Kwangu hapa ndo mwisho wa reli.

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,223
387018_474836565867730_808389140_n.jpg
 
Kwa kukaanga tu ndo inafaa unachanganyia na ndizi mshale au mzuzu za kuchoma shushia na safari Lager siku saaafi
 
Kwa kukaanga tu ndo inafaa unachanganyia na ndizi mshale au mzuzu za kuchoma shushia na safari Lager siku saaafi
yaani unajihisi vizuriiiiiiiii,au kaanga uchanganyie na mboga za majani halafu ule nao ugali
 
Nguruwe aliumbwa kama mnyama msafisha mazingira na anashambuliwa na wadudu kibao ambao kwake hawana madhara ila hata ukimkaanga hawafi so watahamia kwako ukila, so ni tatizo. si vema kula pork. tumia fish mkuu, fish ndo recommendable.

Mambo ya Walawi, Chapter 11: [SUP]11:7[/SUP] Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.[SUP]11:8[/SUP] Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.@Excellent
 
Nguruwe aliumbwa kama mnyama msafisha mazingira na anashambuliwa na wadudu kibao ambao kwake hawana madhara ila hata ukimkaanga hawafi so watahamia kwako ukila, so ni tatizo. si vema kula pork. tumia fish mkuu, fish ndo recommendable.

Mambo ya Walawi, Chapter 11: [SUP]11:7[/SUP] Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.[SUP]11:8[/SUP] Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.@Excellent
Mkuu kiutaalam imehakikishwa lakini?ila kuhusu maandiko hapo siweki neno
 
Nguruwe aliumbwa kama mnyama msafisha mazingira na anashambuliwa na wadudu kibao ambao kwake hawana madhara ila hata ukimkaanga hawafi so watahamia kwako ukila, so ni tatizo. si vema kula pork. tumia fish mkuu, fish ndo recommendable.

Mambo ya Walawi, Chapter 11: [SUP]11:7[/SUP] Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.[SUP]11:8[/SUP] Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.@Excellent

Mbunye inamagonjwa lakini wenzako wanaila, hata ww umeamua kuinunua na kukaanayo nyumbani mtu asikubughudhi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom