Msije tu mkasema kuwa ni Msukuma. Zitapigwa!
Mi naona ndo anaingia Dar. Na mboga kabisa ya Krismasi tayari tayari!
Tusubiri kuna bingwa wa kudukua ataleta picha na habari kamilihapana atakua anatoka mkoan anakwenda dar, anaonekana ni mtu wa Dodoma
Hii picha ni ya mwaka 2009,na alikuwa anatoka mkoa anaingia jijini.
Pwani Raha: Ubungo Bus Terminal
Dec 1, 2008 - Mmkaazi mmoja wa Dar es salaam akiwa ameshuka katika kituo cha mabaasi ya mikoani cha Ubungo akitokea Mkoani Iringa leo huku akiwa ...
Mwaka ni 2009 ila haijaelezwa anatoka wapi
Kituo ni Ubungo Bus terminal
Mwee mwee mweee wachaga tu niendage na jogoo kwa ku-darisalaama, kaka yenu alishabadika sana anashindia mikate na maji huko.
Nani? ? Yule Yule wa siku zote...?Tusubiri kuna bingwa wa kudukua ataleta picha na habari kamili
Ndio maana nasisitiza kila wakati kuwa wapuuzi hawajibiwi...ukishagundua kuwa huyu ni mpuuzi huna haja tena ya kubishana naye...itakusaidia sanaMshana we ni JEMBE napenda unavotupia picha za kutufanya tufikiri zaidi.. Nashangaa yule bibi foxy Atakuja na kiherehere kutaka kuonyesha wapi Umeitolea picha.. INA maana yeye anadhani watu tulio jf tunaweza ku kuamini wewe ETI Kwa KUWA unatumia picha nyingine kuelezeA tukio lingine. Picha inatupa taswira ya Kile unachozungumzia. Yaani yeye uelewa wake unamtuma kwamba sisi tutatapeliwa Kwa sababu tumejua kuwa zile picha ni za vyanzo vingine. Akili za kipumbavu Sana. Ama kweli Tunazeeka vizuri. Tunachokuwa tunajua ni ku mind picha na typing errors
Unamuanza mwenyewe yule bb, hatukutetei kikilia, tuko na majonzi kwa sasa.Tusubiri kuna bingwa wa kudukua ataleta picha na habari kamili