KIGENE
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,551
- 813
Ajira ni zoezi endelevu,kwa sababu kuna watumishi wanastahafu kwa mujibu wa sheria kuna wanaofukuzwa,wapo wanaofariki kuna wanaohamua kuacha kazi wenyewe nk.
Kama hakuna ajira kwa visingizio vyoyote vile ni janga kwa taifa,kwa sababu wale wanaoondoka kwenye ajira hawapati watumishi wapya wakuelekeza kazi zinavyofanyika.
Lakini pia hospitalit zinakosa madaktari shule zinakosa walimu wataalamu wa kilimo mifugo nk hawajiriwi,matokeo yake wagonjwa na wanafunzi wanakosa huduma na kila kukicha pengo la ajira linazidi kuongezeka.
Tuliaminishwa kuwa baada ya uhakiki wa watumishi hewa ajira zitaanza lakini kumbe ilikuwa ni uongo.
Kama hakuna ajira kwa visingizio vyoyote vile ni janga kwa taifa,kwa sababu wale wanaoondoka kwenye ajira hawapati watumishi wapya wakuelekeza kazi zinavyofanyika.
Lakini pia hospitalit zinakosa madaktari shule zinakosa walimu wataalamu wa kilimo mifugo nk hawajiriwi,matokeo yake wagonjwa na wanafunzi wanakosa huduma na kila kukicha pengo la ajira linazidi kuongezeka.
Tuliaminishwa kuwa baada ya uhakiki wa watumishi hewa ajira zitaanza lakini kumbe ilikuwa ni uongo.


