shughuri zinazofanywa na mbio za mwenge, Pengine wanadhani mwenge usipopita wao watazidi kuungwa mkono kwenye maeneo mengi.
Lakini imani yangu ni kuwa chadema wanapingana na maendeleo yanayozinduliwa na kufunguliwa wakati wa mbio za mwenge kwani wao ni wapinga maendeleo ili serikali ionekane haijafanya kitu,hizi siyo siasa bali ni kupotoka kwani siyo busara kupinga kila kitu.
Wewe ulishaona wapi watu wanapinga kila kitu hata cha manufaa kama siyo kupoteza utashi wa kimaendeleo ni nini?,
tafuta hotuba yoyote ya kiongozi wa chadema hutasikia akihamasiasha au kupongeza maendeleo fulani.
Hujui kitu. Kuzindua mradi hadi mwenge? Ina maana mwenge ukizimwa huwa hakuna miradi? Hivi wajua mwenge ukiwashwa hadi kuzimwa unatumia sh. ngapi ukimbizwa mikoa yote au ni wachache kupata posho.?[/QU
hata mimi sihitaji kutmia nguvu nyiiiingi,kusema HUJUI KITU,lala kwanza!! Kwa kifupi2,kukimbiza mwenge nchi nzima co chni ya bil 60. Posho,chakula,malazi,mafuta NUKTA. LALA KWANZA
Kwani menge unatoa hotuba za kupumbaza watu au kunakazi gani inayofanywa na mwenge ya kufunika watu wasijue kinachoondelea au umekurupuka kuchangia bila kujua msingi hoja yenyewe.
...leo wananchi wa Morogoro walikuwa wanalalamika kuwa "mwenge ulikolala' eneo lote lilikuwa limejaa kondomu zilizotumiki, zikizagaa kila sehemu ya eneo lao, pia wamelalamikia kuwa wengi waliolala kwenye mkesha huo ni wanafunzi.Kwa akili yako mwenge ndio unaoleta maendeleo basi utabaki hivyohivyo. Maendeleo yanaletwa na watu. Unadhani marekani wamekuwa na maendeleo kwa kukimbiza mwenge? Wewe utabaki na mawazo ya kizee mpaka ufe. Chadema wanakwenda na maendeleo ya kisasa sio kula hela za wananchi kwa kukimbiza kibatari kinachoishia kueneza ukimwi. CCM chama kikongwe kanataka kuleta maendeleo ya kileo kwa mbinu za kizamani
Kwa mda mrefu sasa wabunge wa Chadema wamekuwa wakiendesha harakati za kupinga mwenge wa uhuru.
Najiuliza chadema wanachukia mwenge wa uhuru au wanachukia shughuri zinazofanywa na mbio za mwenge, Pengine wanadhani mwenge usipopita wao watazidi kuungwa mkono kwenye maeneo mengi.
Lakini imani yangu ni kuwa chadema wanapingana na maendeleo yanayozinduliwa na kufunguliwa wakati wa mbio za mwenge kwani wao ni wapinga maendeleo ili serikali ionekane haijafanya kitu,hizi siyo siasa bali ni kupotoka kwani siyo busara kupinga kila kitu.
Sehemu zote hapa nchini unajua mapato na matumizi yake,Hata mm nauchukia sana tu kwn michango yake haijawah kutolewa mapato na matumz.
Kumbe uko chadema ndiyo maana mawazo yako yamekaa kibavicha tu huna unachojua.kwani kuna haja ya kutumia nguvu nyingi kusema HUJUI KITU. Kwa kifupi gharama za kukimbiza mwenge nchi nzima co chini ya bil 60.. LALA KWANZA au KAOGE then tuje tuendlee na chadema
Hujajibu swali kwa nini chadema wanaupinga mwenge wa uhuru hata sababu wanazotoa hazina maana.
Matusi ne sehemu ya maisha ya wanachadema unadhani ukitukana unabadili mantiki ya hoja si kweli,
chadema kumekuwa na desturi ya kupinga kila kitu lakini wao hawasemi watafanya nini pale wanapopinga kitu watu kama hawa sijui tuwape jina gani ambalo linawafaa kama siyo waharibifu wa maendeleo ya jamii yetu.[/QUOTE]
YOU ARE WRONG MR/MS NEW PRESIDENT!!...The truth is that,matusi ni sehemu ya maisha ya wana CCM!!.."Ujinga" na "Upumbavu" hayo si matusi ndugu bali ni sifa zitokanazo na matokeo ya kufanya mambo na mipango ya kijinga na kipumbavu.Sasa hapo utamulaumu nani? Aliokuonesha matokeo ya matendo yako au wewe mwenyewe kwa matendo yako?.....Acheni kurusha lawama kwa CHADEMA, ni kupoteza muda wenu bure badala ya kutenda kwa nguvu na ari mpya kwa kuhakikisha kuwa mnatumia ipasavyo nyenzo zote mlizokabidhiwa na umma. Jitazameni ninyi wenyewe because always ACTIONS SPEAK LOUDER THAN WORDS!!
Kupinga kila kitu?? May be YES kwa sababu, na mimi nafikiri, lazima kipingwe kwa sbb you will never get anything good kwa SERA na MIPANGO mibovu na ya hovyo!!
Halafu umesema wao hawasemi watafanya nini kila wanapokosoa? Una uhakika kabisa?....Anyway, nikukumbushe na hasa kuhusu swala hili tunalojadili la "MBIO ZA MWENGE".....Chadema wako wazi sana kuhusu hii kitu "MWENGE WA UHURU" kwa sbb ni kitu kilchopitwa na wakati kwa sasa ni aina tu nyigine ya UFISADI,ni fedheha na adha tu kwa mwananchi.....wao km watachukua serikali wamesema utawekwa katika JUMBA LA MAKUMBUSHO kama zilivyo picha za Nyerere na waasisi wengine wa taifa hili!!
Na mimi hili naliunga mkono kwa asilimia 100. Na mwisho kabisa ni kuwa,ondoa dhana ya si kila anayekosoa serikali na CCM ni CHADEMA. Mfano ni mimi si mwanachadema kwa "kadi" ila naunga mkono sera na mipango yao mingi, nawa support kwa nguvu zote. Na kura yangu kuanzia kwa mwenye kitongoji hadi kwa Rais nitawapa!!
Na CCM na SERIKALI yao ni lazima tuwaseme na kuwakosoa kila siku kwa sababu SERA na MIPANGO yao ndiyo inayoathiri maisha yetu ya kila siku. Tatizo lao kubwa ni moja tu, si wasikivu,si waelewa na wanadhani kila wanachokianzisha wao si sahihi tu na yeyote anayepingana/kosoa ni adui yao.....NI CHADEMA, na hili ni KOSA KUBWA SANA!!!