Mm nalima, maisha yangu yanategemea kilimo. Wapi? Siyo muhimuwewe unalima wapi?
Mm nalima, maisha yangu yanategemea kilimo. Wapi? Siyo muhimuwewe unalima wapi?
Hizi akili hizi!Kwani ukiwa na degree lazima upewe ajira? Acheni ujinga ninyi wasomi, ajira za kupewa hakuna duniani kote. Nendeni mashambani mkajiajiri kwa kulima.
Mbaya zaidi waonaosema haya maneno na wenyewe hua wameajiriwa , hawajawahi kuwaza au kujiajiri hata siku mojaKwani ukiwa na degree lazima upewe ajira? Acheni ujinga ninyi wasomi, ajira za kupewa hakuna duniani kote. Nendeni mashambani mkajiajiri kwa kulima.
Fafanua hiyo green house ya mtaji wa laki moja!! Kweli masikini akipata mata.ko ulia mbwataWasomi wa Miaka hii Aibu Tupu...
Mtu unakaa na akili zako Huoni Aibu unalalamika Ajira Hakuna hahahaaa
Sasa Kama ww na usomi wako unalalamika Ajira Hakuna Je yule Aliyeishia La Saba atafanyaje...
Na usomi wako unashindwa Hata kulima bustani ya mchicha mtaji ni 20,000/-
Na usomi w@ko unashindwa Kulima Hata nyanya Kwa greenhouse Mtaji wa Laki Moja?
Ila umekaa nyumbani tu kwa baba unalalamika tu hakuna ajira
Sema kwamba ww unasubiri ajira za serikali na wala hushughuliki na Ajira binafsi na Kijiajiri
Pole Sana...
Hakuna serikali ya Namna hiyo Duniani ikawa na uwezo wa Kuajiri wananchi wake wote wanaotaka ajira
Pumbavu! Sasa kama wewe ulisoma zaidi ya aljebra umeshindwa vipi kujitegemea? Mbona sisi wa aljebra tunaishi maisha yeti hatulii kama wewe?Unafikiri kusomea shahada ya kwanza ni sawa na kuendesha boda bora au kutumia simu janja!
Wewe kama ulisoma hesabu za aljebra darasa LA saba,ukafikiri ndio mwisho wa hesabu,kuna kitu kinaitwa Engineering mathematics!
Akili nyingi🕴️Ajira hazipo sio kwa sababu ya mtawala wa sasa au yul aliepita. Ajira zilipotea mara baada ya kuacha kufikiria kwa malengo ya muda mrefu kwa kuwa na mfumo jumuishi wa ajira.
Walimu, polisi, sekta ya afya, sekta nyngi za huduma zinatengemea mishahara itokanayo na makusanyo ya kodi na vyanzo vingine visivyo vya kikodi (wao huko serikalini wanaita maduhuli ya serikali)
Viwanda ndiyo mfumo pekee ambao una-absorb watu wengi kupata ajira maana viwanda vinalenga kuzalisha kwa faida. Kiwanda kikiwepo popota kinatoa ajira moja kwa moja. Then kuna kodi za mauzo ya bidhaa serikali inapata, kuna kodi za mishahara serikali inapata. Kuna kodi za kiwanda kununua malighafi, serikali inapata, kuna malipo ya viwanda kununua huduma
Umeme
Maji
Bima
Kutumia huduma za kibeki
Huduma za kisheria na kadhalika.
Kama uko ofisini au shambani au popote, angali asilimia kubwa ya vitu, nguo, baadhi ya vyakula, magari, fanicha za ofisini na mengine mengi… importation inasababisha fedha yetu kwenda ughaibuni. Maana tuna import mpaka wembe, toilet peper, toothpick (It was a grave mistake kuua viwanda)
Tukiwa na viwanda vingi, private sekta, maana yake serikali itahitajika pia kuajiri watu wengi (service sekta kushirikiana na private sekta)… no short cut.
Tanzania tunategemea kilimo… ingia maduka ya kilimo mbegu, madawa ya Wanyama, madawa ya kilimo, pump za kupuliza dawa, mbolea kule zinakotengenezwa ndiko ajira zilipo.
Tungetengeneza ndani, ajira zingebaki humu.
So, tusitafute mchawi. Tuoneni namna gani ya kukaa mezani na JPM na askari wake wa mwamvuli. Tufungue miradi ya uwekezaji inayo-cut down imports. Then tuanze ku export walau vitambaa, chakula cha Wanyama, unga ukiwa packed, mafuta ya kula ya alizeti na ufuta ni hot cake ulaya na mataifa yalioendelea… eventually vijana watapata ajira.
Sijui kama wengi wanafikiria kwa picha hii kwenye public sector kama facilitating agency ya kukua kwa private sekta.
