jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Ulishafanya utafiti kwako na kama bado nashauri ufanye.
Ipo hivi watu wenye roho na matendo mema huwa ni vigumu mno kuzidi umri wa 50+. Wengi wao hufariki chini ya umri huo na kawaida vifo vyao huacha simanzi kuu!
"...baba wa watu alikuwa mwema ama kijana wa watu ndiyo kwanza ameanza maisha ama binti wa watu ndiyo ilikuwa mimba yake ya kwanza".... ni baadhi ya maneno yenye kusononeka utayoyasikia kutoka katika hadhira inayoomboleza misiba mingi ya watu wema.
Binafsi huwa najiuliza sana kwa kifo huwapata mapema watu wenye tabia za namna ile?
Ipo hivi watu wenye roho na matendo mema huwa ni vigumu mno kuzidi umri wa 50+. Wengi wao hufariki chini ya umri huo na kawaida vifo vyao huacha simanzi kuu!
"...baba wa watu alikuwa mwema ama kijana wa watu ndiyo kwanza ameanza maisha ama binti wa watu ndiyo ilikuwa mimba yake ya kwanza".... ni baadhi ya maneno yenye kusononeka utayoyasikia kutoka katika hadhira inayoomboleza misiba mingi ya watu wema.
Binafsi huwa najiuliza sana kwa kifo huwapata mapema watu wenye tabia za namna ile?