Shilingi ya Tanzania yaimarika kwa 3% dhidi ya dola ya Marekani

Dec 13, 2018
30
140
SHILINGI YA TANZANIA YAIMARIKA KWA 3% DHIDI YA DOLA YA MAREKANI.

Leo 13:15pm,10/03/2019.

Baada ya mwezi February shilingi kuporomoka dhidi ya dola kwa 2.15%,Sasa shilingi imeanza kuimarika kwa 3% katika wiki ya kwanza ya mwezi Machi, ukuaji wa kiuchumi ambao umeongozwa na Watalii na Wafanyabiashara toka Zambia, Malawi, Congo, Comoro,Rwanda na Burundi kuja kununua bidhaa katika Soko la Kariakoo kuingiza dola nyingi katika Serikali na utafiti umebaini kwamba mambo yamebadilika na sasa Taifa linategemea sekta mbalimbali kama Utalii, Biashara, Kilimo na Viwanda na kutoa nafasi nzuri ya upatikanaji kwa wingi wa fedha za kigeni.

Vifuatavyo ni viwango vya kubadilisha fedha za kigeni vinavyotumika tarehe 08 Machi, 2019. Tafadhali zingatia kuwa Viwango vya kuuza ni kwa ajili ya Maduhuli wakati Viwango vya Kununua ni kwa ajili ya Mahuruji.

Dolar ya Marekani inanunuliwa kwa Shilingi 2,277.495 kuuzwa kwa Shilingi 2,300.27
Pound ya Uingereza kununuliwa kwa Shilingi 2,992.4007 na kuuzwa kwa 3,022.5548

Euro ya Ulaya kununuliwa kwa 2,573.7972 na kuuzwa kwa 2,600.6853
Rupia ya India kununuliwa kwa 32.4259 na kuuzwa kwa 32.7347

Kwacha ya Zambia kununuliwa kwa 187.8933 na kuuzwa kwa 190.8938
Kwacha ya Malawi kununuliwa kwa 2.9106 na kuuzwa kwa 3.1089

Shilingi ya Kenya kununuliwa kwa 22.7977 na kuuzwa kwa 22.9797
Shilingi ya Uganda kununuliwa kwa 0.5763 kuuzwa kwa 0.6175

Faranga ya Rwanda kununuliwa kwa 2.5268 na kuuzwa kwa 2.5577
Faranga ya Burundi kununuliwa kwa 2.1806 na kuuzwa kwa 2.197

Dola ya Zimbabwe kununuliwa kwa 0.4262 na kuuzwa 0.4348
Randi ya Afrika kusini 161.

Utafiti pia unaonyesha Mataifa ya kusini mwa Jangwa la Sahara ambayo ukuaji wao wa kiuchumi ulikuwa umeegemea Mataifa ya Magharibi mwa Afrika yaliyokuwa na Mafuta pamoja na bidhaa sasa ukuaji wa kiuchumi wa Mataifa ya kusini mwa Jangwa la Sahara unaanza kuegemea zaidi Afrika Mashariki na hasa Tanzania kwa kuwa bidhaa na mafuta yaliyokuwa yanapatikana katika Mataifa ya Magharibi mwa Afrika sasa bidhaa, na Mafuta vinapatikana Tanzania.

Taifa letu linakwenda vizuri, uchumi wetu unakua vizuri, mwaka jana umekuwa kwa wastani wa asilimia 7 na mwaka huu tunatarajia utakua kwa wastani wa asilimia 7.1, mfumuko wa bei umeendelea kuwa chini kwa wastani wa asilimia 4.

Baada ya Bureau za Kariakoo kufungwa utashuhudia mamia ya Wageni toka Congo, Zambia, Malawi, Msumbiji,Comoro,Rwanda na Burundi wakiingia katika benki mbalimbali pale Kariakoo kubadili dola nyingi kupata shilingi za Kitanzania kwa ajili ya kununua mizigo katika Soko la Kariakoo na kuipeleka katika nchi wanazotoka.

Bidhaa zinazouzwa nje unaweza kuzipima kutoka katika soko la Kariakoo na utagundua kuwa zimeongezeka.

Na dalili zote zinaonyesha mabadiliko ya kuingia kwenye viwanda kuwa makubwa licha ya kufanyika polepole.

Sehemu ya ukuaji na kuimarika kwa shillingi ya Tanzania inatarajiwa pia kuchangiwa na ongezeko la idadi ya wafanyabiashara wa kigeni watakaokuja kununua bidhaa mwezi huu Machi na April kwa ajili ya Sikukuu ya Pasaka na hapo baadae Sikukuu ya Idd.

Kwa Afrika Mashariki baada ya Uganda na Tanzania, Kenya ni ya kumi katika orodha ya mataifa yanayotarajiwa kukua kwa kasi zaidi mwaka 2026 ambapo ukuaji wake utakuwa asilimia kubwa zaidi.

