Kwacha ya Zambia ilikuwa dhaifu dhidi ya shilingi ya Tanzania. Imekuwaje kwa sasa Kwacha ipo juu sana zaidi ya shilingi yetu?

Sasa kwa kutoelewa kwako ndo tatizo lile jina uliloniita mimi. Na pengine haya mambo yako nje ya uwezo wako. Ungekua unaelewa hicho nilichokuwekea kuwa wanapunguza sifuri ila thamani ni ile ile ungeelwwa kuwa hio 170/180 tunayonunulia pale Kazungula ina thamani gani
Kama kumbukumbu yangu iko vizuri miaka ya 2004 shilingi 1 ilikuwa kama kwacha 1,000 hivi. I stand to be corrected.
 
Mkuu miaka ya nyuma shilingi ilikuwa na nguvu kuzidi kwacha lakini kwa sasa imekuwa kinyume. Hiki ndio msingi wa hili bandiko. So unachoongea wewe kipo nje ya bandiko. Au wewe hujui kuwa kwacha ilikuwa dhaifu dhidi ya shilingi lakini sasa kwacha ina nguvu zaidi ya shilingi?

We jamaa nikupe mfano. Nunua hio kwacha 1 kwa sh 170 nenda Zambia kanunue kitu ulichokua unanunua kwa kwacha mojauone kama watapokea.

Hakuna nguvu hapo kama nchi ikitangaza kufanya Redenomination mbona inaeleweka mkuu. Nje ya mada kivipi au wewe ndo huelewi.

Hio nguvu ya kwacha umeipimaje??? Kama nakwambia wamepunguza sifuri tatu manaake hio 170 ni sawa na umenunua kwacha 0.001 halisi(kabla ya redomination) au nikwambie kwamba ukitaka kupata kwacha halisi thamani yake utainunua kwa Tsh 170,000 umeelewa?
 
Kama kumbukumbu yangu iko vizuri miaka ya 2004 shilingi 1 ilikuwa kama kwacha 1,000 hivi. I stand to be corrected.

Ndio. Zambia walipata shida kubwa kwenye exports zao haswa Copper wanayotegemea hivyo hela yao ilizif kushuka thamani hivyo kusababisha wawe na denominations kubwa zaidi. Kupambana na hilo ndo njia moja wapo ya muda mfupi ni hiyo
 
Mtu anakujibu vizuri unamtolea kashfa ilihali umekuja jukwaani kuomba ufafanuzi. Hii sio sawa. Nikirudi kwenye swali lako ufafanuzi ni kwamba sio kweli kwamba pesa ya Zambia ina thamani kuliko Shilingi yetu.

Kama ambavyo wengi wamekujibu ni kwamba pesa ya Zambia imefanyiwa mabadiliko hasa katika uandishi wa tarakimu.

Walichokifanya wameondoa wingi wa sifuri ili kujaribu angalau kuifanya irudi kwenye thamani. Ukitaka uelewe ninachokimaanisha, nenda na pesa za thamani sawa sokoni, kisha fanya manunuzi ya aina moja kwa pesa zote mbili.

Mfano, chukua elfu 10 ya Tanzania, kanunue mbolea, kisha chukua Kwacha yenye thamani hiyo hiyo nunua mbolea. Ukikabidhiwa mzigo wako, utapata jibu kwamba purchasing power ya Shilingi ya Tanzania ni kubwa kuliko Kwacha ya Zambia..na hivyo ndivyo thamani ya pesa hupimwa.

Ukweli ni kwamba, Ile noti ya Kwacha 1000 ya sasa ina thamani ya Kwacha 100,000. Kilichobadilika ni kuondolewa kwa 000 za mwisho. Tunaokwenda huko kwao kununua bidhaa jamaa wakikuona una Shilingi ya Tanzania wanataka ununue bidhaa zao kwa hiyo pesa. Wao wenyewe hawaithamini kabisa pesa yao.

Duh! Kweli mkuu wewe kiazi. Samahani lakini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa nikupe mfano. Nunua hio kwacha 1 kwa sh 170 nenda Zambia kanunue kitu ulichokua unanunua kwa kwacha mojauone kama watapokea.

Hakuna nguvu hapo kama nchi ikitangaza kufanya Redenomination mbona inaeleweka mkuu. Nje ya mada kivipi au wewe ndo huelewi.

Hio nguvu ya kwacha umeipimaje??? Kama nakwambia wamepunguza sifuri tatu manaake hio 170 ni sawa na umenunua kwacha 0.001 halisi(kabla ya redomination) au nikwambie kwamba ukitaka kupata kwacha halisi thamani yake utainunua kwa Tsh 170,000 umeelewa?
Mkuu umenishinda tabia. Naona ni lugha gongana. Acha wengine wanisaidie.
 
