Kwanini CHADEMA wanataka Tanzania inyimwe misaada?

Kwanini CHADEMA wanataka Tanzania inyimwe misaada?

Wanyimwe tu kwanza haifiki kwa wananchi..!!

Kwaiyo tukose pesa 👈

lkn mnasahau mikusanyiko yenu kunaitajika ulinzi mkubwa wa Police polisi wanaitaji kulipwa pesa 👈


Pengine pesa za misaada zinatumika kulipia posho
polisi wetu👈

Yani militaka Police walinde mikusanyiko yenu uku nyinyi nkiendelea kukusanya mipesa kupitia tone tone na kupakia kwenye FUSO

uku polisi hajui kesho yao baada TANZANIA kunyimwa
misaada👈

L
 
Falsafa ya CHADEMA ni ile ile, "Adui muombee njaa"... Siku zote fedha ndio chanzo cha jeuri ya watu wengi. Njaa na utu huwa havitengamani siku zote mtu mwenye njaa lazima afikirie kwa utulivu matendo anayoyafanya. Mboga mboga wanaogelea kwenye ukwasi wa kodi na mikopo mikubwa ya miradi. Wanaishi kama wako Paradiso ingali wapo duniani.

Sawa tu
Nanyinyi kwenu tumemwaga mboga❗️

hakuna tena tone tone tukose wote🤠🤠🤠 Dawa ya Moto moto👈
 
Kwaiyo tukose pesa 👈

lkn mnasahau mikusanyiko yenu kunaitajika ulinzi mkubwa wa Police polisi wanaitaji kulipwa pesa 👈


Pengine pesa za misaada zinatumika kulipia posho
polisi wetu👈

Yani militaka Police walinde mikusanyiko yenu uku nyinyi nkiendelea kukusanya mipesa kupitia tone tone na kupakia kwenye FUSO

uku polisi hajui kesho yao baada TANZANIA kunyimwa
misaada👈

L
Wanalinda au wanakuja kufanya vurugu na kukamata raia?

Nchi haina vyanzo vya mapato mpaka misaada itumike kulipia mishahara ya polisi??

Akili unazotumia kufikiri ni hizi hizi au kuna nyingine umebakiza?
 
Inatumika kuua n kuteka watanganyika zaidi kuliko wazenji.
Kazi ni kipimo cha utu

Penye fujo Uvunjifu wa Amani kuteketeza mali za raia Miundombinu ya Jamhuri
Haaaa

polisi watakufikia tu uwe Zanzibar au Mbeya 🤠
uko Zanzibar washazika watoto wao karibu 100 kipindi cha RAIS Benjamin William Mkapa

polisi hawabagui kutwanga watu wakorofi👈

ukiwaita kwa matendo yako watakufikia tu chap🤠
 
Wanalinda au wanakuja kufanya vurugu na kukamata raia?

Nchi haina vyanzo vya mapato mpaka misaada itumike kulipia mishahara ya polisi??

Akili unazotumia kufikiri ni hizi hizi au kuna nyingine umebakiza?

Pesa za misaada ndizo zinatumika kulipia polisi posho zao ✅️ vyanzo vingine vinaenda kwenye matumizi mengine 👈

Wewe mwenye Akili nyingi tujibu ??

nyinyi mnapata faida gani TANZANIA ikinyimwa misaada??
 
Tangu lini ex wakoloni wakakupa msaada wa maana?. Tanzania kunyimwa hii misaada ya kinafiki kutoka kwa mabeberu ndio kifo cha chadema Tanzania. Hata Nabii Suleiman kama angekuwa hai angewapa CCM nchi (mtoto) waendelee kuiongoza. Chadema kuomba nchi inyimwe misaada hawana tofauti na yule mama aliyesema bora mtoto afe kwenye ile kesi ya mama wawili waliokuwa wanagombania mtoto aliyehai.
Kama hamuna msaada utokao kwa X-Wakoloni kama ulivyowaita sasa unalialia nini? Can't you concentrate with whatever affects your life?
I bet si kwamba unatuletea ile hadithi ya sungura ya 'sizitaki mbichi hizi'.
 
Pesa za misaada ndizo zinatumika kulipia polisi posho zao ✅️ vyanzo vingine vinaenda kwenye matumizi mengine 👈

Wewe mwenye Akili nyingi tujibu ??

nyinyi mnapata faida gani TANZANIA ikinyimwa misaada??
Acheni kulialia, fungeni mikanda mjitegemee siyo mnalilia misaada ya mabeberu huku mkiwaambia chawa wenu kuwa mabeberu si lolote si chochote.
 
Pesa za misaada ndizo zinatumika kulipia polisi posho zao ✅️ vyanzo vingine vinaenda kwenye matumizi mengine 👈

Wewe mwenye Akili nyingi tujibu ??

nyinyi mnapata faida gani TANZANIA ikinyimwa misaada??
Sasa kama pesa za misaada ndio zinalipia polisi basi wenyewe wamegoma kuzitoa kwa hao polisi wanaoua raia..!!

