Wayahudi, hao watu ni great story writers and storytellers.Nani alizileta.... Mkuu¡
Una ushahidi wa mtu mmoja aliyeponywa kupitia hizo story?kwa nini kama niza kutungu leo watu wanaponywa kupitia hayo waliyoyatunga, kama kumwamini YESU¡
Sitaki hata kujua na wala sijawah fikiriaga hizo ndudeMkuu... Kwa hiyo unataka uhakika wa story?
Asante...Hawa asigejua kuwa yupo uchi kwasababu alikuwa ni nusu mtu siyo mwili kamili na kama adam asigekula tunda lile wasigejua mema na mabaya
Huu ni mtazamo wang tu
Aliponywa nini?Yes... my sister¡