Kwani wazungu wana nini ambacho waafrika hatuna: What is the missing link?

Kabla ya hao wazungu kuja wewe ulikuwa umepiga hatua gani? Kifupi tuliwekeza kwenye utamaduni tu mambo ya ngoma etc, dats why wao wakaona hatuna ishu wakaona watuletee angalau mfumo utakaotufanya tuendelee.
Kuna mwarabu mmoja aliwahi sema "wao wanaendelea na sisi watu weusi hatuendelei sababu moja tu " uongozi" akaishia hapo
Ulikuwa ujinga tu labda kukaa ukoo mmoja kwa pamoja nakuvaa magome tu na kuoana tu kama ngedere
 
Mkuu umeongea point ya msingi sana na hili tatizo ndio linasumbua nchi ya Afrika ya Kusini. Afrika ya Kusini wamepewa uhuru wa bendera/siasa lakini uchumi bado anaushika mzungu. bila kushika kushika uchumi huwezi kuwa huru

Sisi watanzania serikali yetu haijui majukumu yake. Haijui kama ijishughulishe na biashara au la. Inaingia kwenye biashara na kutoka kumbuka korosho na ndege na viwanda. Pia serikali yetu inawachukia wafanya biashara na haiwajengei mazingira yakufanikiwa. kwaajili hiyo uchumii wetu unaendele kuyumba

Serikali za Kiafrika haiwezi hata kuendesha kijiji kikapata mafanikio itakuwa mji, jiji au nchi?

the Kibbutz
More then 90 years ago the first Kibbutz (from the Hebrew word kvutza, meaning group), was established. It was a revolutionary idea of a voluntary society in which people live in accordance with a specific social contract, based on egalitarian and communal principles in a social and economic framework. The main characteristics of Kibbutz life were established in adherence to collectivism in property alongside a cooperative character in the spheres of education, culture and social life. With this came the understanding that the Kibbutz member is part of a unit that is larger then just his own family.

The Kibbutz operates under the premise that all income generated by the Kibbutz and its members goes into a common pool. This income is used to run the Kibbutz, make investments, and guarantee mutual and reciprocal aid and responsibility between members. Kibbutz members receive the same budget (according to family size), regardless of their job or position. In terms of education, all children start equally and are given equal opportunity. The Kibbutz is governed by a system of direct participatory democracy, where the individual can directly influence issues and events in the community. In this mostly self sufficient community, the collective as well as the work ethic play a major role.

There are Kibbutzim where the members receive differential salaries and pay for services, but in all the Kibbutzim which have chosen the differentiation model, the members are "insured" regarding the minimum income level.

Having grown out of the pioneering era and way of thought of the early twentieth century, Kibbutz ideology was established and developed during the pre-state and early years of Israel’s statehood. During the initial years and for many years after, the Kibbutzim assumed prominent roles in almost every sphere of the developing country. Although encompassing only three percent of Israeli society, the Kibbutz has made a dramatic mark on Israeli production, culture and ideology. Today, the Kibbutz movement is undergoing a process of change. Some aspects that in the past were included in the public domain are now under the care and responsibility of each member and his or her family. Somewhat romanticized in the past, the Kibbutz of today has evolved dramatically and the focus of Kibbutz life on society has substantially diminished.

The number of members on a Kibbutz can range from 100 to 1000. In older Kibbutzim members often include three and even four generations, comprising the founders and their successors, as well as members who have joined the Kibbutz over the years, including a significant number of new immigrants. Today there are approximately 250 Kibbutzim in the country, where about 125 000 people live. The majority of Kibbutzim are secular, but there are about twenty religious Kibbutzim, as well as Kibbutzim connected to both the Conservative and Reform streams.

The different characters of Kibbutzim are dictated by their historical origins, the ages of members and the general social and financial success and security of the Kibbutz. They are located throughout the country and vary in size, location, climate, agriculture, types of industry, population, ideological or religious persuasion and general character. In addition, issues of privatization and the extent of the continuation of communal life are factors influencing the style and development of most Kibbutzim today. Some have more or less solved the issue while others are still engaged in heated discussions as to their character and the character of Kibbutz life as it has been known for most of the last century. It is clear that much will be preserved, but at the same time generations have been raised and lessons learnt that will shed light on the continued future of the Kibbutz lifestyle.