Mataifa 15 ambayo yanayokadiriwa kuongoza kwa kasi ya ukuaji wa uchumi kufikia 2026

Nambari Taifa Ukuaji wa Uchumi kwa %
1 India 7.89
2 Uganda 7.46
3 Egypt 6.63
4 Tanzania 6.15
5 Indonesia 6.13
6 Kyrgyzstan 6.04
7 Pakistan 5.99
8 Vietnam 5.89
9 Mali 5.89
10 Kenya 5.87
11 Philippines 5.75
12 Madagascar 5.73
13 Senegal 5.7
14 Liberia 5.7
15 Turkey 5.57

Nimalizie kwa kusema ukuaji wa uchumi wa Tanzania ni mzuri ukilinganisha na nchi nyingine zilizopo Afrika Mashariki, huku Tanzania ikiwa miongoni mwa nchi za bara la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara ambazo uchumi wake unakua kwa kasi kubwa.

Ukiachilia mbali sekta ya biashara na Utalii, bado kuna sekta zenye viwango vikubwa vya ukuaji katika kipindi cha sasa na kijacho zikiwemo shughuli za uchimbaji madini ambazo sheria zake zimerekebishwa na kuwekwa kwa maslahi Mapana ya Taifa,pia kuna shughuli za Usafirishaji na uhifadhi wa mizigo,Mawasiliano na Huduma za kifedha ambazo sasa zitaleta tija kwa Taifa kupitia mabenki mbalimbali yatakayokuwa yanabadili fedha hizo za kigeni.

Mfumuko wa bei umepungua kwa kiasi kikubwa na unatarajiwa kuendelea kubakia katika kiwango cha tarakimu moja katika siku zijazo na kubakia ndani ya lengo la muda wa kati la asilimia 5.0.

Matarajio hayo yatategemea kuendelea kutulia kwa bei ya nishati nchini kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya gesi asilia katika uzalishaji wa umeme,na ujenzi wa vyanzo vingine vya Umeme kama Kinyerezi na pia Ujenzi wa Bwawa kubwa la Rufiji (Stigglers Gorge) na mwendelezo wa Sera thabiti ya fedha na kibajeti, kutobadilika sana kwa bei za mafuta katika soko la dunia pamoja na kuendelea kuwepo kwa utulivu wa thamani ya Shilingi.

Shukrani za dhati kwa Serikali kwa kuimarika huku kwa thamani ya Shilingi kulikotokana na hatua mbalimbali za sera ya fedha zilizochukuliwa na Benki Kuu katika kusimamia hali ya ukwasi kwenye uchumi pamoja na kuimarika kwa urari wa bidhaa na huduma katika Sekta ya nje.Mungu ibariki Tanzania, Mungu Mbariki Rais wetu, John Magufuli.

Nikiishia hapa, Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga.
Dar es Salaam.
0755078854.
 
Mwalimu afundisha madarasa sita peke yake

SUNDAY MARCH 10 2019


pic+madarasa.jpg

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Chikotwa iliyopo wilayani Nanyumbu, Mtwara wakiwa katika darasa pekee lililopo kwenye shule hiyo. Darasa hilo linatumiwa na wanafunzi wa darasa la awali hadi la tano. Picha na Haika KimaroMIKAKATI
Kwa ufupi
Idadi ya wanafunzi waliopo shuleni hapo ni 99 ambapo wasichana ni 44, wavulana 55. Darasa la awali 14, la kwanza 12, la pili 8, la tatu 24, la nne 30 na la tano wako 11


ADVERTISEMENT

By Haika Kimaro, Mwananchi hkiamro@mwananchi.co.tz
Nanyumbu. Fikiria shule nzima ina mwalimu mmoja anayefundisha madarasa sita. Ndiye mwalimu wa wanafunzi wote 99. Ndiye mwalimu wa darasa la awali (chechekea). Anapanga vipindi na kusimamia taaluma na nidhamu.
Si hivyo tu, lakini mwalimu huyu na wanafunzi wake wanatumia chumba kimoja cha darasa.
Penye nia hapakosi njia, Bosco Chilumba ameamua kufanya peke yake kazi zinazopaswa kufanywa na walimu wengi katika shule hiyo ya msingi Chikotwa iliyopo wilayani Nanyumbu yenye darasa la awali hadi la tano.
Licha ya changamoto hizo, mwalimu huyo amefanikiwa kuwa na rekodi nzuri ya ufundishaji kwani wanafunzi wake kuanzia darasa la pili hadi la tano wanajua kusoma kasoro wawili wa darasa la pili na mmoja wa darasa la tatu ambao wanasoma kwa ‘kuungaunga’ maneno.
Si hivyo tu hata kwa matokeo ya mtihani wa darasa la nne mwaka huu wanafunzi wote wa shule hiyo wamefaulu na kuingia darasa la tano.
Chilumba (33) aliyehamia katika shule hiyo tangu mwaka 2015, aliikuta ikiwa na wanafunzi wa darasa la kwanza na la pili, na mengine yote ameanza nayo mwenyewe.
“Mwanzo nilikuwa nawaweka wanafunzi wote darasani (wa awali hadi darasa la tano), baadaye nikaona inakuwa usumbufu kwa sababu ukifundisha darasa hili wengine wanapiga kelele inakuwa ni bughudha, lakini mfumo wa sasa wanaingia darasa mojamoja,” anasema Chilumba akimaanisha kwamba wanabadilishana kwa zamu.
“Katika ufanyaji kazi wangu madarasa ambayo nayapa kipaumbele zaidi ni la kwanza na pili ili wajue kusoma na darasa la nne nawapa kipaumbele kwa sababu wanakuwa na mtihani wa kitaifa.”
Anasema kutokana na kuwa peke yake na wingi wa majukumu hawezi kufuatilia ratiba ya masomo vizuri na kuitekeleza kama inavyotakiwa kutokana na kufundisha wanafunzi wote.
“Namna ya kuwafikia vizuri ni ngumu kwani niko peke yangu, kama mwalimu mkuu wakati mwingine kuna taarifa mbalimbali natakiwa kupeleka ofisini halmashauri (ya wilaya),” anasema. Mwalimu huyo anasema kuna wakati wanafunzi wake humaliza wiki bila kumuona shuleni na hivyo kwa kipindi chote kutofundishwa chochote.
“(Lakini) wakati mwingine ninapotoka wakiwa shuleni namuomba mwenyekiti wa kamati ya wazazi awaangalie kwa sababu za kiusalama,” anasema.
“Lakini naendelea kufanya kazi kwa sababu ni ajira yangu na ninaipenda, kwa hiyo sikuona shaka kuendelea kuishi katika mazingira haya na nashukuru Mungu anasaidia watoto wanajua kusoma vizuri licha ya kuwa niko peke yangu.”
Licha ya kutokuwapo kwa vyumba vingi vya madarasa, mwalimu huyo pia hana nyumba ya kuishi shuleni, akiwa anaishi katika nyumba ya kupanga.
“Katika nyumba ambayo naishi tayari nimepewa notisi natakiwa kuikabidhi ifikapo mwezi wa tano, hili kidogo linanipa wakati mgumu kutokana na mazingira ya hapa kama unavyoona,”anasema mwalimu Chilumba ambaye katika taaluma ya ualimu alisomea masomo ya sayansi.
Anasema kutokana na kukosekana nyumba anadhani ndio sababu ya Serikali kushindwa kupeleka walimu wengine katika shule hiyo.

