Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,434
- 52,906
Jibu ni ndiyo, kulingana na maandiko ya Biblia ni sawa, Kama Adamu na Eva wasingekula tunda, mwanadamu angeendelea kuishi akiwa uchi kabisa bila kuona aibu, hofu, wala hitaji la nguoOk¡ swali la nyongeza, MUNGU aliona vyema... sisi kuwa uchi, ina maana kama wasingekula tunda tungebaki hivyohivyo?