Faida tunapata wananchi maana polisi mtakosa posho na mishahara hivyo hamtakuwa na nguvu za kutuua raia badala yake wote tutaanza kukemea uovu..!!

Swali lingine?
 
Uchaguzi uko Tz huko UN, AU, EU, SADC ndio wapi tena? Kama hao wangekuwa na msaada bila shaka wangeshamwambia Paul Biya, Kagame na Museveni ondokeni sasa imetosha. Wangeshatuliza vita huko Sudani, Somalia, DRC, Ukrane, Iran. Wangeshamlaumu na kumlaani na kumwamuru Trump amrejeshe Maduro Venezuellla.

Kakaaa, fisi hawezi kumsifia kondoo kutokana na namna maslahi yao na riziki zao zinavyopatikana. Siku ukiwasikia wanasifiana shituka. Tangu lini EU ikatupenda sisi waliotuweka daraja la tatu?

Hata kama hatuna akili wote ndio tumpe nchi Heche, are we serious? Kwa sera zipi? Mkakati upi?. Wako kwenye payroll za Ubelgiji na Canada.
Kwamba mmekaa mkaona hiyo ndiyo mifano ya kuwapa kiburi cha kuendelea kuumiza wananchi eti kwa kwa nanyi mtatumia mkono wa chuma(dola) kuwatawala watu badala ya kukubalika kupitia kura halali?

Iko hivi elewa kuwa nchi ulizoorodhesha kama rejea ya mifano na kioo chenu. wananchi wao walio wengi hawajapata hata elimu ya sekondari na utambuzi wa mashaka yao ya maisha na uhusiano wake na serikali. Nchi kama ya Biya, Museven, drc, s/sidhani, nk watu wake wengi wametopea ktk ujinga kielimu. hata ile ya msingi hali inayowafanya wananchi hao maskini na walionyimwa elimu kushindwa kutambua adui yao.

Mbona hautoi mifano ya nchi zenye watu wake walio na uelewa walioweza kuwafurusha viongozi dhalimu kwa njia ya maandamano na wakaweza kutulia. Vipi kuhusu Tunisia, Algeria nk. Ama kuhusu Madulo ni miongoni mwa dhalimu kwa wananchi ndiyo maana unaona nchi yao iko shwari na huu uwe mfano kwako kwamba wananchi wakiona viongozi wako kinyume na matakwa yao tufurahi hata pale kiongozi huyo anapopata shida.

Eti "tangu lini EU ikakupenda" hapa ndipo mnapojilisha upepo. Mbona ni juzi tu tumesikia vilio vingi vikubwa
bungeni mara baada kusikia tetesi kuwa uhusiano upo mashakani, mbona hatukusia vicheko vya afuraha juu ya taarifa hiyo. hapa ni wazi kuwa yapao manufaa wanayonufaika nayo Viongozi zaidi hata pengine kuliko sisi wananchi.
Hadi sasa ni kiguu na njia kwenda kubembeleza huko kwa Who are you.
 
Mb
Kwahiyo ni heri nchi iwe chini ya WAHUNI wachache ambao hawana uwezo wa kuongoza nchi?
Mbona tz ina wakimbizi, wawekezaji na wachezaji wengi kutoka nje? Ni kweli kuna wahuni wasioweza kuongoza nchi? Nchi gani ya Afrika inaongozwa vizuri, Kenya, uganda, rwanda, malawi, nigeria au ipi?. Leo nimewaona Wazambia wamekuja tz kupata ujuzi wa namna ya kusambaza umeme nchi nzima. Msitutoe kwenye reli.
 
Sasa kama pesa za misaada ndio zinalipia polisi basi wenyewe wamegoma kuzitoa kwa hao polisi wanaoua raia..!!

Faida tunapata wananchi maana polisi mtakosa posho na mishahara hivyo hamtakuwa na nguvu za kutuua raia badala yake wote tutaanza kukemea uovu..!!

Swali lingine?
Kama polisi wakikosa nguvu basi majambazi watambaka mkeo mbele yako.
 
Tanzania kama nchi nyingine za Afrika zinahitaji misaada ili kutoa huduma kwa wananchi. Unapozouia misaada maana yake unadhamiria kuwanyima watoto huduma za chanjo, matibabu na elimu. Unawanyima wananchi huduma za barabara, madaraja na pembejeo. Hasara kubwa sana kwa wananchi kuliko kwa viongozi. Je, Lisu ana thamani hiyo?

Nijuavyo mimi kuinyima serikali misaada kutoka kwa wahisani kunasababisha yafuaatayo:
1. Watanzania kuichukia chadema kwa shida zitakazojitokeza. Watanzania wana akili.
2. Huduma kwa wananchi zitapungua idadi, ukubwa na ubora.
3. Watanufaika zaidi majeshi kuliko watu wengine (kipaumbele kitakuwa hawa kwanza)
4. Kodi zinaongezeka ili kuziba pengo la ukosefu wa misaada
5. Miradi ya kimkakati ichachelewa kumalizika.

Jiulize, kwanini Zimbabwe imewekewa vikwazo lakini bado serikali ipo? Je, Shivangilai na chama chake wapo vilevile?, Iran je? Urusi je?