Part of the ideology of Kibbutzim has always been the good of the collective and a strong involvement and ideological belief in the social issues and agenda of the country. An extension of these beliefs has led to an ongoing involvement with new immigrants over the years, from developing programs and assisting in providing accommodation to opening their communities and homes. The Kibbutzim have been involved historically with Aliyah and continue to be interested in this important aspect of building the country.
Source :
 
Unanikumbusha mwaka fulani nilikuwa lagema hotel (star of the East) zanzibar,kuna bwana mdogo mmoja alikuwa ni security, ni hawa kk security, sasa alikuwa maeneo ya gim, kuna kamdada kalikuwa kanapga mazoezi pale pembeni yake.

Yule bwana akaanza kulekebisha suruali yake kwa kuchomekea na kujiweka sawa, bwana weeee kale kamdada kakatoka mbio kanapiga kelele eti anataka kukabaka mana kamemuona anafungua suluali yake. Jamaa ndo kujieleza kuwa "nilikuwa nalekebisha suruali tu kwa kuchomekea". Akahamishwa pale, wazungu wanakujaga afrika na tahadhari na ngozi nyeusi mana wanatuona hatuna tofauti na wanyama kabisa.Mwafrica mda wowote anachafua upepo
 
ndugu

Una akili sana... yani hukutakiwa kuwa mwafrika

mwafrika hawezi kuinvest kwenye research and developmenet kwasababu hajui faida yake. hana mawazo wala mipango ya kesho na baadae. Huwezi mwambia mwafrika tufanye utafiti wa miaka 100 utakao kuja kusaidia watoto wetu. atakuona kichaa

waafrika hawatumii data kwenye kazi zao. nna hakika wakuu wa wilaya, wabunge n wakuu wa miko hajui statistics zozote muhimu katika wilaya na mikoa yao sasa unawezaje kutunga sera bila takwimu
Hahah tuko bongo bahati mbaya haha
 
Afrika ya Kusini ndio the largest economy in afrika with the best infrastructure in the entire continent. Mafanikio haya yamewezekana kwasababu kuna mzungu anaishi pale mpaka leo

Zimbabwe uchumi umeanguka kabisa baada ya kuanza kumuondoa mzungu. Na sasa wazimbabwe wote wanahamia afrika ya kusini kuyafata mema ya mzungu

Wakati wa ukoloni babu zetu waliwindwa kama wanyama wakadakwa wakauzwa na kupelekwa ulaya utumwani. Lakini sasa waafrika maelfu kwa maelfu wanakimbilia ulaya. Wanajipeleka wenyewe kwa mzungu tena wengine kwa kurisk maisha yao kwenye mediteranian sea.

Kule marekani mitaa wanayoishi wazungu ni bora kabisa na iko very civilized and well kept. Lakini mitaa ya waafrika ni gettho na familia zao ni vurugu tupu zenye mimba za utotoni na vijana wanaokataa shule. Hata Chris Rock aliwahi kutania kwamba ukipiga simu usiku wa manane ikawa wrong namba akipokea mweusi atakutukana lakini akipokea mzungu atakuuliza kwani ulikua unamtafuta nani labda naweza kukusaidia.

Hapa Tanzania mashirika mengi yalikufa baada ya mzungu kuondoka. Mfano mmoja ni yale mashamba ya Nafco basutu na mbarali na hata mashamba ya mkonge tanga nk


Kwani mzungu ana nini ambacho waafrika hatuna ambacho kinamfanya yeye anafanikiwa tu na sisi tunafeli kila mahali dunia nzima. Yani waafrika popote walipo na chochote wanachofanya kinafeli lakini wazungu popote walipo wanafanikiwa


Kule Haiti ambako ni karibu kabisa na america nchi imeharibika kabisa kwasababu ni nchi ya mwafrika. Meya mmoja wa Washington DC aliekua mweusi alikamatwa kwa rushwa wakati Washington DC is one of poorest city in america kwakua viongozi wake ni weusi simillar to chicago inayoongoza kwa crime rate and homicides in the united states kwakua viongozi ni weusi.

