slowpancha
Senior Member
- Jul 27, 2014
- 184
- 102
Haya bwana mkubwa
DSTV,,!? Kabisa,, kifurushi kinakata siku 25 badala ya 30 na kikikata hata TBC huioni,, DSTV hapana aisee
Mkuu natafuta full package ya waris naipatje?Utamiss waaris
Dah! Mkuu hata mie huwa nashangaa yani mtu kifaransa hajui ila anaangalia movie ya watu wanaongea kifaransa yenye subtitles ya kiingereza halafu anajisifu siangaliii movie zilizotafsiriwa.Watz sijui nani aliwaroga. Yani asilimia kubwa ya wanaotumia DSTV hujiona wenye hela na wajanja. Yani huhisi wapo ulaya .
Umenunua DTSV kwa 99,000 na unalipia kifurushi cha 19,000 huzidi hapo ilhali mwingine kanunua Azam 150,000 na analipia Sh. 18,000 unajiona mwenye hela na uliyeendelea.
Huwa nawafananisha na wale wanaosema hawapendi movie zilizotafsiriwa alafu unawakuta wanaangalia movies za Jet Lee wakihisi anaongea kiingereza kumbe zimetafsiriwa pia kutoka kichina kuja kiingereza. Simply unagundua anajikweza tu kuwa anajua kiingereza
mi hawa ZUKU wamenichosha aswaa, kwenye king'amuzi chao hamna ITV, CLOUDS TV, CHANNEL TEN, STAR TV, zaidi ya TBC tu na wasafi sijui, kibaya zaidi kifurushi kikiisha uhoni chchote, nataka ninunue King'amuzi cha azam tu kwakweli
Najutaaa
nunua continental decor uone kazi kuacha kazi.
Teh teh teh....