ccm ni kama popo, si ndege wala mnyama, walimshangilia sana kikwete alivyosema pesa si za umma, wakafurahi sana kafulila kuitwa tumbili, wakampigia debe muhongo ni mzalendo arudishwe kazini, leo ndio hao hao wanao msifia magu kuwafikisha mahakamani waliokwapua pesa za umma ambazo rais mstaafu alibariki zichotwe, aisee! inashangaza mno hawa jamaa kila rais kwao ni JEMBE, anatenda vyema..