Jigsaw
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,823
- 680
Huyo Wolper anajiheshimu kitu gani?
Binti mzuri na shupavu asiye yumbishwa kirahisi. Kitendo cha kukataa milioni 50 ili ajiunge na kampeni za CCM ni heshima tosha kwa kile anacho amini na kaonyesha mfano kwa mabinti wakitanzania kwamba kila jambo lina wezekana.