Kwako sky eclat

Kwako sky eclat

Tusiwalaumu maana memba wote wa JF kama akina manengelo wanakuwa wametendwa ajabu! Hivyo hata yeye anaangalia risk factor na kwa mantiki hiyo lazima awe na spea taili kwa usalama wake. Taratibu tutafika. Wewe ulidhani Madam B angetulia? Unamuona Nifah ana makeke siku hizi. Ukiona mwanamke hapa JF na makeke sana jua hajapata wa kumtuliza akipata yupo tuli kama miss chagga
 
Lol ..mapenzi ya Jf utakufa kwa pressure. .hahaa

Nakumbuka nina rafiki yangu humu alikuwa in relation na mwanamke 1 alikuwa anakuja kasi sana hapa..now days hayupo active

Basi Bwana wakati huo huo wapo in love. .basi Kuna siku Akapigwa na butwaa baada ya kuona Kuna Jamaa amemfungulia thread ya mahaba. .full kubebi Shana humu. .hahaa Daah ... mahusiano ya Jf sitaki hata Kuya sikia
Hahahahahahahahah mi nawaangaliaaa nasema hiiiiiiiiiiiiii
 
Tusiwalaumu maana memba wote wa JF kama akina manengelo wanakuwa wametendwa ajabu! Hivyo hata yeye anaangalia risk factor na kwa mantiki hiyo lazima awe na spea taili kwa usalama wake. Taratibu tutafika. Wewe ulidhani Madam B angetulia? Unamuona Nifah ana makeke siku hizi. Ukiona mwanamke hapa JF na makeke sana jua hajapata wa kumtuliza akipata yupo tuli kama miss chagga



Hebu niache nile uzee kwa amani ww mtoto..kuwa na adabu
 
Tusiwalaumu maana memba wote wa JF kama akina manengelo wanakuwa wametendwa ajabu! Hivyo hata yeye anaangalia risk factor na kwa mantiki hiyo lazima awe na spea taili kwa usalama wake. Taratibu tutafika. Wewe ulidhani Madam B angetulia? Unamuona Nifah ana makeke siku hizi. Ukiona mwanamke hapa JF na makeke sana jua hajapata wa kumtuliza akipata yupo tuli kama miss chagga
Haha hahahwh..ila mimi sijawahi kufikwa na hayo mzee baba. ..yaani huwa sihitaji kabisa hizo mambo
 
Ana moyoooooo
Hahaha sio kwamba ana moyo ila amekuwa fisi. ..Wajua ukiwa fisi inakuwa hausikii maumivu. Hata ukisikia unaweza Kuya handle. .. so walimua kuendelea but sio kwa serious relation
 
Hahaha. .kumbe wewe unafaa kuwa katibu wa Chama chetu Mafisi. .kimya kimya ndio mpango. .. Hakuna kumfungulia mtu thread/wala kufunguliwa aise. .... hatutaki pressure
Kimya kimya halafu nawaangalia wapiga kelele nacheeeeeeeeka mno
 
Hahaha dadeki. .... Mimi hapana aise...sijawahi kukutwa na hayo maseke. .tena laiti yangenifika Nisinge thubutu kusema. .ninge piga kimya kama vile mwili wangu una button ya airplane mode
Story si yako Mkuu unajitengenezea muhusika mwingine, ujisafishe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom