Kwanini awamu ya sita haina Waziri machachari?

Mama hataki huo upuuzi, anataka kazi iongee yenyewe.

Wapuuzi kama Jafo wapo serikali hii lakini upuuzi wao uliishia kulekule kwa mpenda sifa wa Chato.
Sio kwamba hataki Ila anaogopa 2025 huyo waziri machachari asije akamzidi ushawishi
Kama atabahatika kutoboa 2025 hapo ndipo mawaziri watapewa Uhuru wa kuonyesha machachari yao kwa kuwa atakuwa hagombei tena
 
Awamu ya tano umemsahau Luhaga Mpina alichoma nyavu za wavuvi na kupima hadi samaki wa rula
Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.

Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.

1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.

2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.

3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.

4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.

5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.

6. Awamu sita wote wana hololoja.

Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
 
Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.

Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.

1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.

2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.

3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.

4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.

5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.

6. Awamu sita wote wana hololoja.

Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
Yupo Musukuma na Kibajaji
 
Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.

Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.

1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.

2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.

3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.

4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.

5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.

6. Awamu sita wote wana hololoja.

Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
Awamu ya sita aliwakemea muda sana kuwa hapendi wawe na maneno mengi. Bali waendelee kula kwa urefu wa kamab zao tu basiiii

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Dereva mwenyewe haeleweki, itakuwa hao wasaidizi.
Kazi yao huwa ni kumsifia tu ilimradi mitumbo yao ijae ndii, mfano Nape.
 
Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.

Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.

1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.

2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.

3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.

4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.

5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.

6. Awamu sita wote wana hololoja.

Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
Aliyeko juu yao ni zoba
 
Wanakula kwa urefu wa kamba zao, sasa wapige kelele za nini wana tafuna tu kama mbuzi muda wa usiku wanakula msosi wa mchana alioficha huko ndani.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Awamu ya tano umemsahau Luhaga Mpina alichoma nyavu za wavuvi na kupima hadi samaki wa rula
Huu ndio umachachari ?
1640604801665_1.jpg
 
Back
Top Bottom