maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,046
- 4,608
- Thread starter
- #21
kuna mtu kaibiwa mkuu??Nitaua mtu
kuna mtu kaibiwa mkuu??Nitaua mtu
Acha uoga wewe kwa ni uzi kaanzisha nani si wewe maana yake wote tumekuja ktk uzi wako.....ooops wote ni wageni wa Melo....so why the hard feelings.......duuh ngoja niache kujistukia nisije jamba mbele ya wageni
let them talk broh kuna midada huwa inaleta uzawa humu jf nadhani kisa waliwai kujiunga that why inakua hiviAcha uoga wewe kwa ni uzi kaanzisha nani si wewe maana yake wote tumekuja ktk uzi wako.....ooops wote ni wageni wa Melo....so why the hard feelings.......
ahsante do it utakua umeniokoa sana na utakua umenisave mengi pamoja na kuniachia nguvu zangu za kiume maana zingepotea hivi hivi na dhambi zitapungua by the wayDuuh nitabadilisha boss
Babe..this is not right hata kama ndio uchoyo wa kutaka kula peke yako
Hahahaha
Babe..this is not right hata kama ndio uchoyo wa kutaka kula peke yako
@Khantwe ebu ukuje njia hii, kuna mdada anantaka...Hiki kipind sio cha kutongoza mademu mnajua Kutongoza demu kipindi hiki ni sawa na kuhamia Nyumba yenye Deni la luku
Nilipata wivu tu mkuu, maana siunajua...mi nimeomba tu abadilishe avatar mkuu
Wallah mkuu...Hahahaha
Asee,kumbe ndio hivyo?
uko sokoni@Khantwe ebu ukuje njia hii, kuna mdada anantaka...
Mkubalie tu mimi sina choyo...kizuri kula na nduguyo@Khantwe ebu ukuje njia hii, kuna mdada anantaka...
Ngoja kwanza hadi tumalize December na tuingie January mwezi Dume....Mkubalie tu mimi sina choyo...kizuri kula na nduguyo