MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 761
Wakuu na maGT naomba mnisaidie, mbona sijawahi kusikia CHADEMA wakiandamana moshi au ndo kusema moshi hapana matatizo kama ambayo huwasababisha wao kuandamana sehemu nyingine? Au ndo kusema moshi hapana tatizo na wakishika dola nchi itakuwa kama Moshi?
Maendeleo yaliyoko moshi nimakubwa sana. Wamachinga wamejengewa mazingira mazuri.Mji umepangika vizuri lami kila mahali maji yapo. Mbunge tuliyenaye yuko imara. Tumesahau mdudu anayeitwa CCM kwa miaka mingi sasa iweje tuandamane.