Kama hana ajiandae kuvumilia "crash" za kassie
Am speech less..................... u r talking of me having a baby........................!!!! Please tell me that is not true looh!!
Thanks in advance for the tour
To be honest hizo za ziada sizifahamu, ni zipi hizo....................... nina hamu ya kuzijua...............
1.MWANAMKE MWENYE MSIMAMO
2.MWANAMKE MUELEWA
3.MWANAMKE MSAFI NA MZURI
4.MWANAMKE MWENYE UPENDO
4.MWANAMKE UPO SMART SANA
Natamani nikuone tutembee pamoja nikufanyie vitu vingi vitavyokupagawisha hadi usahau lini utarudi Mainland.
Ahsante sana
Aaaf weeweeee siku ningi hujakatwa mtama eeehh............... ntamuagiza mtu wa matunda akuletee kifuko cha matunda mchanganyiko kesho, ile ntamtuma yule anayesimama pale mlango wa kuingia kanisani..............
Na uache uchokozi na ukorofi wako
Na ukiendelea ukienda parking ukakuta tairi zako mbili ziko flat ujue ni mie nimezitoa upepo.
Kasie.
Please reserve the rest, you have gone beyond the line
I bet to differ with you in number 3 and 4
Hapo kwenye red (...........................)
Unanifanya niwe curious wakati najizuia.................... pls dont let me .........................
Actually am keen........... very keen .....................
Hahahah....huo mkwara umenifanya nitetemekeeee
Btw miss u buddy...hope its all good with u
Oh, well let me explain this to you. It's really quite simple.
It's going to be so exciting when you come.I would like to arrange many things before ur arrive,i have to ask you wat you like wen you are in Zanzibar.
You know ur ID is private , I would like to tell you something special, so no one is going to read those texts unless you want them to. can you do that for me
Oooohh so u want kuhamia PM sio ........ ujue wananchi wanakukodolea mimacho n hapo lazima wahamie huko
let me see...........
To be honest hizo za ziada sizifahamu, ni zipi hizo....................... nina hamu ya kuzijua...............
Hhahahahaaaa usiniangushe bana afisa usalama huwa hatetemeki kwa mkwara au unaskia baridi? leo uko compyuta room nini? :yo:
Nimekuchokoza tuu kukurudishia uchokozi wako, am good and all is good, Glory to God.
Msalimie yule pacha wako.
Kasie.
Siamini unashiriki 100% kuniuza hivi hivi kwa wapemba looh
Dooh!!! naona wanipa cheo kipya tena...
Hahaa sio kukuuza ni kukubali tu kuwa someone else may be the one
mwache ajaribu bahati yake
You know you are unique...
karibu iddi pili
Those compliments are not hivi hivi tuu I know, Iddi Pili nyagi inaruhusiwa au utaendeleza sita?
Kwanza niambie Iddi itakuwa lini niset mambo nisijedondokea baharini Kasie wa watu mie.
Wewe na pacha wako hivyo ni vyeo vyenu, halafu siku ukiwa yale maeneo yako ya kujidai, ukiona unatupiwa punje za ubuyu ujue ni Kasie, ila ukigeuka hutaniona utashangaa tuu zinakurukia............
Na siku zote huwa nyie ni wachokozi mnanichokozaga sana sasa mie uchokozi wangu nauhamishia live kimwilimwili sio humu tena............
Karibu sana..wewee tu...
iddi pili jumapili 19th
Hahaha...
Kasie ujue wanifanya nicheke kwa kuwa hadi leo bado hujaweza kututofautisha...
Mimi na huyo umwitaye pacha ni watu wawili wenye fani tofauti...
Labda twafanana mwandiko....si eti eenh?