Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
@babu DC
ha ha ha, dah hadi RIP?
Kumbe hali ni tete kuliko nilivyodhani.
Najua wanamme hupenda mwanamke afulie tu kwa kwenda mbel, ili siku akimhitaji kwa makumbushio aweze kumpata kirahisi.
Kaka/dada,
Hii dunia ina vituko si mchezo,
Kuna jamaa yetu aliachana na mke wake..ila yule mama akahangaika mambo yake yakaa sawa. Yule baba alizuia watoto wote (alikuwa anaishi nao yeye kwa amri ya mahakama) wasionane na mama yao kwa hali yoyote ingawa walikuwa wanaishi kijiji kimoja. Aliweka informers kibao na kitendo cha mama kukutana na kusalimiana na watoto kilikuwa kinawafanya watoto wapate kibano usiku mzima...
Hadi leo hii wamekuwa wazee lakini mwanamume hana amani kabisa!!
Babu DC!