Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,118
- 27,940
Mkia hufuata kichwaUmachachari unatokana na kiranja wao(namba moja)kama ni machachari na mawaziri lazima watapatikana machachari lakini kiranja wao akiwa amalala fofofo na wao watalala hivyohivyo