Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 287
Kuoa/kuolewa ni moja ya siku kuu tatu za mwanadamu.. vilevile hakuna anayependwa upweke.. vilevile, ni bora uwe peke yako na mwenye amani tele maishani kuliko kuwa ndani ya ndoa na uwe mpweke! Dada usife moyo...muombe mungu...... Mfano hai: Rais Bingu wa Mutharika wa Malawi kaoa.. tena uzeeni!