Kwanini CHADEMA hawaandamani Moshi?

Kwanini CHADEMA hawaandamani Moshi?

mtoa maada, kama wewe unadhani ni great thinker hebu jaribu kuepuka maada za kibaguzi, unaweza kwa upeo wako ukafikiri ni utani! mwisho wa siku unashuhudia madhala, ni wenye akiri fupi tuu wanaweza chochea ubaguzi, angalia hilo
 
Moshi serikali haina Interest sana ndo maana hata chokochoko hazipelekwi kule kama wanavyofanya huko Arusha. Kilichopo Arusha ni ushindani wa nguvu
 
moshi hawataki vurugu za maandamano! wanajua fika kabisa vurugu za maandamano zitaharibu biashara ya utalii ambayo vijana wengi ndo wanakoptata riziki zao, pia wao bize sana na biashara zao mbalimbali!
 
Labda kama watawalipa wananchi wa moshi wataandamana kule walistaarabika siku mingi sana kuwa hakuna kutumikishwa bure kwa maslahi ya wachache
 
Moshi hakuna meya wakichina na wangejaribu angeshauwawa.pale ni demokrasia na magamba wanaelewa.
 
Dah mtoa mada umegusa ninapopataka. Swali hili alishalijibu BABA WA MJI{@ndesamburo} alisema hivi nanukuu: watu wananiuliza mbona mnaleta maandamano huku kwetu lakini hatujawahi kusikia maandamano moshi? Nikawajibu kwamba tunachokifanya moshi niutekelezaji wa ilani ya chama kwani sisi pale moshi sio wanaharakati ila ni watawala na ccm ndo wanaharakati wanaotamani kututoa madarakani na wanajua hawawezi yaani moshi ilishakombolewa na sasa ipo huru tunapoandamana sehemu nyingine ni kuhakikisha nako ukombozi unafika baada ya hapo mambo yatakuwa shwari kama moshi. Mwisho wa kunukuu BABU alisema hayo mjini moshi kwenye mkutano wa hadhara baada ya kutoka hospitali mapema mwezi wa tatu au wa nne kama sikosei.
 
Dah mtoa mada umegusa ninapopataka. Swali hili alishalijibu BABA WA MJI{@ndesamburo} alisema hivi nanukuu: watu wananiuliza mbona mnaleta maandamano huku kwetu lakini hatujawahi kusikia maandamano moshi? Nikawajibu kwamba tunachokifanya moshi niutekelezaji wa ilani ya chama kwani sisi pale moshi sio wanaharakati ila ni watawala na ccm ndo wanaharakati wanaotamani kututoa madarakani na wanajua hawawezi yaani moshi ilishakombolewa na sasa ipo huru tunapoandamana sehemu nyingine ni kuhakikisha nako ukombozi unafika baada ya hapo mambo yatakuwa shwari kama moshi. Mwisho wa kunukuu BABU alisema hayo mjini moshi kwenye mkutano wa hadhara baada ya kutoka hospitali mapema mwezi wa tatu au wa nne kama sikosei.

Jibu sahihi kabisa nakupa 3 stars!!!
 
Wakuu na maGT naomba mnisaidie, mbona sijawahi kusikia CHADEMA wakiandamana moshi au ndo kusema moshi hapana matatizo kama ambayo huwasababisha wao kuandamana sehemu nyingine? Au ndo kusema moshi hapana tatizo na wakishika dola nchi itakuwa kama Moshi?

Hahahahahahaaaaaa.
Ya mbayuwayu!!!!!!!

moshi hawataki vurugu za maandamano! wanajua fika kabisa vurugu za maandamano zitaharibu biashara ya utalii ambayo vijana wengi ndo wanakoptata riziki zao, pia wao bize sana na biashara zao mbalimbali!

Jibu sahihi kabisa nakupa 3 stars!!!

942515_617153594963121_1994579558_n.jpg


Tunasubiri maisha bora kwa kila Mtanzania. Miaka kumi sasa inakatika hatuoni.
 
Mkumbuke kwamba cdm ndo wameshika manispaa ya moshi wakiongowa na meya anayejua nini wananchi wanahitaji mh Jafari MICHAEL diwani wa kata ya pasua ndo sababu ccm wamenyosha mikono juu kuashiria kushidwa. Wakati wa uchaguzi wanaleta hela zao tunazila alafu kura tunapiga kwa cdma ila nawashukuru sana ccm kwa kukubali kushindwa kwani asiye kubali kushindwa sio msh. . . . Saivi vijana wanaendesha maisha kwa mitaji walopewa na BABU@ndesa ndo sababu moshi inapiga hatua kimaendeleo. Haushangai moshi imeifunika kilimanjaro?
 
Last edited by a moderator:
Dah mtoa mada umegusa ninapopataka. Swali hili alishalijibu BABA WA MJI{@ndesamburo} alisema hivi nanukuu: watu wananiuliza mbona mnaleta maandamano huku kwetu lakini hatujawahi kusikia maandamano moshi? Nikawajibu kwamba tunachokifanya moshi niutekelezaji wa ilani ya chama kwani sisi pale moshi sio wanaharakati ila ni watawala na ccm ndo wanaharakati wanaotamani kututoa madarakani na wanajua hawawezi yaani moshi ilishakombolewa na sasa ipo huru tunapoandamana sehemu nyingine ni kuhakikisha nako ukombozi unafika baada ya hapo mambo yatakuwa shwari kama moshi. Mwisho wa kunukuu BABU alisema hayo mjini moshi kwenye mkutano wa hadhara baada ya kutoka hospitali mapema mwezi wa tatu au wa nne kama sikosei.

Asante sana ndugu yangu umewamaliza magamba kwa single shot! Mungu akubariki kwa majibu yenye busara na weledi wa hali ya juu. Hii ndio chadema bhanaaa
 
mama,baba,dada,shangazi na ndugu zetu wengi wako moshi.
 
Wakuu na maGT naomba mnisaidie, mbona sijawahi kusikia CHADEMA wakiandamana moshi au ndo kusema moshi hapana matatizo kama ambayo huwasababisha wao kuandamana sehemu nyingine? Au ndo kusema moshi hapana tatizo na wakishika dola nchi itakuwa kama Moshi?

Nadhani ungerekebisha swali lako. Kwa vile Moshi iko mikononi mwa CHADEMA ungeuliza hivi; kwa nini CCM hawaandamani Moshi?
 
Kutokuandamana au kuandamana siyo ujinga au ni ujinga, swala ni kwanini unaandamana. Na kama unaonewa na kila ukisema hausikilizwi na ukazidi kukandamizwa basi wewe si mstaarabu kwasababu hauandamani bali ni kwamba tu umekubali utumwa na kumtumikia bwana wako.
 
Back
Top Bottom