Kwako mama Samia: Tuko nyuma yako, ila...

Kwako mama Samia: Tuko nyuma yako, ila...

Huyo mama hawezi kufanya lolote kwa sababu yeye ni "Figurehead" tu hata sasa hivi anakaimu lakini mamlaka yote iko mikononi mwa usalama wa taifa.
 
Huyo mama hawezi kufanya chochote kwa sababu yeye ni "Figurehead" tu hata sasa hivi anakaimu lakini mamlaka yote iko mikononi mwa usalama wa taifa.

Kama haya yana chembe ya ukweli itakuwa si sawa.

Kwa hakika si sawa kwa ustawi wa nchi hii.

Ndipo hapo umuhimu wa katiba mpya unapozidi kujikazia sasa wala si kwa maneno tena!
 
Mnafanya nini nyuma ya mama samia? Acheni huo ujinga.

Wewe unataka tufanye nini mbele yake?

Wenu ndiyo ujinga sasa!

Kuwa nyuma ya mtu ni kumwunga mkono. Wewe hutaki tuwaunge mkono viongozi wetu katika agenda zao?
 
Wewe unataka tufanye nini mbele yake?

Wenu ndiyo ujinga sasa!

Kuwa nyuma ya mtu ni kumwunga mkono. Wewe hutaki tuwaunge mkono viongozi wetu katika agenda zao?
Unamuungaje mkono na upo nyuma yake? Umewahi ona watu wanaungana mikono kwa wengine kukaa nyuma yao.... Acheni Ujinga. Piteni mbele kama yeye...nyie waoga na wanafiq kama mafisi huwa mnatembea nyuma nyuma kwa woga na unafiq.
 
Unamuungaje mkono na upo nyuma yake? Umewahi ona watu wanaungana mikono kwa wengine kukaa nyuma yao.... Acheni Ujinga. Piteni mbele kama yeye...nyie waoga na wanafiq kama mafisi huwa mnatembea nyuma nyuma kwa woga na unafiq.

Hiiiiii bagosha!

Wewe msukuma nini jombi?

Hawajambo chattle na kule pande za muganza au kule bwanga?

Vipi airport yetu imeshakamilika au in progress? Vipi Burigi kupo rasmi sasa?

Iko namna hii "kuwa nyuma ya mtu" ni kiswahili hicho jombi.

Mambo ya Pwani hayo ati! Msukuma na kiswahili wapi na wapi?

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom