SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Nilishangaa sana! Baada ya kitendo kile akawa ananiuliza "wewe unafanyaje inakuwa tamu hivi jamani! Mfundishe basi rafiki yako, unajua mimi sipendi tabia tuliyofanya lakini basi tu!"
Nilichoshangaa ni kuwa, hii ni akili ya vipi? Yaani anadhani naweza kumfundisha mumewe hiko kitu!
Mtu B, naamini mlikumbuka kutumia kinga.
Sasa bila huyo rafiki yako kujifunza si huyo 'shemeji' yako ataendelea kumegwa hovyo tu na mabazazi wengine? Jaribu kumwokoa rafiki yako kama bado unampenda maana kwa trend hiyo ya huyo mkewe, mtawazika muda si mrefu. Mashauri ajifunze kuhusu wanawake na namna ya kuwatendea 'chumbani' na 'sebuleni' huenda ikaokoa maisha yake.