Shilingi haijawahi kuwa juu ya Kwacha ya Zambia. Angalia hizo exchange rate vizur dhidi ya dola. Kwacha imekuwa ikibadilishwa kwa makumi dhidi ya dola sisi shilingi yetu imekuwa ikibadilishwa kwa maelfu dhidi ya dola, hapo tofauti unaiona

kwacha.JPG
kwacha.JPG
 
Mtu anakujibu vizuri unamtolea kashfa ilihali umekuja jukwaani kuomba ufafanuzi. Hii sio sawa. Nikirudi kwenye swali lako ufafanuzi ni kwamba sio kweli kwamba pesa ya Zambia ina thamani kuliko Shilingi yetu. Kama ambavyo wengi wamekujibu ni kwamba pesa ya Zambia imefanyiwa mabadiliko hasa katika uandishi wa tarakimu. Walichokifanya wameondoa wingi wa sifuri ili kujaribu angalau kuifanya irudi kwenye thamani. Ukitaka uelewe ninachokimaanisha, nenda na pesa za thamani sawa sokoni, kisha fanya manunuzi ya aina moja kwa pesa zote mbili.
Mfano, chukua elfu 10 ya Tanzania, kanunue mbolea, kisha chukua Kwacha yenye thamani hiyo hiyo nunua mbolea. Ukikabidhiwa mzigo wako, utapata jibu kwamba purchasing power ya Shilingi ya Tanzania ni kubwa kuliko Kwacha ya Zambia..na hivyo ndivyo thamani ya pesa hupimwa.
Ukweli ni kwamba, Ile noti ya Kwacha 1000 ya sasa ina thamani ya Kwacha 100,000. Kilichobadilika ni kuondolewa kwa 000 za mwisho. Tunaokwenda huko kwao kununua bidhaa jamaa wakikuona una Shilingi ya Tanzania wanataka ununue bidhaa zao kwa hiyo pesa. Wao wenyewe hawaithamini kabisa pesa yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unalijua somo linaitwa "business and corporate finance. Kuna topic inaitwa international finance"? Sasa haya makitu mimi nayajua in out. Nimeyasoma chuo pia nimeyasoma kwenye syllabus za NBAA yaani kwenye mitihani ya CPA. So, unachokiongea na huyu jamaa unayemuona ameongea point ni irrrevant. Kiufupi hamjui mnachokiongea kuhusu hii mada.
 
Ukitazama hivyo utapotezwa zaidi.. Binafsi nilikuwa natumia hii exchange rates kupata thamani lkn kuna ukweli ambao haueleweki vizuri hapo. Hebu chukua Kwacha elfu 10 kisha omba dollars za Kimarekani uone utapewa nini.. Halafu fanya hivyo kwa Shilingi elfu 10 halafu uje hapa jukwaani ulete matokeo.
Pesa ya Kwacha milioni moja ni kama Shilingi laki moja tu ya Tanzania.. huo ndio ukweli. Yaani walichokifanya Wazambia ni sawa na MTU ujifiche kwenye shamba la karanga...
Shilingi haijawahi kuwa juu ya Kwacha ya Zambia. Angalia hizo exchange rate vizur dhidi ya dola. Kwacha imekuwa ikibadilishwa kwa makumi dhidi ya dola sisi shilingi yetu imekuwa ikibadilishwa kwa maelfu dhidi ya dola, hapo tofauti unaiona

View attachment 1299247View attachment 1299247

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unalijua somo linaitwa "business and corporate finance. Kuna topic inaitwa international finance"? Sasa haya makitu mimi nayajua in out. Nimeyasoma chuo pia nimeyasoma kwenye syllabus za NBAA yaani kwenye mitihani ya CPA. So, unachokiongea na huyu jamaa unayemuona ameongea point ni irrrevant. Kiufupi hamjui mnachokiongea kuhusu hii mada.
Ndo sababu nikasema zipime hizo pesa kwenye Purchasing power.. Binafsi maelezo yangu yanakomea hapo. Hata kesho nenda bureau yoyote kafanye uhakiki halafu linganisha na hiyo shule unayosema umebobea..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sijakuelewa. Hebu nenda bank ukanunue kwacha uone utainunua kwacha 1 kwa shilingi ngapi?
Hi ni biashara kama ingekuwa katika mabank ipo chini watu wangenunua huko bank na kuenda kuuza katika hayo maduka na kutengeneza faida

Mara nyingi rate huwa zinafanana kuanzia katika mabank hadi katika maduka

Ila kama shillingi ndio imefika huko kwa kweli inahuzunisha sana



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! Kweli mkuu wewe kiazi. Samahani lakini.
Wewe ndio kiazi kweli kweli, alichosema ndio ukweli wenyewe. Thamani iko pale pale walichofanya ni kupunguza mzigo wa zero.

