Mbona kama unawagombeza, ...hamna sheria inayolazimisha kuangalia taarifa ya habari tv fulani.... chagua upendacho ndugu.ITV ni sawa na TBC tu hawana ubunifu wowote!
ITV studio yao toka ilipoanzishwa utadhani Designer wao alikufa baada ya kazi hiyo ! HAWABADILIKI!
...
Halaf itv habari zao ni za kusifia serikali tu azam angalauITV ni sawa na TBC tu hawana ubunifu wowote!
ITV studio yao toka ilipoanzishwa utadhani Designer wao alikufa baada ya kazi hiyo ! HAWABADILIKI!
TV zimechoka na Watangazaji wanaganga njaa tu!
Jamani nendeni hata hapo Kenya tu mkajifunze namna nzuri ya ku- manage TV zenu!
Wabongo wape umbea na habari za urongo urongo tu kama za akina Mwijaku na Baba Levo!
Kwa habari za kijinga jinga, umbea, Uchawa kwao Dunia nzima inasubiri!
MmmhAcheni kufananisha ITV na vitu vya kijinga kwenye habari. Na umri wangu nimeshaona mengi lakini mpaka leo sijawahi kuona watu wakiangalia taarifa ya habari AZAM
Umewahi kuangalia UTV? ITV imeondoka na mwenyewe..Acheni kufananisha ITV na vitu vya kijinga kwenye habari. Na umri wangu nimeshaona mengi lakini mpaka leo sijawahi kuona watu wakiangalia taarifa ya habari AZAM
Wapenzi wa Msimbaza wameanza...Hivi kuna TV inajitahidi kwa taarifa za habari ambazo ni reliable na za kuvutia kama Azam
Angalieni itv, Startv, TBC, channel ten clouds hamna kitu bali Azam kwa habari wapo vizuri
Taarifa yao ya habari inavutia sana sio kama itv