What is the missing link

Where is the missing link and where did it originate from.

Is the gap cultural, religion, economic, or psychological.

safari hii naomba tusifocus kwa mwafrika na mapungufu yake hebu tufocus na mzungu kwani nini alicho nacho mzungu ambacho sisi hatuna?

Sisi waafrika tukisoma na mzungu darasani hua tunawashinda tunaongoza katika masomo na hata katika athletic abilities lakini mwisho wa siku mzungu anaendelea kufanikiwa sisi tunarudi nyumbani kuendelea kufeli


Je ni nini ambacho mzungu anacho siso hatuna?

Wana Systems, institutions, organisation, they are looking at big picture, National interest at heart(maslahi ya Taifa) rule of law (Sheria zinaheshimiwa na mahakama zinahakikisha haki inatendeka, hata kama pia kuna mapungufu), wajane, yatima, property single mothers, hadi homeless people wanajitahidi kuwasaidia.

They have studied and they do respect their history, culture, story, achievement. Kwetu ni opposite.

They have written the history, they even wrote our history, story of Africans, Blacks to suit their needs, to always control the world, to make it seems African he has done nothing. Winners do write history.

They control all our communication, how we communicate, what we see, discuss, in the end what we think, how the world think about things through tv, print, pictures, images, internet, social media even telephone.

While at the same time take all important resources from Africa though silly, criminal deals.

They are against corruption, but they are the one's who corrupt our leaders with few dollars, pound, euros. They protect dictactors like Paul Biya, leaders of Equatorial Guinea, Congo Brazaville, who do their bidding and so many others.

Mfano: - Bagamoyo port deal, Gas deal in Tanzania.
 
Unanikumbusha mwaka fulani nilikuwa lagema hotel (star of the East) zanzibar,kuna bwana mdogo mmoja alikuwa ni security, ni hawa kk security, sasa alikuwa maeneo ya gim, kuna kamdada kalikuwa kanapga mazoezi pale pembeni yake.

Yule bwana akaanza kulekebisha suruali yake kwa kuchomekea na kujiweka sawa, bwana weeee kale kamdada kakatoka mbio kanapiga kelele eti anataka kukabaka mana kamemuona anafungua suluali yake. Jamaa ndo kujieleza kuwa "nilikuwa nalekebisha suruali tu kwa kuchomekea". Akahamishwa pale, wazungu wanakujaga afrika na tahadhari na ngozi nyeusi mana wanatuona hatuna tofauti na wanyama kabisa.Mwafrica mda wowote anachafua upepo

saa yoyote anachomoa betri 😅 😅 😅
 
The difference is,,,,,,,,,,,walituletea social affairs nyingi ambazo zilivuruga njia na mfumo mzima wa maisha yetu kwa maslahi yao ya miaka mingi ahead,kwa uchache sana,,,,,,fikiria mfumo wa elimu kwa nchi zote za kiafrika,kila nchi inafata mfumo wa her colonial master,,,,,,, hii ni kwa faida ya nani???dini (imported religious affairs) ni janga lingine kubwa kwetu,tuje kwenye political affairs, kila kitu mifumo na utendaji wa serikali zetu zinafata au kukopi toka kwa colonial masters,et mabunge ya jumuiya ya madola,je mahitaji na changamoto za kijamii,kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni kwa watanzania na wakenya yanafana na ya waindonessia,wahindi na waingereza hadi tutumie mfumo ufananao kwa ujinga wa jumuiya ya madola????tumepoteza our natural potentials ktk kila nyanja ya maisha na hatukujipanga kuikabili mifumo (mentality) ambayo tuliachiwa na wakoloni,,,,,,,,,mungu ibariki na inasue afrika,,,,,,,,,,,,,,,!!!kutoka 411kj ruhuwiko songea,buffet nawatakieni asbuhi njema wote
Jamaa umehitimisha kama unatuma salamu redioni vile..... Well said Brother...🙏
 
Ni kweli waafrka mfumo wetu wa maisha hata katika ngazi ya familia niwakijinga sana. Wazazi mbali na elimu hua hawawawekei watoto maandalizi mengine yoyote wala urithi mwengine wowote kila mtoto hua anakuja kuanza maisha upya no continuity. hii hata wahindi tu wanatushinda

kule babati kuna kiwanda cha sukari guru cha wahindi kiko sehemu inatwa Kiruu. Kiwanda kipo pale zaidi ya miaka 30 na sasa wajukuu ndio wanakiendesha. wangekua waswahilikingekua kimeshakufa
Hospital ya Aghakhan ilianzishwa kama hospital ya familia tu huko nchini India. Lakin leo hii tunavyoongea hivi iko worldwide na ina miaka zaidi ya 140 tangu kuanzishwa kwake.