Kifupi kupiga debe nchi inyimwe misaada haimsaidii mpiga debe na wala hawaumizi watawala, bali wananchi wenye vyama na wasiokuwa na vyama.
Kwa sababu misaada inaishia kwenye mifuko ya samia na kikwete na kundi lao pamoja na watoto wao
 
Tanzania kama nchi nyingine za Afrika zinahitaji misaada ili kutoa huduma kwa wananchi. Unapozouia misaada maana yake unadhamiria kuwanyima watoto huduma za chanjo, matibabu na elimu. Unawanyima wananchi huduma za barabara, madaraja na pembejeo. Hasara kubwa sana kwa wananchi kuliko kwa viongozi. Je, Lisu ana thamani hiyo?

Nijuavyo mimi kuinyima serikali misaada kutoka kwa wahisani kunasababisha yafuaatayo:
1. Watanzania kuichukia chadema kwa shida zitakazojitokeza. Watanzania wana akili.
2. Huduma kwa wananchi zitapungua idadi, ukubwa na ubora.
3. Watanufaika zaidi majeshi kuliko watu wengine (kipaumbele kitakuwa hawa kwanza)
4. Kodi zinaongezeka ili kuziba pengo la ukosefu wa misaada
5. Miradi ya kimkakati ichachelewa kumalizika.

Jiulize, kwanini Zimbabwe imewekewa vikwazo lakini bado serikali ipo? Je, Shivangilai na chama chake wapo vilevile?, Iran je? Urusi je?

Kifupi kupiga debe nchi inyimwe misaada haimsaidii mpiga debe na wala hawaumizi watawala, bali wananchi wenye vyama na wasiokuwa na vyama.
Kwa sababu misaada inaishia kwenye mifuko ya samia na kikwete na kumdi lao pamoja na watoto wao
 
Kwamba mmekaa mkaona hiyo ndiyo mifano ya kuwapa kiburi cha kuendelea kuumiza wananchi eti kwa kwa nanyi mtatumia mkono wa chuma(dola) kuwatawala watu badala ya kukubalika kupitia kura halali?

Iko hivi elewa kuwa nchi ulizoorodhesha kama rejea ya mifano na kioo chenu. wananchi wao walio wengi hawajapata hata elimu ya sekondari na utambuzi wa mashaka yao ya maisha na uhusiano wake na serikali. Nchi kama ya Biya, Museven, drc, s/sidhani, nk watu wake wengi wametopea ktk ujinga kielimu. hata ile ya msingi hali inayowafanya wananchi hao maskini na walionyimwa elimu kushindwa kutambua adui yao.

Mbona hautoi mifano ya nchi zenye watu wake walio na uelewa walioweza kuwafurusha viongozi dhalimu kwa njia ya maandamano na wakaweza kutulia. Vipi kuhusu Tunisia, Algeria nk. Ama kuhusu Madulo ni miongoni mwa dhalimu kwa wananchi ndiyo maana unaona nchi yao iko shwari na huu uwe mfano kwako kwamba wananchi wakiona viongozi wako kinyume na matakwa yao tufurahi hata pale kiongozi huyo anapopata shida.

Eti "tangu lini EU ikakupenda" hapa ndipo mnapojilisha upepo. Mbona ni juzi tu tumesikia vilio vingi vikubwa
bungeni mara baada kusikia tetesi kuwa uhusiano upo mashakani, mbona hatukusia vicheko vya afuraha juu ya taarifa hiyo. hapa ni wazi kuwa yapao manufaa wanayonufaika nayo Viongozi zaidi hata pengine kuliko sisi wananchi.
Hadi sasa ni kiguu na njia kwenda kubembeleza huko kwa Who are you.
Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba na watu wao hawana elimu ya demokrasia? Usihatarishe maisha ya watoto wa nchi hii wakati watoto wenu wako salama huko ulaya.
 
Nchi gani ya Afrika inaongozwa vizuri, Kenya, uganda, rwanda, malawi, nigeria au ipi?
They said two wrongs don't make it right.

Kutofanya vizuri hizo nchi nyingine hakutufanyi sisi TZ tuendeshe KIHUNI.
 
Urusi, China, Korea kaskazini, Cuba na watu wao hawana elimu ya demokrasia? Usihatarishe maisha ya watoto wa nchi hii wakati watoto wenu wako salama huko ulaya.
Tatizo lako/lenu mnapenda kutafuta mifano ya kuwabeba bila hata kuona mazingira linganifu. Mifano hiyo haifanani na siasa za nchi yetu. Nchi hizo ni kama ziko ktk mfumo wa chama kimoja tu, kama ndivyo hivyo futeni vyama ibaki CCM. Na kwa taarifa yako kama ndivo malengo yenu kwa sasa hamwezi kufanikiwa, maadamu mlishachagua mfumo wa siasa za vyama vingi sharti muenende ktk uhalisia wake, kinyume chake ndiyo hivi mnavyo sababisha mauaji kwa watu.
 
Back
Top Bottom