Wasifu
Mwalimu Chilumba ni mwenyeji wa Masasi mkoani hapa aliyepata elimu yake ya msingi katika Shule ya Chiwale na Sekondari ya Lukuledi wilayani humo, kisha alijiunga na Chuo cha Ualimu Nachingwea mkoani Lindi na kuajiriwa mwaka 2009. Chilumba ana mke na watoto watatu, wawili ni pacha wanaosoma darasa la kwanza wilayani Masasi na mwingine darasa la awali katika Shule ya Chikotwa anakofundishwa na baba yake.
“Kwa hapa kijijini niko na mke wangu na mtoto wangu mdogo ambaye ni mmoja wa wanafunzi wangu wa darasa la awali na wengine (pacha) wako kwa bibi yao Masasi wanasoma darasa la kwanza ,”anasema Chilumba.
Anasema wakati anakwenda kuripoti shuleni hapo, alilazimika kutumia usafiri wa trekta kumfikisha katika kitongoji hicho pamoja na mizigo yake, kutokana na hali ya miundombinu ambayo ilikuwa vigumu kwa magari mengine kuweza kufika eneo hilo.
“Ikalazimika itumike trekta (kunileta), lakini nayo ilikwama ikalazimika kushusha vyombo na wananchi kuvibeba kichwani hadi nyumbani.”

Uongozi unasemaje?
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Nanyumbu, Hamis Dammbaya anasema walikuwa na mpango wa kuongeza walimu watatu katika shule hiyo Januari, lakini mazingira hayaruhusu hadi watakapokamilisha ujenzi wa nyumba za walimu.
“Lazima kwanza tuhakikishe tunakuwa na nyumba za walimu kisha tunapeleka walimu wakati tunaendelea na utaratibu wa madarasa,” alisema Dammbaya.
“Huwezi ukapeleka mwalimu Chikotwa kitongoji ambacho kwanza kina watu wachache, lakini pili hawana miundombinu ambayo unaiona unaweza kupeleka walimu wakaishi.”
Kuhusu suala la makazi endapo wataongezewa walimu, mwenyekiti wa kamati ya shule hiyo, Hamis Burian anasema, “ofisi ya chama (CCM) hiyo hapo, walishatoa hilo jengo ili mwalimu mwingine aongezeke.”
Akizungumzia ujenzi wa madarasa, mwenyekiti wa kitongoji cha Chikotwa, Kassim Mohamed anasema tangu 2017 wanaendelea kuchangishana kila kaya Sh10,000 kwa ajili ya kununua saruji na tayari wamefyatua sehemu ya matofali yanayotakiwa.
Mkazi wa kitongoji hicho, Rashid Hassan anasema hawapendezwi na mazingira ya shule hiyo, lakini wamekwama kiuchumi kutokana na mazao mchanganyiko wanayotegemea kukosa soko la uhakika, huku akiwaomba wasamaria wema kuwasaidia.

MIKAKATI YA SERIKALI
Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu, Moses Machali anasema: “Tunapojen-ga kwa maana ya Serikali na wanan-chi tunapaswa kushirikiana.”Anasema Shule ya Chikotwa ime-kuwa iko hivyo kutokana na mwamko mdogo wa wananchi, lakini ipo mipango ya kutaka kujenga madarasa na nyumba za walimu.
Kuhusu mwalimu mmoja kufundi-sha peke yake shuleni hapo, anasema Idara ya Elimu imekuwa ikipanga walimu kutegemeana na mahitaji ya shule au kijiji husika.Anasema inawezekana halmashauri imeona kulingana na idadi ya wana-funzi katika shule hiyo pengine mwalimu mmoja anakidhi kuwahudu-mia wanafunzi.Hata hivyo, anasema ipo haja ya kupeleka mwalimu mwingine ili inapo-tokea dharura kwa aliyepo wanafunzi wasome.
“Natoa wito kwa mkurugenzi mtendaji kupitia Idara ya Elimu Msingi kuhakikisha wanapeleka mwalimu mwingine na tumeshazungumza, na nasisitiza hili kama bado kwa sababu nilishawapa maelekezo,” anasema Machali.Akizungumzia shule hiyo ilivyoanza, mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo, Hamis Dammbaya anasema wazazi wengi wana utaratibu wa kuhama kutoka kijiji kimoja kwenda kingine kwa ajili ya kutafuta masham-ba.
“Shule ya Chikotwa asili yake ni moja ya kata ya Nanyumbu sasa wazazi wakahama kutoka kitongoji cha Nanyumbu na Chungu zilipo shule ambazo Serikali ilizijenga na kuweka miundombinu yote, wakaenda Chikot-wa kwa ajili ya kutafuta maeneo ya kulima,” anasema Dammbaya.“Walipofika pale walijenga darasa lao moja wakasema ni maalumu kwa ajili ya watoto ambao umri wao ni mdogo, ili wakishakua wahamie katika shule mama.”Anasema,
“Kwa hiyo baada ya kui-fungua kama shule shikizi wakaomba usajili na miaka ya nyuma hakukuwa na utamaduni wa kukagua shule kabla ya kuona kama inajitosheleza na hivyo kusababisha isajiliwe bila utaratibu kufuatwa.”“Baada ya kuifungua ikaanza darasa la kwanza, la pili, kwa hiyo wataalamu wanakuja kushtuka shule kumbe ina darasa moja kwa madarasa mengine hakuna, na tulikutana na shule nyingi za aina hiyo.”
“Sasa tumeweza kurekebisha zaidi ya shule 53, lakini zaidi ya shule 43 tulizikuta watoto wanasoma chini ya mikorosho na hatujamaliza ikiwemo Chikotwa kwa sababu si kazi rahisi.” anasema mkurugenzi huyo.Dammbaya anasema halmashauri hiyo imetenga zaidi ya 125 milioni kwa ajili ya kufanya maboresho katika shule za msingi.

Je shilingi imeimalikaje hapo wakati mwalimu anafundisha madarasa sita mwenyewe???
 
Mwatudanganya jamani daah
SHILINGI YA TANZANIA YAIMARIKA KWA 3% DHIDI YA DOLA YA MAREKANI.

Leo 13:15pm,10/03/2019.

Baada ya mwezi February shilingi kuporomoka dhidi ya dola kwa 2.15%,Sasa shilingi imeanza kuimarika kwa 3% katika wiki ya kwanza ya mwezi Machi, ukuaji wa kiuchumi ambao umeongozwa na Watalii na Wafanyabiashara toka Zambia, Malawi, Congo, Comoro,Rwanda na Burundi kuja kununua bidhaa katika Soko la Kariakoo kuingiza dola nyingi katika Serikali na utafiti umebaini kwamba mambo yamebadilika na sasa Taifa linategemea sekta mbalimbali kama Utalii, Biashara, Kilimo na Viwanda na kutoa nafasi nzuri ya upatikanaji kwa wingi wa fedha za kigeni.

Vifuatavyo ni viwango vya kubadilisha fedha za kigeni vinavyotumika tarehe 08 Machi, 2019. Tafadhali zingatia kuwa Viwango vya kuuza ni kwa ajili ya Maduhuli wakati Viwango vya Kununua ni kwa ajili ya Mahuruji.

Dolar ya Marekani inanunuliwa kwa Shilingi 2,277.495 kuuzwa kwa Shilingi 2,300.27
Pound ya Uingereza kununuliwa kwa Shilingi 2,992.4007 na kuuzwa kwa 3,022.5548

Euro ya Ulaya kununuliwa kwa 2,573.7972 na kuuzwa kwa 2,600.6853
Rupia ya India kununuliwa kwa 32.4259 na kuuzwa kwa 32.7347

Kwacha ya Zambia kununuliwa kwa 187.8933 na kuuzwa kwa 190.8938
Kwacha ya Malawi kununuliwa kwa 2.9106 na kuuzwa kwa 3.1089

Shilingi ya Kenya kununuliwa kwa 22.7977 na kuuzwa kwa 22.9797
Shilingi ya Uganda kununuliwa kwa 0.5763 kuuzwa kwa 0.6175

Faranga ya Rwanda kununuliwa kwa 2.5268 na kuuzwa kwa 2.5577
Faranga ya Burundi kununuliwa kwa 2.1806 na kuuzwa kwa 2.197

Dola ya Zimbabwe kununuliwa kwa 0.4262 na kuuzwa 0.4348
Randi ya Afrika kusini 161.

