Kabla ya kuwa raisi magufuli hajawahi kuwa hata balozi wa nyumba kumi. Suala siyo ulianza kuwa ccm lini. Ni unasimia nini?Alishasema alianza misheni Ethiopia
Ulimjua kipindi cha Magufuli kuwa rais ila alikuwepo kwenye system before, ni mtumishi ndio maana kwenye press yake juzi anakuambia kiapo kinamzuia kusema mengi.Kabla ya kuwa raisi magufuli hajawahi kuwa hata balozi wa nyumba kumi. Suala siyo ulianza kuwa ccm lini. Ni unasimia nini?
Wapo walianza biashara kabla ya bahresa lakini leo ni maskini
Kitila Mkumbo na wahuni wengine waliounga mkono juhudi wamekuwaje waandamizi kwenye chama chenu?Wenye CCM Yao wameanza kuhoji Je huyu aneyejiita mwana CCM aliyesema ameshashika vyeo vikubwa ndani ya CCM. JE ni lini alijiunga na ÇCM?
Je ni kweli anataka tumuamini eti anaijua katiba,mienendo na tamaduni za CCM Kuliko wengine?
Jadili hoja, usimjadili mtu.Wenye CCM Yao wameanza kuhoji Je huyu aneyejiita mwana CCM aliyesema ameshashika vyeo vikubwa ndani ya CCM. JE ni lini alijiunga na ÇCM?
Je ni kweli anataka tumuamini eti anaijua katiba,mienendo na tamaduni za CCM Kuliko wengine?
Hata kama angeanza jana!Wenye CCM Yao wameanza kuhoji Je huyu aneyejiita mwana CCM aliyesema ameshashika vyeo vikubwa ndani ya CCM. JE ni lini alijiunga na ÇCM?
Je ni kweli anataka tumuamini eti anaijua katiba,mienendo na tamaduni za CCM Kuliko wengine?
2020 sikiliza mkutano wake wa juzi alisema mwaka aliojiunga na ccmWenye CCM Yao wameanza kuhoji Je huyu aneyejiita mwana CCM aliyesema ameshashika vyeo vikubwa ndani ya CCM. JE ni lini alijiunga na ÇCM?
Je ni kweli anataka tumuamini eti anaijua katiba,mienendo na tamaduni za CCM Kuliko wengine?
Nakwambia hivii, jadili hoja usijadili mtu.Katika presentation yake alitaja CV yake kwamba ameshika vyeo vikubwa ndani ya CCM.
Pia akagusia kuhusu utamaduni wa chama ...sasa kati ya polepole na JK anayejua utamaduni wa chama ni nani?
Slowslow Kawa.... tangu 2K n mzoefu hata hizi sarakasi anazopiga SI za kuziamini Sana inaweza ikawa ni mtego... Ss wenyewe hatuaminiani ngoja akamilishe task akeUlimjua kipindi cha Magufuli kuwa rais ila alikuwepo kwenye system before, ni mtumishi ndio maana kwenye press yake juzi anakuambia kiapo kinamzuia kusema mengi.
Unajua ccm imeanza kubadilika sasa kuchukua hadi machawa ila ni chama kilikuwa kinawajenga vijana, na kati hao vijana Pole Pole wakiwemo ndani, kama umemsikiliza vizuri kuna sehemu alisema kwenye chama na serikali amepita sehemu nyingi sana kicheo tena fasta fasta tena vya juu.
Hivi unajua ccm wameshaweka sana mapandikizi ukiwaona kwenye vyama vingine tuanzia Lyatonga, Mabere na wengine wengi ukijua ni wapinzani kumbe ni meno wanafanya kazi kwa niaba ya chama tawala.
Kwa mfano Dr Bash wengi wanadhani ni mtu wa CUF, alivyoletwa chamani walisema ni mgeni, alifikia cheo cha katibu mkuu kiongozi, unajua jumba jeupe uwezi kufanya kazi kama siyo mwenzao( meno)
Mind you, meno wengi ni chama tawala, refer to dc wa wilaya moja ipo mkoa pwani alikuwa ndani ya chama halafu alikuwa mwandamizi jumba jeupe hadi ametolewa kuwa dc.
Jibu hoja zake na hao G200+ watawafurahisha siku za usoni!Wenye CCM Yao wameanza kuhoji Je huyu aneyejiita mwana CCM aliyesema ameshashika vyeo vikubwa ndani ya CCM. JE ni lini alijiunga na ÇCM?
Je ni kweli anataka tumuamini eti anaijua katiba,mienendo na tamaduni za CCM Kuliko wengine?