Kwanini CCM hawampendi Mbowe?

Kwanini CCM hawampendi Mbowe?

Nimekuwa nikijiuliza sanasana maswali mengi, hivi ni kwanini CCM hawampendi Mbowe? Na wamekuwa wakihangaika sana kutengeneza propaganda kila kukicha?

Leo nimepata walau kaufahamu kidogo baada ya tathmini ndogo naamini waungwana wataungana na mimi.

Nilichokijua kikubwa ambacho ni mwiba wa CCM ni misimamo ya Mbowe na ujasiri wake,

Pili ni nguvu ya ushawishi, kiukweli Mbowe ana nyota ya ushawishi kama hukubali Muulize Magufuli, ili mlazimu kutumia kauli mbiu ya mabadiliko ili walau apate kusikilizwa na raia

IQ ya Mbowe iko juu sana, anaona mambo ya msingi na kuyafanyia kazi kabla mtu wa kaiwaida hajaona. Angalia usajili wa Lowasa, umuhimu wa jambo lile utaonekana baadae.

Lakini kikubwa sana kinachowatoa jasho CCM ni uwezo wa Mh Mbowe kujenga hoja.....mwenye upeo ongeza mengine unayoyaona kw Mh Mbowe.

Kama ni kweli basi fahamu kuwa CCM hawampendi Mbowe kwa sababu ya Upumbavu wake.
 
...Mbowe anajua kuwachezea sana vibuyu wa Lumumba.!!
 
Hawana hata sababu za kumchukia mbowe utasikia eti mchaga mara anaua chadema as if they really care abt cdm!!! Na wakikutana nae huwa wanamchekeachekea tu ka mkwe wao!!! They are ol cowards kumface hawawez hata kidg!!! Nakumbuka kweny mita 200 mahakam ilitoa amri asibaki mtu ila mbowe alipingana na hyo kauli mpk tarehe 24...na alisema piga kura hesabu mita 200 subr matokeo!!! Cha ajabu ccm walimsikia na hakuna aliyefanya kitu!!!! Sijwah ckia mtu akimtukana mbowe kiujasir labda watumie mafumbo,,, Cjui ana nn yaan mpk wanamuogopa hvyo!!!! Atakua ni bwana yao!!!!! Maaana huwa wanajipendekeza balaa c muda utaona wanamuita wapige selfie

"Ulofa na upumbavu katika ubora wake." Nimecopy na kupaste tyu..
 
Nimekuwa nikijiuliza sanasana maswali mengi, hivi ni kwanini CCM hawampendi Mbowe? Na wamekuwa wakihangaika sana kutengeneza propaganda kila kukicha?

Leo nimepata walau kaufahamu kidogo baada ya tathmini ndogo naamini waungwana wataungana na mimi.

Nilichokijua kikubwa ambacho ni mwiba wa CCM ni misimamo ya Mbowe na ujasiri wake,

Pili ni nguvu ya ushawishi, kiukweli Mbowe ana nyota ya ushawishi kama hukubali Muulize Magufuli, ili mlazimu kutumia kauli mbiu ya mabadiliko ili walau apate kusikilizwa na raia

IQ ya Mbowe iko juu sana, anaona mambo ya msingi na kuyafanyia kazi kabla mtu wa kaiwaida hajaona. Angalia usajili wa Lowasa, umuhimu wa jambo lile utaonekana baadae.

Lakini kikubwa sana kinachowatoa jasho CCM ni uwezo wa Mh Mbowe kujenga hoja.....mwenye upeo ongeza mengine unayoyaona kw Mh Mbowe.

hoja gani mpya kaijenga tangu aingie kwenye siasa?
 
Maisha hayana fomula moja. Mbowe ni mfanyabishara ya Siasa. Ule Mchango wa kuchangia Kampeni za Rais mlipewa mrejesho ni kiasi gani kilipatikana na kiasi gani kilisalia? Au michango waliyotoa watu pamoja na wale wafanya biashara wakubwa 5 ilitosha kuwezesha kampeni hadi tar 24 Oktoba tu? Na trh 25 Oktoba hata Ths 1 haikubaki? Maisha ni aliki bhana, na wajinga ndo waliwao. Lowassa mlikuwa mnamsifia kuwa ana mihela tele hata kufikia kuamini kuwa hataliiibia Taifa. Sasa kama alikuwa na mihela yote hiyo, kulikuwa na haja gani ya kukusanya michango kuchangia harakati za mabadiliko?
 
mbowe hatumpendi kwa sababu hajielewi! Demokrasia anayoihubiri haitimizi ndani ya chama chake na wanachadema mnajua ila mmeziba masikio na mnaogopa kwa sababu yoyote anayehoji anaitwa msaliti

sio hatumpendi,sema wewe haumpendi mkuuu
 
Mbowe ukue zaidi katika hekima nakuombea.
 
Bila mbowe chadema isingeweza kusimama mpaka leo. Namkubali sana Mbowe fighter wa ukweli asiyenunulika
 
Sio tuzo ya mwaka, anatakiwa apewe ya karne ya 21
 
Vijana anaowekeza si ndio wauawa kama kondoo asie na mchungaji.
 
Back
Top Bottom