Utafiti pia unaonyesha Mataifa ya kusini mwa Jangwa la Sahara ambayo ukuaji wao wa kiuchumi ulikuwa umeegemea Mataifa ya Magharibi mwa Afrika yaliyokuwa na Mafuta pamoja na bidhaa sasa ukuaji wa kiuchumi wa Mataifa ya kusini mwa Jangwa la Sahara unaanza kuegemea zaidi Afrika Mashariki na hasa Tanzania kwa kuwa bidhaa na mafuta yaliyokuwa yanapatikana katika Mataifa ya Magharibi mwa Afrika sasa bidhaa, na Mafuta vinapatikana Tanzania.

Taifa letu linakwenda vizuri, uchumi wetu unakua vizuri, mwaka jana umekuwa kwa wastani wa asilimia 7 na mwaka huu tunatarajia utakua kwa wastani wa asilimia 7.1, mfumuko wa bei umeendelea kuwa chini kwa wastani wa asilimia 4.

Baada ya Bureau za Kariakoo kufungwa utashuhudia mamia ya Wageni toka Congo, Zambia, Malawi, Msumbiji,Comoro,Rwanda na Burundi wakiingia katika benki mbalimbali pale Kariakoo kubadili dola nyingi kupata shilingi za Kitanzania kwa ajili ya kununua mizigo katika Soko la Kariakoo na kuipeleka katika nchi wanazotoka.

Bidhaa zinazouzwa nje unaweza kuzipima kutoka katika soko la Kariakoo na utagundua kuwa zimeongezeka.

Na dalili zote zinaonyesha mabadiliko ya kuingia kwenye viwanda kuwa makubwa licha ya kufanyika polepole.

Sehemu ya ukuaji na kuimarika kwa shillingi ya Tanzania inatarajiwa pia kuchangiwa na ongezeko la idadi ya wafanyabiashara wa kigeni watakaokuja kununua bidhaa mwezi huu Machi na April kwa ajili ya Sikukuu ya Pasaka na hapo baadae Sikukuu ya Idd.

Kwa Afrika Mashariki baada ya Uganda na Tanzania, Kenya ni ya kumi katika orodha ya mataifa yanayotarajiwa kukua kwa kasi zaidi mwaka 2026 ambapo ukuaji wake utakuwa asilimia kubwa zaidi.

Mataifa 15 ambayo yanayokadiriwa kuongoza kwa kasi ya ukuaji wa uchumi kufikia 2026

Nambari Taifa Ukuaji wa Uchumi kwa %
1 India 7.89
2 Uganda 7.46
3 Egypt 6.63
4 Tanzania 6.15
5 Indonesia 6.13
6 Kyrgyzstan 6.04
7 Pakistan 5.99
8 Vietnam 5.89
9 Mali 5.89
10 Kenya 5.87
11 Philippines 5.75
12 Madagascar 5.73
13 Senegal 5.7
14 Liberia 5.7
15 Turkey 5.57

Nimalizie kwa kusema ukuaji wa uchumi wa Tanzania ni mzuri ukilinganisha na nchi nyingine zilizopo Afrika Mashariki, huku Tanzania ikiwa miongoni mwa nchi za bara la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara ambazo uchumi wake unakua kwa kasi kubwa.

Ukiachilia mbali sekta ya biashara na Utalii, bado kuna sekta zenye viwango vikubwa vya ukuaji katika kipindi cha sasa na kijacho zikiwemo shughuli za uchimbaji madini ambazo sheria zake zimerekebishwa na kuwekwa kwa maslahi Mapana ya Taifa,pia kuna shughuli za Usafirishaji na uhifadhi wa mizigo,Mawasiliano na Huduma za kifedha ambazo sasa zitaleta tija kwa Taifa kupitia mabenki mbalimbali yatakayokuwa yanabadili fedha hizo za kigeni.

Mfumuko wa bei umepungua kwa kiasi kikubwa na unatarajiwa kuendelea kubakia katika kiwango cha tarakimu moja katika siku zijazo na kubakia ndani ya lengo la muda wa kati la asilimia 5.0.

Matarajio hayo yatategemea kuendelea kutulia kwa bei ya nishati nchini kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya gesi asilia katika uzalishaji wa umeme,na ujenzi wa vyanzo vingine vya Umeme kama Kinyerezi na pia Ujenzi wa Bwawa kubwa la Rufiji (Stigglers Gorge) na mwendelezo wa Sera thabiti ya fedha na kibajeti, kutobadilika sana kwa bei za mafuta katika soko la dunia pamoja na kuendelea kuwepo kwa utulivu wa thamani ya Shilingi.

Shukrani za dhati kwa Serikali kwa kuimarika huku kwa thamani ya Shilingi kulikotokana na hatua mbalimbali za sera ya fedha zilizochukuliwa na Benki Kuu katika kusimamia hali ya ukwasi kwenye uchumi pamoja na kuimarika kwa urari wa bidhaa na huduma katika Sekta ya nje.Mungu ibariki Tanzania, Mungu Mbariki Rais wetu, John Magufuli.

Nikiishia hapa, Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga.
Dar es Salaam.
0755078854.

get well soon tl
 
Dola moja inanunuliwa kwa Tsh 2344 na kuuzwa kwa 2444 Tshs benki zinauza bei hio hivi huu uongo wa kijinga ni kwa faida za nani maana ukigoogle sasa hivi 1 USD to TZS unapata 2344..

Kila kitu kinapatikana online, hatuhitaji mtu aje kutuandikia na kuongeza chumvi.
 
SHILINGI YA TANZANIA YAIMARIKA KWA 3% DHIDI YA DOLA YA MAREKANI.

Leo 13:15pm,10/03/2019.

Baada ya mwezi February shilingi kuporomoka dhidi ya dola kwa 2.15%,Sasa shilingi imeanza kuimarika kwa 3% katika wiki ya kwanza ya mwezi Machi, ukuaji wa kiuchumi ambao umeongozwa na Watalii na Wafanyabiashara toka Zambia, Malawi, Congo, Comoro,Rwanda na Burundi kuja kununua bidhaa katika Soko la Kariakoo kuingiza dola nyingi katika Serikali na utafiti umebaini kwamba mambo yamebadilika na sasa Taifa linategemea sekta mbalimbali kama Utalii, Biashara, Kilimo na Viwanda na kutoa nafasi nzuri ya upatikanaji kwa wingi wa fedha za kigeni.

Vifuatavyo ni viwango vya kubadilisha fedha za kigeni vinavyotumika tarehe 08 Machi, 2019. Tafadhali zingatia kuwa Viwango vya kuuza ni kwa ajili ya Maduhuli wakati Viwango vya Kununua ni kwa ajili ya Mahuruji.

Dolar ya Marekani inanunuliwa kwa Shilingi 2,277.495 kuuzwa kwa Shilingi 2,300.27
Pound ya Uingereza kununuliwa kwa Shilingi 2,992.4007 na kuuzwa kwa 3,022.5548

Euro ya Ulaya kununuliwa kwa 2,573.7972 na kuuzwa kwa 2,600.6853
Rupia ya India kununuliwa kwa 32.4259 na kuuzwa kwa 32.7347

Kwacha ya Zambia kununuliwa kwa 187.8933 na kuuzwa kwa 190.8938
Kwacha ya Malawi kununuliwa kwa 2.9106 na kuuzwa kwa 3.1089

Shilingi ya Kenya kununuliwa kwa 22.7977 na kuuzwa kwa 22.9797
Shilingi ya Uganda kununuliwa kwa 0.5763 kuuzwa kwa 0.6175

Faranga ya Rwanda kununuliwa kwa 2.5268 na kuuzwa kwa 2.5577
Faranga ya Burundi kununuliwa kwa 2.1806 na kuuzwa kwa 2.197

Dola ya Zimbabwe kununuliwa kwa 0.4262 na kuuzwa 0.4348
Randi ya Afrika kusini 161.

Utafiti pia unaonyesha Mataifa ya kusini mwa Jangwa la Sahara ambayo ukuaji wao wa kiuchumi ulikuwa umeegemea Mataifa ya Magharibi mwa Afrika yaliyokuwa na Mafuta pamoja na bidhaa sasa ukuaji wa kiuchumi wa Mataifa ya kusini mwa Jangwa la Sahara unaanza kuegemea zaidi Afrika Mashariki na hasa Tanzania kwa kuwa bidhaa na mafuta yaliyokuwa yanapatikana katika Mataifa ya Magharibi mwa Afrika sasa bidhaa, na Mafuta vinapatikana Tanzania.

Taifa letu linakwenda vizuri, uchumi wetu unakua vizuri, mwaka jana umekuwa kwa wastani wa asilimia 7 na mwaka huu tunatarajia utakua kwa wastani wa asilimia 7.1, mfumuko wa bei umeendelea kuwa chini kwa wastani wa asilimia 4.

Baada ya Bureau za Kariakoo kufungwa utashuhudia mamia ya Wageni toka Congo, Zambia, Malawi, Msumbiji,Comoro,Rwanda na Burundi wakiingia katika benki mbalimbali pale Kariakoo kubadili dola nyingi kupata shilingi za Kitanzania kwa ajili ya kununua mizigo katika Soko la Kariakoo na kuipeleka katika nchi wanazotoka.

Bidhaa zinazouzwa nje unaweza kuzipima kutoka katika soko la Kariakoo na utagundua kuwa zimeongezeka.

Na dalili zote zinaonyesha mabadiliko ya kuingia kwenye viwanda kuwa makubwa licha ya kufanyika polepole.

Sehemu ya ukuaji na kuimarika kwa shillingi ya Tanzania inatarajiwa pia kuchangiwa na ongezeko la idadi ya wafanyabiashara wa kigeni watakaokuja kununua bidhaa mwezi huu Machi na April kwa ajili ya Sikukuu ya Pasaka na hapo baadae Sikukuu ya Idd.

Kwa Afrika Mashariki baada ya Uganda na Tanzania, Kenya ni ya kumi katika orodha ya mataifa yanayotarajiwa kukua kwa kasi zaidi mwaka 2026 ambapo ukuaji wake utakuwa asilimia kubwa zaidi.

Mataifa 15 ambayo yanayokadiriwa kuongoza kwa kasi ya ukuaji wa uchumi kufikia 2026

Nambari Taifa Ukuaji wa Uchumi kwa %
1 India 7.89
2 Uganda 7.46
3 Egypt 6.63
4 Tanzania 6.15
5 Indonesia 6.13
6 Kyrgyzstan 6.04
7 Pakistan 5.99
8 Vietnam 5.89
9 Mali 5.89
10 Kenya 5.87
11 Philippines 5.75
12 Madagascar 5.73
13 Senegal 5.7
14 Liberia 5.7
15 Turkey 5.57

Nimalizie kwa kusema ukuaji wa uchumi wa Tanzania ni mzuri ukilinganisha na nchi nyingine zilizopo Afrika Mashariki, huku Tanzania ikiwa miongoni mwa nchi za bara la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara ambazo uchumi wake unakua kwa kasi kubwa.