Yaani walifanya hivi kwacha 50,000 ikawa 500, kwacha 5000 ikawa 50 nk. Kitu kilichouzwa 25,000 sasa kinauzwa 250 nk. Kwa hiyo purchsiing power iko palepale

Wakati hili zoezi lao hao jamaa linafanyika mimi nilikuwa huko Lusaka kwa hiyo ninachokwambia nilishuhudia
 
Ukitazama hivyo utapotezwa zaidi.. Binafsi nilikuwa natumia hii exchange rates kupata thamani lkn kuna ukweli ambao haueleweki vizuri hapo. Hebu chukua Kwacha elfu 10 kisha omba dollars za Kimarekani uone utapewa nini.. Halafu fanya hivyo kwa Shilingi elfu 10 halafu uje hapa jukwaani ulete matokeo.
Pesa ya Kwacha milioni moja ni kama Shilingi laki moja tu ya Tanzania.. huo ndio ukweli. Yaani walichokifanya Wazambia ni sawa na MTU ujifiche kwenye shamba la karanga...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mhh embu rudia tena mahesabu hayo.. yaani utoe kwacha milioni moja upewe laki moja ya kitanzania? Noo hamna kitu kama hicho. Thamani ya kwacha ni kubwa mno. Embu rudia utafiti wako
 
Ukitazama hivyo utapotezwa zaidi.. Binafsi nilikuwa natumia hii exchange rates kupata thamani lkn kuna ukweli ambao haueleweki vizuri hapo. Hebu chukua Kwacha elfu 10 kisha omba dollars za Kimarekani uone utapewa nini.. Halafu fanya hivyo kwa Shilingi elfu 10 halafu uje hapa jukwaani ulete matokeo.
Pesa ya Kwacha milioni moja ni kama Shilingi laki moja tu ya Tanzania.. huo ndio ukweli. Yaani walichokifanya Wazambia ni sawa na MTU ujifiche kwenye shamba la karanga...

Sent using Jamii Forums mobile app

Embu nisaidie mkuu kuelewesha umati na ndugu Msukuma......

Wengine vipaji vya ualimu vilitupita kushoto
 
Miaka ya 2004 hadi 2006 nilikuwa nikipita mara kwa mara Zambia kuelekea South Africa. Nilikuwa nikibadilisha shilingi yetu kwa kwacha ya Zambia napata hela nyingi sana za Kizambia.

Infact enzi hizo ukiwa na TZS unakuwa don kwa maisha ya Zambia. Nimeshangaa leo hapa mitaa ya Posta nakuta exchange rate ya Kwacha ni TZS100 - TZS170.

Yaani Kwacha 1 inanunuliwa kwa TZS100 na kuuzwa kwa TZS 170. Nimebaki kujiuliza sana imekuwaje Kwacha ilikuwa weak hivyo lakini imeipita TZS zaidi ya asilimia 1000?

Tanzania tunakwama wapi jamani? Dar es salaam huwezi hata kuilinganisha na Lusaka. Jiji la Dar lipo juu sana ukililinganisha na Lusaka.

Miji Kama Mwanza, Arusha iko juu sana ukilinganisha na miji ya Zambia. How come currency ya Zambia ipo juu kuizidi TZS?

Wachumi naomba mtufafanulie.

By the way mimi pia ni mchumi japo sio certified hivyo basic principles za economics nazijua, ila kwa hili nimeshindwa kulielewa.

Karibu tujadili.
Sarafu ya Zambia iko chini sana dhidi ya Tanzania, walichofanya Zambia ni kupunguza sifuri tatu .

Maana walikuwa na noti ya 100,000 50,000 20,000 10,000 na 1000 walikuwa wanaeleke kutoa noti ya laki tano.

Walichofanya ni kupunguza sifuri tatu kwa kila noti hivyo kwa sasa noti kubwa 100,

Kwa hiyo noti ya Zambia 100k ambayo kiuhalisia ni sawa 100,000k ni sawa na Shilingi 16,000 kwa mkato wa leo.

Wakati wa kubadilisha hizo noti benki ilikuwa mtu anaenda na noti za laki moja moja unarudi na noti za miamia kwa thamani ileile.

Wazambia wakati wanakuja kufanya manunuzi Tunduma walikuwa wanakuja na noti zote mbili ya 100,000 na 100 lakini kwa thamani ileile hadi noti ya 100,000k ikapotea kwenye mzunguko.

Tena hizo noti zimekaa kwenye mzunguko zote mbili zaidi ya miaka miwili na zote zilikuwa na thamani ileile.

Kwa hiyo hakuna mapinduzi yoyote ya kiuchumi zaidi ya kutoa sifuri tu kwenye noti.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom