BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jiko limenuna lol!
Hata wewe jikoni hujui linalopikwa au kinachoungua au kudoda?
Hata wewe jikoni hujui linalopikwa au kinachoungua au kudoda?
Hili jamaa linajipendekeza sana.Achana naye!Tumepokea salamu.
Kwani anayepumulia kwenye ventilator anaweza kututumia salamu?
Kama yupo Ok,maombi ya nini tena?Biblia inasema,''Aliye mzima haitaji daktari''.Mwamba yupo ok wazee tuendelee kumuombea kwa mapito anayopitia kwa kweli...
Mabibi na mabwana ushauri wa bure kwa mama yetu mpendwa Mama Samia.
Salamu tokea kwa mh. rais popote alipo tumezipokea. Muhimu naye akatufikishia zetu kwake mzee baba.
Hapa tulipo misingi ya haki imepotea. Chuki imetamalaki, maisha yamejaa ukakasi, uhuru wa watu kusema na hata kujifanyia wanayotaka haupo tena. Nk, nk.
Usidanganywe na wanufaika wa ukandamizwaji uliopo.
Muhimu kufahamu, kama Watanzania hatukuwahi kufikia viwango hivi vya mifarakano. Rejea awamu zote zilizopita. Leo hii tunaombeana kufa?
Jitihada zozote za kuyarekebisha hayo kupitia kwa mtu yeyote zitaungwa mkono vilivyo na tutashikamana kweri kweri kama taifa.
Mustakabala wa maisha ya watu hauwezi kubezwa dhidi ya maendeleo ya vitu.
Tafadhali tufikishie haya kwa mzee baba kokote aliko kama majibu ya salamu zake.
Tutafarijika mno kusikia japo tu kama salamu zetu zimefika, kwani mjumbe hauwawi.
Ninawasilisha.
Tutafarijika mno kusikia japo tu kama salamu zetu zimefika, kwani mjumbe hauwawi.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Hili jamaa linajipendekeza sana.Achana naye!
Hii aliikataa Kenyatta alipowauliza watu wa Mombasa wakasema tupo nyuma yako akasema hapana semeni tuko bega kwa bega.
Mjumbe anauwawa vizuri tu inategemeana na mazingiraTutafarijika mno kusikia japo tu kama salamu zetu zimefika, kwani mjumbe hauwawi.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Salamu hizi zisindikizwe na " small axe ya bob Marley " were sharpened to cut them down" though were the small axe... ninafuraha sanaTutafarijika mno kusikia japo tu kama salamu zetu zimefika, kwani
Mombasa wana mambo yao tofauti, ndomana aliwakatalia.Hii aliikataa Kenyatta alipowauliza watu wa Mombasa wakasema tupo nyuma yako akasema hapana semeni tuko bega kwa bega.
Mombasa wana mambo yao tofauti, ndomana aliwakatalia.