Ukiachilia mbali sekta ya biashara na Utalii, bado kuna sekta zenye viwango vikubwa vya ukuaji katika kipindi cha sasa na kijacho zikiwemo shughuli za uchimbaji madini ambazo sheria zake zimerekebishwa na kuwekwa kwa maslahi Mapana ya Taifa,pia kuna shughuli za Usafirishaji na uhifadhi wa mizigo,Mawasiliano na Huduma za kifedha ambazo sasa zitaleta tija kwa Taifa kupitia mabenki mbalimbali yatakayokuwa yanabadili fedha hizo za kigeni.

Mfumuko wa bei umepungua kwa kiasi kikubwa na unatarajiwa kuendelea kubakia katika kiwango cha tarakimu moja katika siku zijazo na kubakia ndani ya lengo la muda wa kati la asilimia 5.0.

Matarajio hayo yatategemea kuendelea kutulia kwa bei ya nishati nchini kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya gesi asilia katika uzalishaji wa umeme,na ujenzi wa vyanzo vingine vya Umeme kama Kinyerezi na pia Ujenzi wa Bwawa kubwa la Rufiji (Stigglers Gorge) na mwendelezo wa Sera thabiti ya fedha na kibajeti, kutobadilika sana kwa bei za mafuta katika soko la dunia pamoja na kuendelea kuwepo kwa utulivu wa thamani ya Shilingi.

Shukrani za dhati kwa Serikali kwa kuimarika huku kwa thamani ya Shilingi kulikotokana na hatua mbalimbali za sera ya fedha zilizochukuliwa na Benki Kuu katika kusimamia hali ya ukwasi kwenye uchumi pamoja na kuimarika kwa urari wa bidhaa na huduma katika Sekta ya nje.Mungu ibariki Tanzania, Mungu Mbariki Rais wetu, John Magufuli.

Nikiishia hapa, Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga.
Dar es Salaam.
0755078854.
Jana nimetoka bank 1USD = 2415 TSH.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SHILINGI YA TANZANIA YAIMARIKA KWA 3% DHIDI YA DOLA YA MAREKANI.

Leo 13:15pm,10/03/2019.

Baada ya mwezi February shilingi kuporomoka dhidi ya dola kwa 2.15%,Sasa shilingi imeanza kuimarika kwa 3% katika wiki ya kwanza ya mwezi Machi, ukuaji wa kiuchumi ambao umeongozwa na Watalii na Wafanyabiashara toka Zambia, Malawi, Congo, Comoro,Rwanda na Burundi kuja kununua bidhaa katika Soko la Kariakoo kuingiza dola nyingi katika Serikali na utafiti umebaini kwamba mambo yamebadilika na sasa Taifa linategemea sekta mbalimbali kama Utalii, Biashara, Kilimo na Viwanda na kutoa nafasi nzuri ya upatikanaji kwa wingi wa fedha za kigeni.

Vifuatavyo ni viwango vya kubadilisha fedha za kigeni vinavyotumika tarehe 08 Machi, 2019. Tafadhali zingatia kuwa Viwango vya kuuza ni kwa ajili ya Maduhuli wakati Viwango vya Kununua ni kwa ajili ya Mahuruji.

Dolar ya Marekani inanunuliwa kwa Shilingi 2,277.495 kuuzwa kwa Shilingi 2,300.27
Pound ya Uingereza kununuliwa kwa Shilingi 2,992.4007 na kuuzwa kwa 3,022.5548

Euro ya Ulaya kununuliwa kwa 2,573.7972 na kuuzwa kwa 2,600.6853
Rupia ya India kununuliwa kwa 32.4259 na kuuzwa kwa 32.7347

Kwacha ya Zambia kununuliwa kwa 187.8933 na kuuzwa kwa 190.8938
Kwacha ya Malawi kununuliwa kwa 2.9106 na kuuzwa kwa 3.1089

Shilingi ya Kenya kununuliwa kwa 22.7977 na kuuzwa kwa 22.9797
Shilingi ya Uganda kununuliwa kwa 0.5763 kuuzwa kwa 0.6175

Faranga ya Rwanda kununuliwa kwa 2.5268 na kuuzwa kwa 2.5577
Faranga ya Burundi kununuliwa kwa 2.1806 na kuuzwa kwa 2.197

Dola ya Zimbabwe kununuliwa kwa 0.4262 na kuuzwa 0.4348
Randi ya Afrika kusini 161.

Utafiti pia unaonyesha Mataifa ya kusini mwa Jangwa la Sahara ambayo ukuaji wao wa kiuchumi ulikuwa umeegemea Mataifa ya Magharibi mwa Afrika yaliyokuwa na Mafuta pamoja na bidhaa sasa ukuaji wa kiuchumi wa Mataifa ya kusini mwa Jangwa la Sahara unaanza kuegemea zaidi Afrika Mashariki na hasa Tanzania kwa kuwa bidhaa na mafuta yaliyokuwa yanapatikana katika Mataifa ya Magharibi mwa Afrika sasa bidhaa, na Mafuta vinapatikana Tanzania.

