Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Unaweza wewe... yaani wewe kutokunywa bia unaona ndo sawa na wanywa bia wakiona kunywa juisi kwenye sherehe siyo sawa, unawashangaa.Ni kweli uliyoandika!
Ni kweli ili sherehe ifane hasa harusi ni lazima watu washiriki, wale, Wanywe na kucheza.
Lakini kwenye kunywa siyo lazima iwe pombe, kunywa wanaweza kunywa juisi, togwa, maji n.k