Private sekta ikitengeneza faida 25% to 30% ya net profit ni kodi kwa serikali. It goes without saying serikali ni shareholder wa private sekta.
Ajira zitapatikana if we decide inclusively to solve our own problems and the problem of other countries. Nje hapo, hakuna ajira. No short cut.
Tutafika siku moja. Mungu ibariki Tanzania
Mpaka Leo vijana wengi wako mitaani na degree zao ,hakuna ajira waalimu hawapandishwi madaraja,
Vijana wa kitanzania leo hii wanaenda jkt kufundishwa ukakamavu..s kwel watu wanaenda kutafuta ajira bt wanakalishwa miaka halafu leo hii wanarudishwa mitaan je wafanye nini huku au mnataka watukabe
Wahitimu wa chuo leo hii hawana thaman..wimbi kuubwa la waalimu wa michepuo ya sanaa hawapew ajira na hata zkitangazwa sijui wanapewa akina nani
Ndugu zangu am not happy cuz ama victim of this chain..
Ajira zote zilizopo huzioni?Mpaka Leo vijana wengi wako mitaani na degree zao ,hakuna ajira waalimu hawapandishwi madaraja,
Vijana wa kitanzania leo hii wanaenda jkt kufundishwa ukakamavu..s kwel watu wanaenda kutafuta ajira bt wanakalishwa miaka halafu leo hii wanarudishwa mitaan je wafanye nini huku au mnataka watukabe
Wahitimu wa chuo leo hii hawana thaman..wimbi kuubwa la waalimu wa michepuo ya sanaa hawapew ajira na hata zkitangazwa sijui wanapewa akina nani
Ndugu zangu am not happy cuz ama victim of this chain..
Toka Sumaye akiwa PM mikopo midogo midogo imekuwa ikitolewa kwa vijana na akina mama, na baadae walemavu nao wameongezwa ukiangalia impact kwa ni ndogo sana.Ajira nyingi zingetokana na wingi wa wajasili mali wadogo wadogo.
Tungetegemea benki zetu kwa kushirikiana na serikali iache kupuuzia entrepreneur hao.
Kwa mfano katika mega projects za Raisi Magufuli kama angekuna kichwa na wabobezi wa uchumi akatenga Trillion 6 kwa miradi ya wajasili kwa wastani wa sh milioni 1 kila mradi, ni wastani wa miradi milioni 6 siyo haba.
Hao wajasili mali wakiweza kurudisha mkopo huo na riba ndogo baada ya miaka mitatu tunaweza kutengeneza miradi mingine midogo midogo milioni 6.hivyo kwa kipindi kidogo cha miaka 6 tutakuwa na miradi midogo midogo milioni 12.
Watu ndio uchumi, ukiwezesha watu,hao watu ndio wanatengeneza uchumi.
Hata hiyo mega projects za Raisi Magufuli itakuwa rahisi sana kuijenga kutokana na wingi wa walipa kodi.
Kuna mbwa wachache wanao kula na kusaza kwa kutumia kodi zetu. Hawa wanaona ukosefu waajira kama ni tatizo la kujitakia.Wataanza kukuambia habari za ukalime ili kujiaajiri na wanaongea hivyo wakati wao hawana hata bustani.Wanasahau hata nchi zilizoendelea kama Marekani,France,Britain nk zinatoa mafunzo ya kujiajiri kwa vijana wao wanapokua masomoni lakini hiyo haitoshi pia wale vijana wanapomaliza masomo husidiwa ajira au fedha za mitaji ili kujiajiri; kumbukeni tatizo la ajira lilivyo kiua wakati Barrack Obama anaingia madarakani mliona jinsi alivyo toa ajira nyingi badala ya kutoa kejeli kwamba wakalime.sio jambo la maana sana nchi kusomesha watubwake wengi kisha iwaambie wakalime, hivyo tunajitengenezea bomu litakalolipuka siku za baadae![]()
Mbona kazi zipo tu kibao? Degree yako inatakiwa ikusaidie kuona fursa zilizopo.Mpaka Leo vijana wengi wako mitaani na degree zao ,hakuna ajira waalimu hawapandishwi madaraja,
Vijana wa kitanzania leo hii wanaenda jkt kufundishwa ukakamavu..s kwel watu wanaenda kutafuta ajira bt wanakalishwa miaka halafu leo hii wanarudishwa mitaan je wafanye nini huku au mnataka watukabe
Wahitimu wa chuo leo hii hawana thaman..wimbi kuubwa la waalimu wa michepuo ya sanaa hawapew ajira na hata zkitangazwa sijui wanapewa akina nani
Ndugu zangu am not happy cuz ama victim of this chain..