Taifa letu linakwenda vizuri, uchumi wetu unakua vizuri, mwaka jana umekuwa kwa wastani wa asilimia 7 na mwaka huu tunatarajia utakua kwa wastani wa asilimia 7.1, mfumuko wa bei umeendelea kuwa chini kwa wastani wa asilimia 4.

Baada ya Bureau za Kariakoo kufungwa utashuhudia mamia ya Wageni toka Congo, Zambia, Malawi, Msumbiji,Comoro,Rwanda na Burundi wakiingia katika benki mbalimbali pale Kariakoo kubadili dola nyingi kupata shilingi za Kitanzania kwa ajili ya kununua mizigo katika Soko la Kariakoo na kuipeleka katika nchi wanazotoka.

Bidhaa zinazouzwa nje unaweza kuzipima kutoka katika soko la Kariakoo na utagundua kuwa zimeongezeka.

Na dalili zote zinaonyesha mabadiliko ya kuingia kwenye viwanda kuwa makubwa licha ya kufanyika polepole.

Sehemu ya ukuaji na kuimarika kwa shillingi ya Tanzania inatarajiwa pia kuchangiwa na ongezeko la idadi ya wafanyabiashara wa kigeni watakaokuja kununua bidhaa mwezi huu Machi na April kwa ajili ya Sikukuu ya Pasaka na hapo baadae Sikukuu ya Idd.

Kwa Afrika Mashariki baada ya Uganda na Tanzania, Kenya ni ya kumi katika orodha ya mataifa yanayotarajiwa kukua kwa kasi zaidi mwaka 2026 ambapo ukuaji wake utakuwa asilimia kubwa zaidi.

Mataifa 15 ambayo yanayokadiriwa kuongoza kwa kasi ya ukuaji wa uchumi kufikia 2026

Nambari Taifa Ukuaji wa Uchumi kwa %
1 India 7.89
2 Uganda 7.46
3 Egypt 6.63
4 Tanzania 6.15
5 Indonesia 6.13
6 Kyrgyzstan 6.04
7 Pakistan 5.99
8 Vietnam 5.89
9 Mali 5.89
10 Kenya 5.87
11 Philippines 5.75
12 Madagascar 5.73
13 Senegal 5.7
14 Liberia 5.7
15 Turkey 5.57

Nimalizie kwa kusema ukuaji wa uchumi wa Tanzania ni mzuri ukilinganisha na nchi nyingine zilizopo Afrika Mashariki, huku Tanzania ikiwa miongoni mwa nchi za bara la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara ambazo uchumi wake unakua kwa kasi kubwa.

Ukiachilia mbali sekta ya biashara na Utalii, bado kuna sekta zenye viwango vikubwa vya ukuaji katika kipindi cha sasa na kijacho zikiwemo shughuli za uchimbaji madini ambazo sheria zake zimerekebishwa na kuwekwa kwa maslahi Mapana ya Taifa,pia kuna shughuli za Usafirishaji na uhifadhi wa mizigo,Mawasiliano na Huduma za kifedha ambazo sasa zitaleta tija kwa Taifa kupitia mabenki mbalimbali yatakayokuwa yanabadili fedha hizo za kigeni.

Mfumuko wa bei umepungua kwa kiasi kikubwa na unatarajiwa kuendelea kubakia katika kiwango cha tarakimu moja katika siku zijazo na kubakia ndani ya lengo la muda wa kati la asilimia 5.0.

Matarajio hayo yatategemea kuendelea kutulia kwa bei ya nishati nchini kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya gesi asilia katika uzalishaji wa umeme,na ujenzi wa vyanzo vingine vya Umeme kama Kinyerezi na pia Ujenzi wa Bwawa kubwa la Rufiji (Stigglers Gorge) na mwendelezo wa Sera thabiti ya fedha na kibajeti, kutobadilika sana kwa bei za mafuta katika soko la dunia pamoja na kuendelea kuwepo kwa utulivu wa thamani ya Shilingi.

Shukrani za dhati kwa Serikali kwa kuimarika huku kwa thamani ya Shilingi kulikotokana na hatua mbalimbali za sera ya fedha zilizochukuliwa na Benki Kuu katika kusimamia hali ya ukwasi kwenye uchumi pamoja na kuimarika kwa urari wa bidhaa na huduma katika Sekta ya nje.Mungu ibariki Tanzania, Mungu Mbariki Rais wetu, John Magufuli.

Nikiishia hapa, Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga.
Dar es Salaam.
0755078854.
Uchambuzi wa kimkakati kuelekea uchaguzi mkuu mwakani, uchumi siku zote unakua kimaelezo lakini maisha halisi ya mwananchi yanaweza kukutoa machozi, mfano mzuri wa ukuaji wa uchumi ni kisa cha hivi karibuni kukamatwa mb Sugu kuhusiana na kauli yake kuhusu vitambulisho vya wamachinga. Inafika mahali mfanya biashara anashindwa kulipa 20,000? Lakini kimaelezo bado inadaiwa kwamba uchumi unakua kwa kasi.
 
Back
Top Bottom