- Thread starter
- #61
Mbowe ni Scania yenye hose power 950, pulling kubwa mno....
Kweli kabisa
Mbowe ni Scania yenye hose power 950, pulling kubwa mno....
Mbowe ni mtoto wa mjini,siasa yake sio ya kuiga na kukariri,kibaya zaidi anaheshimika kuliko hata rais na PM
CCM hawapendi MTU asiekuwa na bei kama MBOWE ndio maana kila likitajwa jina lake wanaNUNA
Hana lolote huyo
Kanunuliwa na lowasa bei chee kaiuza taasi hana nafasi ccm akili ndogo ccm kuna hazina ya viongozi sema unapepelea disko la bure labda
wamepoteza imani kuanxia lini maanake kipimo ni kura toka 0...mpaka six.4 m...ccmtoka100%sasa ni 50% upo ay wewe unatumia kipimo gani!
mbowe ni mwanasiasa mzuri, ila anachopaswa kwa sasa ni kuwekeza kwa vijana wapya ambao anaamini atakijenga chama baada ya yeye, lkn kwa kujijenga yy siku asipokuwepo na chama kitakua hakipoo
Kama vijana wenyewe ni akina Msindai,Mgeja,Masha,Sumaye,Madeye,Makongoro,Lowassa bado Chadema isubiri sanda tu
kama sio mpiga dili atolee maelezo fedha alizohamisha kinyemela!Kingine ni jinsi alivyo na uwezo wa kiuchumi,sio wale waliopata fedha za dili yaani 10%.
Mbowe ni mtoto wa mjini,siasa yake sio ya kuiga na kukariri,kibaya zaidi anaheshimika kuliko hata rais na PM[/QUOTE
Nakuunga mkono 100% mkuu
kitufe cha like hakionekani ., ningekupa bonge la like
Mbowe hana lolote. Ni mpumbavu na lofa kama alivyopata kusema mzee Mkapa. Kama anataka kubaki kwenye game inabidi abadili mbinu. Hakuna mwnananchi aliyetayari kuona mbunge anakwamisha maendeleo, kwani serikali ya sasa inatatua kero za wananchi. Refer usemi wa Dr Kitila Mkumbo, wanasiasa wote wanaosubiria makosa ya CCM imekula kwao. Mmoja wapo ni mbowe, he is useless in today politics.Nimekuwa nikijiuliza sanasana maswali mengi, hivi ni kwanini CCM hawampendi Mbowe? Na wamekuwa wakihangaika sana kutengeneza propaganda kila kukicha?
Leo nimepata walau kaufahamu kidogo baada ya tathmini ndogo naamini waungwana wataungana na mimi.
Nilichokijua kikubwa ambacho ni mwiba wa CCM ni misimamo ya Mbowe na ujasiri wake,
Pili ni nguvu ya ushawishi, kiukweli Mbowe ana nyota ya ushawishi kama hukubali Muulize Magufuli, ili mlazimu kutumia kauli mbiu ya mabadiliko ili walau apate kusikilizwa na raia
IQ ya Mbowe iko juu sana, anaona mambo ya msingi na kuyafanyia kazi kabla mtu wa kaiwaida hajaona. Angalia usajili wa Lowasa, umuhimu wa jambo lile utaonekana baadae.
Lakini kikubwa sana kinachowatoa jasho CCM ni uwezo wa Mh Mbowe kujenga hoja.....mwenye upeo ongeza mengine unayoyaona kw Mh Mbowe.
Nimekuwa nikijiuliza sanasana maswali mengi, hivi ni kwanini CCM hawampendi Mbowe? Na wamekuwa wakihangaika sana kutengeneza propaganda kila kukicha?
Leo nimepata walau kaufahamu kidogo baada ya tathmini ndogo naamini waungwana wataungana na mimi.
Nilichokijua kikubwa ambacho ni mwiba wa CCM ni misimamo ya Mbowe na ujasiri wake,
Pili ni nguvu ya ushawishi, kiukweli Mbowe ana nyota ya ushawishi kama hukubali Muulize Magufuli, ili mlazimu kutumia kauli mbiu ya mabadiliko ili walau apate kusikilizwa na raia
IQ ya Mbowe iko juu sana, anaona mambo ya msingi na kuyafanyia kazi kabla mtu wa kaiwaida hajaona. Angalia usajili wa Lowasa, umuhimu wa jambo lile utaonekana baadae.
Lakini kikubwa sana kinachowatoa jasho CCM ni uwezo wa Mh Mbowe kujenga hoja.....mwenye upeo ongeza mengine unayoyaona kw Mh Mbowe.