Kwanini ajira hakuna?

Kwanini ajira hakuna?

Kwani ukiwa na degree lazima upewe ajira? Acheni ujinga ninyi wasomi, ajira za kupewa hakuna duniani kote. Nendeni mashambani mkajiajiri kwa kulima.
Mkuu job creation inaanzia serikalini au hujuii??
 
Kwani ukiwa na degree lazima upewe ajira? Acheni ujinga ninyi wasomi, ajira za kupewa hakuna duniani kote. Nendeni mashambani mkajiajiri kwa kulima.
Jitu kama hili unakuta limekaa oficin likifukuzwa hata kazi haliwezi hata biashara, harafu linakuja kusema wajiajiri, kwamba huoni mazingira yalivo magumu kujiajir na hii serikali ya hapa kazi tu bila hata kazi
 
Linaongea liko kwenye ajira bosi katoka ndo limeshika simu. Jitu kama hili likifutwa kazi utalionea huruma bora hata wale waliozoea kitaa bila ajira.
Sasa endelea kukaa kwa shemeji yako unasubiri kuajiriwa. Shemeji atawatafuna nyote wawili. Amka mkuu jiajiri kwenye kilimo utakufa na stress
 
Mkuu job creation inaanzia serikalini au hujuii??
Sasa kama awamu hii ilivyogota na kushindwa kutengeneza ajira, wasomi waendelee kukaa tu mpaka awamu nyingine? Tanzania ardhi yenye rutuba tunayo tele kwann wasijiajiri
 
Mpaka Leo vijana wengi wako mitaani na degree zao ,hakuna ajira waalimu hawapandishwi madaraja,

Vijana wa kitanzania leo hii wanaenda jkt kufundishwa ukakamavu..s kwel watu wanaenda kutafuta ajira bt wanakalishwa miaka halafu leo hii wanarudishwa mitaan je wafanye nini huku au mnataka watukabe


Wahitimu wa chuo leo hii hawana thaman..wimbi kuubwa la waalimu wa michepuo ya sanaa hawapew ajira na hata zkitangazwa sijui wanapewa akina nani




Ndugu zangu am not happy cuz ama victim of this chain..
Bado wachaga kamba ikaze mtagundua Akira zipo kibao ila vijana hamtako kazi.
 
Kuna watu wanasema vijana hawataki kazi huwa najiuliza wanakutana na vijana wapi hao

Au ndo wale wanatumia shida za wengine kujinufaisha wakikataliwa wanakimbilia vijana hawataki kazi

Hivi dunia ya leo unadhani kuna watu wanautaka umaskini
 
Kwani ukiwa na degree lazima upewe ajira? Acheni ujinga ninyi wasomi, ajira za kupewa hakuna duniani kote. Nendeni mashambani mkajiajiri kwa kulima.
We ni mpumbavu we toka umezaliwa ushawahi kulima nini? Wakulima wa mpunga wanalia,wakulima wa mahindi wanalima,korosho ,pamba,maharage inataka nini wewe?
Kilimo bila soko la uhakika ni bure ndugu.Hata kama ushayapatia maisha ila usione wenzio ni wajinga kisa tu wewe hata huyo nduguyo atakaesoma labda atakuwa na kazi kwa sababu ya connection.Na kama hujasoma basi wivu tu unakumbua na mtindio wa ubongo unapoona wenzako wanateseka wewe unafurahi hio ni dalili ya ushamba na ujinga.
Kama mtoa mada alivyouliza kipi kifanyike ili kuondoa tatizo la ajira sio we unaanza kushambualia wasomi ambao pengine wengine hata elimu wamekuzidi.
 
Huyo jamaa amenikera sana hata mimi yani kuna mijitu ukiwa jirani unailamba kofi kama yule jamaa alivyomlamba mzee mwinyi kofi baada ya kuongea ujinga
Ahahaha mkuu una hasira na huyu jamaa ?
 
Daaah wazee punguzeni hasira aseeh... tuendeleeni tu kutandika mtori nyama tutazikuta tu chini... ila hali ni mbaya sana yaani..
 
Suala hili kulitatua ni serikali yenyewe inapaswa kubadili sera za elimu na ajira.
1.elimu kidato cha 5 na 6 ifutwe wanafunzi waende vyuo vya kati./diploma kwa watakaofaulu watakaofaulu kidogo waende certificate.
2.Elimu ya ufundi ipewe kipaumbele zaidi na ikibidi tuchukue baadhi ya walimu wenye diploma au degree za ufundi wakasome china/korea/india/england/marekani nk. Wakasomee elimu ya ufundi fulani ngazi ya degree wakirudi tu wakafundishe kwenye vyuo vya ufundi vipya vilivyoanzishwa na vyuo vya VYETA vipewe kipaumbele.
3.michezo iwe kama kazi/ajira.mfano football,ndondi,basket,nk.michezo ikiboreshwa wengi wa vijana watapata ajira mbalimbali kwenye academy zitakazoanzishwa kwa msaada wa serikali.
5.kuwekeza kwenye processing industry.viwanda vya awali au vya usindikaji vitasaidia kuongeza ajira.Ila wasiweke utani kuwa cherehani 4 ni kiwanda.
6.mpaka sasa kuna upungufu wa wafanyakazi.ukienda bank hasa za serikali mf.NMB unaona jinsi madirisha ya macashier yalivyo matupu.ukienda pale nmb temeke watu wawili wateja 500+per day.Vivyo watoe tu ajira.shule huko vijijini hazina walimu kabisa hata wa art.
 
Kwani ukiwa na degree lazima upewe ajira? Acheni ujinga ninyi wasomi, ajira za kupewa hakuna duniani kote. Nendeni mashambani mkajiajiri kwa kulima.
Kazi ya serikali ni ku create employment opportunities kupitia sera zake sio kutoa ajira.sekta binafsi ndio inayotoa ajira.
 
Hata hao walioajiriwa wanalipwa kiduchu, inawawia vigumu hata kufanya matumizi yatakayochangamsha mzunguko wa pesa kuweza kutengeneza ajira zisizo rasmi, kipindi hiki kimekuwa kigumu hata kwa senoir officer kumwajiri housegirl. Lakini kila siku tuambiwa nchi hii ni tajiri mara tumenunua ndege na bado tunaagiza nyingine, how!?
 
Back
Top Bottom