Bank ya Barclay's ilianzishwa kama hizi tunazoita sisi VICOBA huku lengo ilikuwa ni kutoa huduma kwa wananzego wa jamii fulani huko Uingereza miaka ya 1880s, lakini leo hii ni moja wapo ya Bank kubwa sana ulimwenguni.

Wenzetu wakianzisha kitu wanakuwa na longe term plans ambazo sio lazima ziwafaidishe wao kwa wakati huo, matunda ya plans hizo yanakuja kuonekana kwa vizazi vijavyo alikadharika pia na vizazi vijavyo navyo vinatakuwa na mipango ya muda mrefu ambayo italenga zaidi kunufaisha vizazi vya mbele yao...na vijavyo tena vinafanya kama vilivyopita.

Ni tofauti kabisa na sisi ngozi ya tako ambao mtu ukianzisha biashara tu mipango yote unaisuka kwa kujiangalia wewe bila kuwafikiria hata watoto wako kwenye mustakabali wa hiyo biashara. Na ndio maana hata biashara zenyewe tunazokuwa nazo unakuta zina exist kwa muda mfupi sababu hata mipango yake yenyewe mara nyingi huwa ni ya muda mfupi.

Yote hii sababu kuu ni ubinafsi tu, ndio maana koo zetu baadhi unakuta ziliwahi kuwa na utajiri sana huko nyuma Lakin leo hii ni masikini ukichunguza sababu ya kutoendeleza utajiri huo ni ubinafsi na kukosa tafakari ya mbele(lack of foresight.

Leo hii hapa bongo kuna biashara au makampuni ya wahindi yenye miaka 60 tangu kuanzishwa kwao lakini ukitafuta makampuni ya wabongo yenye miaka 25 tu tangu kuanzishwa kwake unaweza usipate.
 
Hili nalo neno sahihi kabisa

Sometimes hua nakua na mawazo ambayo yako half baked najiuliza au UN ilazimishe kuhamisha wazungu wengi waje Afrika na waafrika wengi waende ulaya. Tuchanganyikane labda maendeleo na ustaarabu utasambaa evenly
Waliokuja huku watafanya kitu, lakini walioenda kule akili zao ni zile zile tu angalia hata USA sehemu wanazokaa waafrika yaani hatutofautiani na huku mwananyamala ni kama vile Mungu alituwekea kitu katika vichwa vya waafrika
 
Hili nalo neno sahihi kabisa

Sometimes hua nakua na mawazo ambayo yako half baked najiuliza au UN ilazimishe kuhamisha wazungu wengi waje Afrika na waafrika wengi waende ulaya. Tuchanganyikane labda maendeleo na ustaarabu utasambaa evenly
Binafsi naamini hata hili likifanyika yatatokea kama anavyosema bwana Trump hapa.
FB_IMG_1568165471394.jpeg
 
Waliokuja huku watafanya kitu, lakini walioenda kule akili zao ni zile zile tu angalia hata USA sehemu wanazokaa waafrika yaani hatutofautiani na huku mwananyamala ni kama vile Mungu alituwekea kitu katika vichwa vya waafrika
Exactly.

Tutaigeuza ulaya/amerika kuwa kama ilivyo Afrika wakati huo wao wataigeuza Afrika iwe kama Ulaya/amerika waliyoiacha.

Tatizo kuu ni minds za occupants wa mazingira husika ndio wanaweza kuyafanya mazingira hayo yaweje.

