Kwanini CCM hawampendi Mbowe?

Kwanini CCM hawampendi Mbowe?

Mbowe hatumpendi kwa sababu hajielewi! Demokrasia anayoihubiri haitimizi ndani ya chama chake na wanachadema mnajua ila mmeziba masikio na mnaogopa kwa sababu yoyote anayehoji anaitwa msaliti
 
Mnaweza msiamini lakini kitendo "maarufu" cha kubadili gear angani ndicho kilichoicost Chadema na ukawa kwa ujumla.kura za ukawa zilipungua na kufika pale zilipofika kutokana kitendo hiki ambacho muasisi wake ni Mbowe.It was such a careless gambling that I doubt about the so called "IQ yake iko juu".kilichofunika fact hii ni kuimprove kwa matokeo ya urais kwa chadema kulinganisha na mwaka 2010 ingawa hili halikutokana na kubadili gear angani bali lilitokana na kuungana kwa vyama husika,kama sio muungano wao matokeo yangekuwa worse kuliko 2010 and hence fyongo ya kubadili gear angani ingekuwa very clear na Mbowe angekuwa na case ya kujibu kwa wanachadema.
 
mbowe ni mwanasiasa mzuri, ila anachopaswa kwa sasa ni kuwekeza kwa vijana wapya ambao anaamini atakijenga chama baada ya yeye, lkn kwa kujijenga yy siku asipokuwepo na chama kitakua hakipoo
 
Mbowe hana price Tag mgongoni... Hanunuliki kama akina ZZK na Slaa, Mbowe ni Mbunifu sana ... Mbowe hana Njaa kwani ni tajiri toka alipozaliwa ... CCM wanajua kuwa Mbowe ndo alisababisha CCM wakashindwa kwenye uchaguzi wa Mwaka huu Only walichakachua kupitia Lubuva na Jecha ...
 
mbowe ni mwanasiasa mzuri, ila anachopaswa kwa sasa ni kuwekeza kwa vijana wapya ambao anaamini atakijenga chama baada ya yeye, lkn kwa kujijenga yy siku asipokuwepo na chama kitakua hakipoo
Mmmm..hiyo ID ya ibillisi! Sema mchango wako mzuri
 
CCM hawapendi MTU asiekuwa na bei kama MBOWE ndio maana kila likitajwa jina lake wanaNUNA
 
Hawampendi kwa sababu hanunuliki....na hana njaa njaa km wengine!
 
mbowe ni mpinzani wa kwel dama na uwepo wake unaleta chachu kwa maendeleo kwa taifa zima. dema kwa wale mafisiem wasiojielewa hawaoni mchango wake kwa taifa.
na mkae mkijua siku zote ukiona nchi ina upinzani mkubwa kichama bas ujue demokrasia yetu imekuwa na uchumi unapanda.
SALUTE COMRADE F.A.MBOWE
 
Sifa. Za kijinga. Kuna lipi la ajabu alilofanya zaidi ya kung'ang'ania madarakani na kukiuza chama kwa Lowassa? Ukubwa wa IQ yake mwisho ufipa kwa nyumbu.
 
Sifa. Za kijinga. Kuna lipi la ajabu alilofanya zaidi ya kung'ang'ania madarakani na kukiuza chama kwa Lowassa? Ukubwa wa IQ yake mwisho ufipa kwa nyumbu.

mmm soma tena hii kitu yako tena...alafu ujiulize iko sawasawa
 
Mbowe ni DJ kwa taaluma mtu ambaye anaweza kupigia watu mziki wakacheza hasa wenye stress, kwa hiyo sidhani kama ccm hawampendi labda walokole na wazee wa swala tano lakini sie wengine kwetu huyu ni DJ mzuri tu kinachotushangaza ni kuwa mwenyekti wa chama tena akiongoza wasomi sasa cha kujiuliza hivi hicho chama ni ukumbi wa mziki???
 
Mbowe hana price Tag mgongoni... Hanunuliki kama akina ZZK na Slaa, Mbowe ni Mbunifu sana ... Mbowe hana Njaa kwani ni tajiri toka alipozaliwa ... CCM wanajua kuwa Mbowe ndo alisababisha CCM wakashindwa kwenye uchaguzi wa Mwaka huu Only walichakachua kupitia Lubuva na Jecha ...

Ulivyoandika bandiko hili sijui ulirembua macho au ulilegeza vidole maana unajifanya hujui hela alizohamisha Mbowe baada ya kukatiwa mshiko na mamvi akauza chama halafu eti oooh Mbowe hana price tag!! we chizi kabisaaa.
 
Back
Top Bottom