Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,392
- 4,726
Sawa mkuu umeeleweka
Kijana wacha ujinga, jiulize tu.....huyo Mungu alikushukia lini na kukukataza wewe kula nguruwe? Usipende kusikiliza hadithi zilizotungwa na watu kwenye vitabu kutishia wenzao, kama Mungu hataki wewe ule nguruwe, believe me atakushukia wewe na kukuonya ila HAWEZI kumshukia mzungu au mwarab na kuwaambia nenda kamuonye baby zu asile nguruwe. Tumia akili zako, dini ni usanii tu, zimewekwa kwa ajili ya kutawala binadamu na ndiyo maana unaona waumini wengi ni masikini na wajinga.Swala si tatizo la ki afya je umetii amri ya aliyekuumba? Si waislam wala wakristo wote aliyetuumba amekataza nguruwe kuliwa , kwa nini anajua yeye mwenyewe kwa hyo kazi kwetu kutii na ukikataa kutii hii itakua juu ya nafsi yako
Papuchi inaliwaje mkuu?...haizidi papuchi
Wakwetu halo ndo hamuitendei haki bia,yani unywe bia mbili alafu maji Lita tatu.Ktmt, ndizi mbili, bia mbili, maji ya kunywa Lita 3...
ina mafuta tena ya asili, hakuna additivesPapuchi inaliwaje mkuu?
Ina mafuta kwani kama k moto?.
vitu vitamu ni full kupigwa vitaMdudu spesho 😂😂😂 anapigwa vita sijui kwanini yani! Ila nahisi sababu ni mtamu sana
Mpuuzi kweli basi😂vitu vitamu ni full kupigwa vita
uyo anayepiga vita yeye mwenyewe ni mtumiaji mzuri tu, ila ukimuuliza kwanini wewe watumia ?
anajibu, 'fata nisemacho , siyo nifanyacho'
Hujamwelewa mtoa uziUsipende kuamini upuuzi mkuu, hizi ni hadithi tu za kizushi. Watu tunakula nguruwe toka utotoni na hatuna maradhi yeyote, kuna waislam wanafakamia nguruwe kama hawana akili na hawana tatizo lolote la kiafya.
MnanitamanishaHuu mzigo mtamu asee, uwe na chainizi isiyo iva saana + ugali na pilipili .mbona maisha yanakuwa burudani.
Sii lazima niamini unachokiamini . una imani yako nami nina yanguKijana wacha ujinga, jiulize tu.....huyo Mungu alikushukia lini na kukukataza wewe kula nguruwe? Usipende kusikiliza hadithi zilizotungwa na watu kwenye vitabu kutishia wenzao, kama Mungu hataki wewe ule nguruwe, believe me atakushukia wewe na kukuonya ila HAWEZI kumshukia mzungu au mwarab na kuwaambia nenda kamuonye baby zu asile nguruwe. Tumia akili zako, dini ni usanii tu, zimewekwa kwa ajili ya kutawala binadamu na ndiyo maana unaona waumini wengi ni masikini na wajinga.
Yawezekana ulilishwa kibudu, au mkaangaji alikuwa hajui.Yani nguruwe watu wanavyoihusudu na ladha yake ht haviendani
Bora mbuzi kuliko hio
Inasemwa kuwa eti mfalme mmoja aliekuwa na wake wawili wazuri alialika wageni nyumbani kwake. Akaagiza wachinjwe wanyama wa kila aina kutoka katika mifugo yake - mbuzi, ng'ombe, ngamia, kuku, bata, kondoo, nguruwe, nakadhalika.
Baada ya mapishi kuwa yamekamilika wake wa yule mfalme waligundua kuwa miongoni mwa mapishi yale, nyama ya nguruwe ndiyo ilikuwa tamu kuliko zote kule jikoni.
Basi mke mmoja miongoni mwa wake wa mfalme yule aliamua kwa makusudi kuificha ile nyama tamu ili baadae wageni watakapokuwa wamekwisha kuondoka akampakulie mumewe ale. Na kwa akili ya yule mama alidhani kwa kumfanyia hayo mfalme yeye (huyu mama) atapendwa zaidi kuliko wake wenza.
Baada ya wageni kuwa wamekula na kushiba hatimae muda wa kuaga kuondoka kurejea makwao ukafika. Wakaenda zao.
Basi yule mke wa mfalme aliyekuwa ameficha ile nyama tamu akaipakua na kumtengea mfalme. Huku na kule mfalme akahoji kulikoni nyama ile iletwe hali wageni washaondoka? Mke akasema aliona ni vyema aifiche kwa ajili ya mfalme ili ampende zaidi.
Mfalme akasusa kuila akasema yeye aliandaa karamu kwa ajili ya kula na wageni wake na si kula peke yake kiuchoyo. Basi mfalme akatangaza mbele ya mkewe yule kuwa nyama ile haili na kwamba chakula kile (kitimoto) ni haram.
Kumbe wote tunakula kitimoto ila tu wengine wanakula kwa kificho na wikiendi ndo hii. Hapa Euro pale sahani ya kitimoto 😋
story ako nzur sana na yakufikirisha, kila j.Mos pale itv utawafurahsha watoto.Inasemwa kuwa eti mfalme mmoja aliekuwa na wake wawili wazuri alialika wageni nyumbani kwake. Akaagiza wachinjwe wanyama wa kila aina kutoka katika mifugo yake - mbuzi, ng'ombe, ngamia, kuku, bata, kondoo, nguruwe, nakadhalika.
Baada ya mapishi kuwa yamekamilika wake wa yule mfalme waligundua kuwa miongoni mwa mapishi yale, nyama ya nguruwe ndiyo ilikuwa tamu kuliko zote kule jikoni.
Basi mke mmoja miongoni mwa wake wa mfalme yule aliamua kwa makusudi kuificha ile nyama tamu ili baadae wageni watakapokuwa wamekwisha kuondoka akampakulie mumewe ale. Na kwa akili ya yule mama alidhani kwa kumfanyia hayo mfalme yeye (huyu mama) atapendwa zaidi kuliko wake wenza.
Baada ya wageni kuwa wamekula na kushiba hatimae muda wa kuaga kuondoka kurejea makwao ukafika. Wakaenda zao.
Basi yule mke wa mfalme aliyekuwa ameficha ile nyama tamu akaipakua na kumtengea mfalme. Huku na kule mfalme akahoji kulikoni nyama ile iletwe hali wageni washaondoka? Mke akasema aliona ni vyema aifiche kwa ajili ya mfalme ili ampende zaidi.
Mfalme akasusa kuila akasema yeye aliandaa karamu kwa ajili ya kula na wageni wake na si kula peke yake kiuchoyo. Basi mfalme akatangaza mbele ya mkewe yule kuwa nyama ile haili na kwamba chakula kile (kitimoto) ni haram.
Kumbe wote tunakula kitimoto ila tu wengine wanakula kwa kificho na wikiendi ndo hii. Hapa Euro pale sahani ya kitimoto 😋
usitamani ...Mnanitamanisha