mbowe ni mwanasiasa mzuri, ila anachopaswa kwa sasa ni kuwekeza kwa vijana wapya ambao anaamini atakijenga chama baada ya yeye, lkn kwa kujijenga yy siku asipokuwepo na chama kitakua hakipoo
Mnaweza msiamini lakini kitendo "maarufu" cha kubadili gear angani ndicho kilichoicost Chadema na ukawa kwa ujumla.kura za ukawa zilipungua na kufika pale zilipofika kutokana kitendo hiki ambacho muasisi wake ni Mbowe.It was such a careless gambling that I doubt about the so called "IQ yake iko juu".kilichofunika fact hii ni kuimprove kwa matokeo ya urais kwa chadema kulinganisha na mwaka 2010 ingawa hili halikutokana na kubadili gear angani bali lilitokana na kuungana kwa vyama husika,kama sio muungano wao matokeo yangekuwa worse kuliko 2010 and hence fyongo ya kubadili gear angani ingekuwa very clear na Mbowe angekuwa na case ya kujibu kwa wanachadema.
Mnaweza msiamini lakini kitendo "maarufu" cha kubadili gear angani ndicho kilichoicost Chadema na ukawa kwa ujumla.kura za ukawa zilipungua na kufika pale zilipofika kutokana kitendo hiki ambacho muasisi wake ni Mbowe.It was such a careless gambling that I doubt about the so called "IQ yake iko juu".kilichofunika fact hii ni kuimprove kwa matokeo ya urais kwa chadema kulinganisha na mwaka 2010 ingawa hili halikutokana na kubadili gear angani bali lilitokana na kuungana kwa vyama husika,kama sio muungano wao matokeo yangekuwa worse kuliko 2010 and hence fyongo ya kubadili gear angani ingekuwa very clear na Mbowe angekuwa na case ya kujibu kwa wanachadema.
Mbowe na wapinzani wote kwa ujumla ndio wapinzani kegelege kabisa kutokea Afrika
Mnaweza msiamini lakini kitendo "maarufu" cha kubadili gear angani ndicho kilichoicost Chadema na ukawa kwa ujumla.kura za ukawa zilipungua na kufika pale zilipofika kutokana kitendo hiki ambacho muasisi wake ni Mbowe.It was such a careless gambling that I doubt about the so called "IQ yake iko juu".kilichofunika fact hii ni kuimprove kwa matokeo ya urais kwa chadema kulinganisha na mwaka 2010 ingawa hili halikutokana na kubadili gear angani bali lilitokana na kuungana kwa vyama husika,kama sio muungano wao matokeo yangekuwa worse kuliko 2010 and hence fyongo ya kubadili gear angani ingekuwa very clear na Mbowe angekuwa na case ya kujibu kwa wanachadema.
Mtu anayeita wenzie dv0 ID yake ni rallphrider! Hii Tanzania bwana
Umemsikia Magufuli alivyojitekenya na kucheka mwenyewe leo kule bungeni? Usiwabeze wapinzani wana mambo ya msingi ambayo wameyatekeleza vyema hadi saa hii. Mbowe ni shujaa kweli kweli. CCM hiyo yajitekenyatekenya na kujichekeshachekesha yenyewe kana kwamba wapinzani ndiyo walioifikisha Tanzania hapa ilipo.Acheni kujitekenya na kicheka wenyewe, kiuhalisia heshima ya mbowe imeshuka mno kuliko mnavyodhani kinachombeba sasa ni huo umoja wenu wa ukawa. Ukiwa na makengeza kwenye ubongo huwezi tambua hilo
Mbowe is not useless. Weka akiba ya maneno. CCM ndiyo iliyoifikisha tanzania hapa ilipo. Mlihangaika sana kumhadaa Mbowe mkasahau kuwa watu wa jimbo lake wako macho kuliko propaganda zenu ovu.Mbowe hana lolote. Ni mpumbavu na lofa kama alivyopata kusema mzee Mkapa. Kama anataka kubaki kwenye game inabidi abadili mbinu. Hakuna mwnananchi aliyetayari kuona mbunge anakwamisha maendeleo, kwani serikali ya sasa inatatua kero za wananchi. Refer usemi wa Dr Kitila Mkumbo, wanasiasa wote wanaosubiria makosa ya CCM imekula kwao. Mmoja wapo ni mbowe, he is useless in today politics.
Sio kosa lake msamehe bure ,angejiita tu condom
Nimemsamehe mkuu ila ajirekebishe dharau mbaya Haifa.
Mbowe huyu huyu kilaza aliyetaga form 6 au kuna mwingne?binafsi namdharau sana
acheni kujitekenya na kicheka wenyewe, kiuhalisia heshima ya mbowe imeshuka mno kuliko mnavyodhani kinachombeba sasa ni huo umoja wenu wa ukawa. Ukiwa na makengeza kwenye ubongo huwezi tambua hilo
safi ningekuwa na kamia ningekupa
huo ndo ukwel na utastand