rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
Mtu anayeita wenzie dv0 ID yake ni rallphrider! Hii Tanzania bwana
Kwa hiyo huyo DJ sio div 0? jibu.
Mtu anayeita wenzie dv0 ID yake ni rallphrider! Hii Tanzania bwana
Kama vijana wenyewe ni akina Msindai,Mgeja,Masha,Sumaye,Madeye,Makongoro,Lowassa bado Chadema isubiri sanda tumbowe ni mwanasiasa mzuri, ila anachopaswa kwa sasa ni kuwekeza kwa vijana wapya ambao anaamini atakijenga chama baada ya yeye, lkn kwa kujijenga yy siku asipokuwepo na chama kitakua hakipoo
Ninaimani we unaushahidi wa kutoshaKamueleze Chacha Wangwe huu ujasiri wa Mbowe tuone kama atakuelewa. Mbowe ni dikteta na anaongoza chama kwa mkono wa chuma. Hata wewe unayemsifia hapa jaribu kujishaua eti unautaka uenyekiti wa CHADEMA tuone kama kesho utaliona jua. Historia itamhukumu kwa kuua upinzani wa kweli Bongo kwa tamaa zake za pesa via gia za angani. Otherwise he is a good hustler!
Sasa atakaa kimyaa bila kuandaa manpower ikifika 2020 tena haooo mnaanza kuokota makapi kutoka CCM. Aanze sasa kuwaandaa akina Saanane, Malisa na vijana wengine waje wamrithi mikoba huko mbele ya safari. Anzeni kuandaa mgombea wenu right away.
Ujumbe umeupata huo ndio ukweli, wengi washapoteza imani na huyo mbowe wako ila sio vibaya ukiendelea kumpigia debe
Acheni kujitekenya na kicheka wenyewe, kiuhalisia heshima ya mbowe imeshuka mno kuliko mnavyodhani kinachombeba sasa ni huo umoja wenu wa ukawa. Ukiwa na makengeza kwenye ubongo huwezi tambua hilo
Kwa hiyo huyo DJ sio div 0? jibu.
Umeajiri watu wangapi na unaingizia taifa sh. ngapi kwa mwaka ndugu?