Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,412
- 36,567
- Thread starter
- #21
Naww unakaribishwaMawazo mgando hayo..! Wema kufanya Ibada ya Kitubio kwa Mungu, Jamii inashangaa vp Samata alieenda kuhiji Macca Jamii ilimpongeza Je, Samata hana dhambi mbona hamshangai? " Kizuri kisifiwe, Kibaya kikemewe." Wema kama ndio muda wako sahihi wa kufanya kitubio fanya, mbele za Mungu utasimama pekeako.