Huko Afrika kusini kipindi cha utawala wa Mkaburu maeneo kama Hillbrow Johannesburg ambayo mtu mweusi alikuwa haruhisiwi kukanyaga, yalikuwa ni maeneo mazuri sana yenye madhari ya kuvutia na usalama. Lakini tangu mtu mweusi alivyoruhusiwa tu na yeye kuishi maeneo yale sasa hivi imekuwa ni kama jalala ndio sehemu yanapopatikana madawa ya kulevya,ukahaba na fujo zote za kila.

Ustaharabu ni kitu kimoja muhimu sana kuelekea kupata maendeleo ya kitu chochote.
 
wazungu sio wabinafsi, pia wanashirikiana na kisaidiana kufanya maendeleo.... waafrika hatuko hivyo kamwe...
 
Hii notion ya kwamba sisi tuko hivi mpaka leo hii sababu ya kutawaliwa na mzungu mimi naikataa kabisa.

Mbona kuna jamii zingine nazo pia walitawaliwa na mzungu huyo huyo aliyetutawala sisi lakini wao wameendelea sawa na hao watawala mfano Australia na Japan?

Kwani wao waliweza vipi ku-restructure mifumo yao ya maisha kutoka kwenye ile walioachiwa na mkoloni hadi kupiga hatua kimaendeleo na kutuacha sisi nyuma?
 
Hospital ya Aghakhan ilianzishwa kama hospital ya familia tu huko nchini India. Lakin leo hii tunavyoongea hivi iko worldwide na ina miaka zaidi ya 140 tangu kuanzishwa kwake.

Bank ya Barclay's ilianzishwa kama hizi tunazoita sisi VICOBA huku lengo ilikuwa ni kutoa huduma kwa wananzego wa jamii fulani huko Uingereza miaka ya 1880s, lakini leo hii ni moja wapo ya Bank kubwa sana ulimwenguni.

Wenzetu wakianzisha kitu wanakuwa na longe term plans ambazo sio lazima ziwafaidishe wao kwa wakati huo, matunda ya plans hizo yanakuja kuonekana kwa vizazi vijavyo alikadharika pia na vizazi vijavyo navyo vinatakuwa na mipango ya muda mrefu ambayo italenga zaidi kunufaisha vizazi vya mbele yao...na vijavyo tena vinafanya kama vilivyopita.

Ni tofauti kabisa na sisi ngozi ya tako ambao mtu ukianzisha biashara tu mipango yote unaisuka kwa kujiangalia wewe bila kuwafikiria hata watoto wako kwenye mustakabali wa hiyo biashara. Na ndio maana hata biashara zenyewe tunazokuwa nazo unakuta zina exist kwa muda mfupi sababu hata mipango yake yenyewe mara nyingi huwa ni ya muda mfupi.

Yote hii sababu kuu ni ubinafsi tu, ndio maana koo zetu baadhi unakuta ziliwahi kuwa na utajiri sana huko nyuma Lakin leo hii ni masikini ukichunguza sababu ya kutoendeleza utajiri huo ni ubinafsi na kukosa tafakari ya mbele(lack of foresight.

Leo hii hapa bongo kuna biashara au makampuni ya wahindi yenye miaka 60 tangu kuanzishwa kwao lakini ukitafuta makampuni ya wabongo yenye miaka 25 tu tangu kuanzishwa kwake unaweza usipate.

Uko sahihi sana

Mtu akicheza na mindset yako anakumaliza kabisa na ndicho mzungu alichotufanyia waafrika
 
Once, German colonial governor in Tanganyika claims that; "Unless African' s laziness is inborn character, but also are characterized by general lack of want......Hence, a measure of compulsion should be applied in the colony to force them to work.........
Furthermore, education about importance of work and how to work should be provided in the colony".

Governor alikua sahihi
 
Hilo ni tatizo wewe nyumba zaidi ya 50 zanini?bado mashamba magari!kwanini usisaidie wasiojiweza badala ya kujimilikisha mimali kama haufi?kuna watu wana mashamba heka 500 na hawalimi wakati kuna vijana wanatafuta ardhi hata heka 5 walime na wanakosa.



br hizi ndo akili zinazofanya tusiendelee

1.Kuridhika ovyo kisa tu una nyumba au una shamba eka 50

2.Kupenda kusaidiwa ovyo,kwan huyo mwenye navyo aliokota?na wao wapambane kisawa sawa mpaka wawe nazo wawe

By the way nchi kubwa sana hii kila mtu anaweza kumiliki eka 58 na kujenga nyumba 28 kwa hio masamaki kumiliki hizo nyumba hakuna uhusiano na kwann mimi na wew ni masikini
 
Wana Systems, National interest maslahi ya Taifa at heart, rule of law (Sheria zinaheshimiwa na mahakama zinahakikisha haki inatendeka, pia kuna wana mapungufu), they study and respect their history, culture, story.

They have written the history, they even wrote our history, story of Africans, Blacks to suit their needs, to always control the world, to make it seems African he has done nothing. Winners do write history.

They control all comnunication, how we communicate, what we see, discuss, in the end what we think, how the world world think about things through tv, print, pictures, images, internet, social media even telephone.

While at the same time take all important resources from Africa though silly, criminal deals.

They are against corruption, but they are the one's who corrupt our leaders with few dollars, pound, euros. They protect dictactors like Paul Biya who does theit bidding.

Case in point is Bagamoyo port, Gas deal.

Ni kweli wao wana system na taasisi sisi hatuna hivyo vitu 2 vya muhimu
wao wanaadika historia na kuitumia kufanya tafiti sis hatufanyi
wao wana control all means communications sisi hatufanyi

Hatuwezi kuwafikia wala kujilinganisha nao
 
Ngoja niendelee kusoma maoni
Afrika ya Kusini ndio the largest economy in afrika with the best infrastructure in the entire continent. Mafanikio haya yamewezekana kwasababu kuna mzungu anaishi pale mpaka leo

Zimbabwe uchumi umeanguka kabisa baada ya kuanza kumuondoa mzungu. Na sasa wazimbabwe wote wanahamia afrika ya kusini kuyafata mema ya mzungu

Wakati wa ukoloni babu zetu waliwindwa kama wanyama wakadakwa wakauzwa na kupelekwa ulaya utumwani. Lakini sasa waafrika maelfu kwa maelfu wanakimbilia ulaya. Wanajipeleka wenyewe kwa mzungu tena wengine kwa kurisk maisha yao kwenye mediteranian sea.

Kule marekani mitaa wanayoishi wazungu ni bora kabisa na iko very civilized and well kept. Lakini mitaa ya waafrika ni gettho na familia zao ni vurugu tupu zenye mimba za utotoni na vijana wanaokataa shule. Hata Chris Rock aliwahi kutania kwamba ukipiga simu usiku wa manane ikawa wrong namba akipokea mweusi atakutukana lakini akipokea mzungu atakuuliza kwani ulikua unamtafuta nani labda naweza kukusaidia.

Hapa Tanzania mashirika mengi yalikufa baada ya mzungu kuondoka. Mfano mmoja ni yale mashamba ya Nafco basutu na mbarali na hata mashamba ya mkonge tanga nk


Kwani mzungu ana nini ambacho waafrika hatuna ambacho kinamfanya yeye anafanikiwa tu na sisi tunafeli kila mahali dunia nzima. Yani waafrika popote walipo na chochote wanachofanya kinafeli lakini wazungu popote walipo wanafanikiwa


Kule Haiti ambako ni karibu kabisa na america nchi imeharibika kabisa kwasababu ni nchi ya mwafrika. Meya mmoja wa Washington DC aliekua mweusi alikamatwa kwa rushwa wakati Washington DC is one of poorest city in america kwakua viongozi wake ni weusi simillar to chicago inayoongoza kwa crime rate and homicides in the united states kwakua viongozi ni weusi.

What is the missing link

Where is the missing link and where did it originate from.

Is the gap cultural, religion, economic, or psychological.

safari hii naomba tusifocus kwa mwafrika na mapungufu yake hebu tufocus na mzungu kwani nini alicho nacho mzungu ambacho sisi hatuna?

Sisi waafrika tukisoma na mzungu darasani hua tunawashinda tunaongoza katika masomo na hata katika athletic abilities lakini mwisho wa siku mzungu anaendelea kufanikiwa sisi tunarudi nyumbani kuendelea kufeli


Je ni nini ambacho mzungu anacho siso hatuna?
 
Back
Top Bottom