Kwako mama Samia: Tuko nyuma yako, ila...

Kwako mama Samia: Tuko nyuma yako, ila...

Hii ya kutaka wote tumuombee kitaalam.imekaaje

Labda ana maana atakaporejea atakuwa amezingatia salamu zetu vilivyo.

Mzizi wa fitina uko hapa:

IMG_20210316_110343_685.jpg
 
Utakufa mwenyewe.mlizoea vya dezo.acha sindano iwaingie

Kufa ni kila mtu mwenyewe. Unataka wewe kufa na nani jombi?

Kuzoea dezo hiyo habari mpya. Kwani hawa ndiyo wanaokula kwa jasho?

IMG_20210218_174254_207.jpg


Dezo labda waulizie chattle.

Hiiiiii bagosha!
 
Hawa watu nawaambia sana kuwa kilichopo humu ni tofauti na huko uraiani.
watu wa humu ndo hao hao wa uraiani.uraiani huko wanaogopa watakamatwa.wapo mawaziri wengi tu wanaccm wengi tu nao wanatamani magufuli afe sema ndo hivyo kinafki.magufuli kazungukwa na wanafki wengi sana.mama Samia mwenyewe atakuwa anatamani jiwe lianguke
 
watu wa humu ndo hao hao wa uraiani.uraiani huko wanaogopa watakamatwa.wapo mawaziri wengi tu wanaccm wengi tu nao wanatamani magufuli afe sema ndo hivyo kinafki.magufuli kazungukwa na wanafki wengi sana.mama Samia mwenyewe atakuwa anatamani jiwe lianguke
Fanya uchunguzi mkuu.
 
Ukipanda chuki lazima uvune chuki ametesa amepora na kuua watu so itakapotangazwa amefia madarakani kwa nini watu wasifurahi?
Wewe mjinga sana, huna shukran pengine ulitumbuliwa au biashara zako za haramu ziligunduka au pengine wewe ni mpinzani wa pinga kila kitu.
 
Mnamtaftia Nini Mzee jameni si mmeambiwa anaendelea na kazi ofisni?? Mbona mm sijajitokeza hamnitafti??
 
watu wa humu ndo hao hao wa uraiani.uraiani huko wanaogopa watakamatwa.wapo mawaziri wengi tu wanaccm wengi tu nao wanatamani magufuli afe sema ndo hivyo kinafki.magufuli kazungukwa na wanafki wengi sana.mama Samia mwenyewe atakuwa anatamani jiwe lianguke

Hapo kwenye red yanahusika:

IMG_20210316_112000_864.jpg


A total reset ni muhimu.
 
Hizi mada uku zimepoa Ngoja niende japan Na VpN yangu[emoji23]unasoma kitu mpka unatetemeka
Rahaa si mradi kusoma tu pia habari ziwe za ukweli zikiendana na vithibitisho vyake! Si mradi kusoma tu na kujifariji!!
 
"Wenye haki wasitawipo, mji hufurahi; Waovu waangamiapo, watu hupiga kelele". (Mithali 11 :10)
Tafsiri yake Sasa ndiyo kasheshe,hadi uwe na jicho la tatu ndiyo utawajua wenye haki ni akina nani!!
 
Wewe mjinga sana, huna shukran pengine ulitumbuliwa au biashara zako za haramu ziligunduka au pengine wewe ni mpinzani wa pinga kila kitu.
mimi ni mtu ambae sipendi upumbavu
na ushamba wa jiwe kuua,kuteka na kupora watu.jiwe amejenga chuki kubwa miongoni mwa watanzania.BIBLIA inasema mtu anayeonea watu akifa watu hupiga kelele.
 
Mliokaribu na Samia Suluhu Hassan mwambieni asikubali kuzungushwa zungushwa huko na huko... Vinginevyo nae ataanza kukaguliwa na atazimwa kabla ya tarehe 20.03.2021.
Akae kwa kutulia ofisini.
Ajiimarishie ulinzi.
Akumbuke kuwa yeye ni mwanamke, muislamu, mzanzibari, si msukuma...!
Ana maadui wengi sana kwa sasa!
 
Mliokaribu na Samia Suluhu Hassan mwambieni asikubali kuzungushwa zungushwa huko na huko... Vinginevyo nae ataanza kukaguliwa na atazimwa kabla ya tarehe 20.03.2021.
Akae kwa kutulia ofisini.
Ajiimarishie ulinzi.
Akumbuke kuwa yeye ni mwanamke, muislamu, mzanzibari, si msukuma...!
Ana maadui wengi sana kwa sasa!
[emoji106][emoji106]
 
Back
Top Bottom