Kwangu mimi huyu ndio mzamiaji mwenye roho ngumu kinoma, wengine wanangoja

Wadogo kiumbe wakubwa kifikra maisha yamewalazimisha kuwa wakubwa.
Hawa lazima walifika Dar kwa kudandia malori,au gari za ng'ombe.
Kuna dogo alitembea kwa mguu toka Mwanza hadi south africa haya maisha yaache tu ufumbuzi upatikana kuliko na shida ilivyo.
Ya ni kweli. Madogo wengi wamejitoa mhanga kwa kwenda popote wasipopajua ili mradi waondokane na maisha ya msoto.
 
Wazamiaji noma sana,imagine mtu anazamia melini kutoka mombasa,tanga,dar,mtwara,pemba,Nakala,maputo,kwazulu,cape town hadi canada au ulaya aisee ujasiri unahitajika sana
 
Wazamiaji noma sana,imagine mtu anazamia melini kutoka mombasa,tanga,dar,mtwara,pemba,Nakala,maputo,kwazulu,cape town hadi canada au ulaya aisee ujasiri unahitajika sana
Ila mabaharia wakimdaka wanamla jicho au kumtupa baharini.
 
Hongera..hii stori mimi kama mimi sijawahi andika stori yoyote ila nilikuwa nina uwezo wa kuifanya kuwa ndefu sana haswa mkiwa safarini pale kwenye bus msela akiwa chini


Pia nawaza ni ngumu sana kuingia chini ya bus mchana wasikuone..hizi yutong zetu hizi
Hahahaha mimi nimeamua nimalizie kabisa ili mtu apate point ya kile kilichoandikwa.
 
Wazamiaji noma sana,imagine mtu anazamia melini kutoka mombasa,tanga,dar,mtwara,pemba,Nakala,maputo,kwazulu,cape town hadi canada au ulaya aisee ujasiri unahitajika sana
Yani inahitajika ujasiri wa hali ya juu kama huyu mwamba. Inafika kipindi unaona kama kufa kumeumbwa kwann nikiogope kifo, hapo ndo unajilipua mazima.
 
Hongera..hii stori mimi kama mimi sijawahi andika stori yoyote ila nilikuwa nina uwezo wa kuifanya kuwa ndefu sana haswa mkiwa safarini pale kwenye bus msela akiwa chini


Pia nawaza ni ngumu sana kuingia chini ya bus mchana wasikuone..hizi yutong zetu hizi
Mkuu ulisoma vizuri kweli? Mbona nimeeleza vizuri tu nikaeleweka kwa wengi. Yani niliandika kuwa basi liliondoka saa kumi asubuh ambapo bado kulikuwa giza giza kwahiyo asingeweza onekana. Afu kingine kwa miaka ile ilikuwa ngumu kushtukiwa kwa vile hakuna mtu alieweza kufikiria kwamb kuna mtu anaweza kusafiri akiwa chini ya tairi la rizev la basi. Labda miaka hii ndo rahisi kujulikana maana watu washaona haya mambo kupitia mitandao mbali mbali kama vile yutub, movie na history kama hizi. Ila kwa miaka ile ilikuwa ngumu ndomaana kuna watu wengi walikuwa wanazamia nchi za watu na wengi walifika bila kushtukiwa, ila kwa sasa ni ngumu kwa vile wenye meli, ndege na magari yao washashtuka.
 
Zamani masela Toka kuja dar walikuwa wanapishana na wakaguzi wa tiketi wanapanda juu ya roof ya tren wanakaa juu wanapisha behewa wanadondokea dirisha la chooni au wanajichomeka chini ya viti wanalala kwa nyomi ile hakuna mkaguzi anakagua chini ya viti
 
Back
Top Bottom